Silingine bali ni lile Tamasha kubwa la Tanzania Live Music Festival, linalotarajiwa kuwika Septemba 28-29mwakahuu ndani ya Viwanja vya Leaders Club hapa Jijini kuanzia mishale ya saa moja usiku.
Tamasha hilo litahusisha wanamuziki maahiri na bendi mbalimbali kubwa hapa nchini, ni pamoja na Sikinde, Msondo Ngoma, B Band, Mashujaa Musica, Akudo Impact, Fm Academia, Wazee Sugu na nyinginezo.
Naye Mratibu wa tamasha hilo, Edwin Ngere, alisema kwamba tamasha hilo litaanza saa 10:00 jioni hadi majogoo, litakuwa la aina yake ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Seth Kamuhanda.
Mbali na bendi hizo pia kutakuwa na wanamuziki watakaosindikiza burudani hiyo ambao ni pamoja na Khadija Kopa ‘Malkia wa Mipasho’ na Mashauzi Classic iliyo chini ya Isha Mashauzi, ‘Jike la Simba’.
Lengo kubwa la tamasha hilo, ni pamoja na kusaidia chama cha Muziki wa Dansi Nchini (CHAMUDATA) kukiboresha na kuendeleza chama hicho.
Wakati huo viongozi mbalimbali wa bendi, wakiwamo Charles Baba ambaye ni Rais wa Mashujaa, King Kikii wa ‘Wazee Sugu’, Thabit Abdul wa Mashauzi Classic, kila mmoja alijinasibu kufanya kweli.
Naye Balozi wa Tamasha la Muziki wa Dansi nchini, Jacqline Wolper, ambaye pia ni msanii wa filamu, alisema kwa sasa wamepania kukuza muziki wa dansi na kwamba zoezi hilo liendelee siku hadi siku ili muziki huo ukue zaidi.
Saturday, September 29, 2012
SIMBA YAREJEA KILELENI, NAKUTUMA SALAM JANGWANI
SIMBA SC leo imeendeleza wimbi lake la ushindi katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, baada ya kuichapa Prisons ya Mbeya iliyorejea Ligi Kuu msimu huu mabao 2-1 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Mabao ya Simba yalitiwa kimiani na Felix Mumba Sunzu na Mrisho Ngassa, ambaye hilo ni bao lake la kwanza katika Ligi Kuu ndani ya mechi nne na la pili jumla tangu ajiunge na timu hiyo katika mechi saba alizocheza, wakati la Prisons lilifungwa na Elias Maguri.
Kwa ushindi huo, imefikisha pointi 12 na kurejea kileleni mwa Ligi Kuu, ikiizidi Azam FC pointi mbili katika nafasi ya pili, ingawa timu zote zimecheza mechi sawa, nne.
Hadi mapumziko, timu hizo zilikuwa zikwishafungana bao 1-1, Prisons wakitangulia kupata bao dakika ya sita baada ya Maguri kuwatoka mabeki wa Simba kupiga shuti lililodunda na kumchanganya kipa na Nahodha wa Simba, Juma Kaseja na kutinga nyavuni.
Baada ya bao hilo, timu hizo ziliendelea kushambuliana kwa zamu, ingawa Prisons waliendelea kuwa wagumu, hadi walipojisahau kidogo sekunde za mwishoni za kipindi cha kwanza na Felix Sunzu akatumia pasi ya Amiri Maftah kusawazisha dakika ya 45.
Kipindi cha pili, Simba walirudi na moto na kuanza moja kwa moja kulishambulia
mfululizo lango la Prisons na dakika ya 55 Ngassa akafunga kwa shuti dhaifu, ambalo kipa wa Prisons, David Abdallah alidaka lakini mpira ukamtoka na kuingia nyavuni.
Mechi hiyo ilichezeshwa na refa, Paul Soleji kutoka Mwanza, aliyesaidiwa na Jesse Erasmo, mshika kibendera namba moja, Mwarabu Mumba mshika kibendera namba mbili, wote kutoka Morogoro, wakati refa wa Akiba alikuwa Israel Nkongo wa Dar es Salaam.
Dakika ya 87 Amir Maftah alipewa kadi nyekundu kwa kumchezea rafu Khalid Fupi wa Prisons, hivyo ataukosa mchezo ujao dhidi ya Yanga Jumatano na hiyo ni nafasi kwa chipukizi Paul Ngalema.
Hiyo inakuwa kadi ya pili nyekundu kwa Simba ndani ya mechi nne, awali katika mechi ya pili dhidi ya JKT Ruvu, Emmanuel Okwi alilimwa kadi ya aina hiyo kwa kumpiga kiwiko Kessy Mapande na akafungiwa mechi tatu.
Simba sasa inarejea kambini kwake visiwani Zanzibar kuendelea na maandalizi ya mchezo wa Jumatano, wakati watani wao, Yanga walioweka kambi Changanyikeni, Dar es Salaam kesho watacheza na African Lyon Uwanja wa Taifa.
Smba: Juma Kaseja, Nassor Masoud ‘Chollo’, Amir Maftah, Shomari Kapombe, Juma Nyosso, Mwinyi Kazimoto, Amri Kiemba/Salim Kinje, Ramadhan Chombo/Jonas Mkude, Christopher Edward/Daniel Akuffo, Felix Sunzu na mrisho Ngassa.
Prisons: 18.David Abdallah, 03.Aziz Sibo, 05.Laurian Mpalile, 16.Lugano Mwangama (Nahodha), 15.David Mwantika, 13.Khalid Fupi, 07.Misango Magai, 12.Fred Chudu/22.Julius Kwaga, 14.Elias Maguri, 17.Peter Michael/Sino Augustino na 19.John Matei/11.Hamisi Ally.
Mabao ya Simba yalitiwa kimiani na Felix Mumba Sunzu na Mrisho Ngassa, ambaye hilo ni bao lake la kwanza katika Ligi Kuu ndani ya mechi nne na la pili jumla tangu ajiunge na timu hiyo katika mechi saba alizocheza, wakati la Prisons lilifungwa na Elias Maguri.
Kwa ushindi huo, imefikisha pointi 12 na kurejea kileleni mwa Ligi Kuu, ikiizidi Azam FC pointi mbili katika nafasi ya pili, ingawa timu zote zimecheza mechi sawa, nne.
Hadi mapumziko, timu hizo zilikuwa zikwishafungana bao 1-1, Prisons wakitangulia kupata bao dakika ya sita baada ya Maguri kuwatoka mabeki wa Simba kupiga shuti lililodunda na kumchanganya kipa na Nahodha wa Simba, Juma Kaseja na kutinga nyavuni.
Baada ya bao hilo, timu hizo ziliendelea kushambuliana kwa zamu, ingawa Prisons waliendelea kuwa wagumu, hadi walipojisahau kidogo sekunde za mwishoni za kipindi cha kwanza na Felix Sunzu akatumia pasi ya Amiri Maftah kusawazisha dakika ya 45.
Kipindi cha pili, Simba walirudi na moto na kuanza moja kwa moja kulishambulia
mfululizo lango la Prisons na dakika ya 55 Ngassa akafunga kwa shuti dhaifu, ambalo kipa wa Prisons, David Abdallah alidaka lakini mpira ukamtoka na kuingia nyavuni.
Mechi hiyo ilichezeshwa na refa, Paul Soleji kutoka Mwanza, aliyesaidiwa na Jesse Erasmo, mshika kibendera namba moja, Mwarabu Mumba mshika kibendera namba mbili, wote kutoka Morogoro, wakati refa wa Akiba alikuwa Israel Nkongo wa Dar es Salaam.
Dakika ya 87 Amir Maftah alipewa kadi nyekundu kwa kumchezea rafu Khalid Fupi wa Prisons, hivyo ataukosa mchezo ujao dhidi ya Yanga Jumatano na hiyo ni nafasi kwa chipukizi Paul Ngalema.
Hiyo inakuwa kadi ya pili nyekundu kwa Simba ndani ya mechi nne, awali katika mechi ya pili dhidi ya JKT Ruvu, Emmanuel Okwi alilimwa kadi ya aina hiyo kwa kumpiga kiwiko Kessy Mapande na akafungiwa mechi tatu.
Simba sasa inarejea kambini kwake visiwani Zanzibar kuendelea na maandalizi ya mchezo wa Jumatano, wakati watani wao, Yanga walioweka kambi Changanyikeni, Dar es Salaam kesho watacheza na African Lyon Uwanja wa Taifa.
Smba: Juma Kaseja, Nassor Masoud ‘Chollo’, Amir Maftah, Shomari Kapombe, Juma Nyosso, Mwinyi Kazimoto, Amri Kiemba/Salim Kinje, Ramadhan Chombo/Jonas Mkude, Christopher Edward/Daniel Akuffo, Felix Sunzu na mrisho Ngassa.
Prisons: 18.David Abdallah, 03.Aziz Sibo, 05.Laurian Mpalile, 16.Lugano Mwangama (Nahodha), 15.David Mwantika, 13.Khalid Fupi, 07.Misango Magai, 12.Fred Chudu/22.Julius Kwaga, 14.Elias Maguri, 17.Peter Michael/Sino Augustino na 19.John Matei/11.Hamisi Ally.
SIMBA YAREJEA KILELENI, NAKUTUMA SALAM JANGWANI
SIMBA SC leo imeendeleza wimbi lake la ushindi katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, baada ya kuichapa Prisons ya Mbeya iliyorejea Ligi Kuu msimu huu mabao 2-1 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Mabao ya Simba yalitiwa kimiani na Felix Mumba Sunzu na Mrisho Ngassa, ambaye hilo ni bao lake la kwanza katika Ligi Kuu ndani ya mechi nne na la pili jumla tangu ajiunge na timu hiyo katika mechi saba alizocheza, wakati la Prisons lilifungwa na Elias Maguri.
Kwa ushindi huo, imefikisha pointi 12 na kurejea kileleni mwa Ligi Kuu, ikiizidi Azam FC pointi mbili katika nafasi ya pili, ingawa timu zote zimecheza mechi sawa, nne.
Hadi mapumziko, timu hizo zilikuwa zikwishafungana bao 1-1, Prisons wakitangulia kupata bao dakika ya sita baada ya Maguri kuwatoka mabeki wa Simba kupiga shuti lililodunda na kumchanganya kipa na Nahodha wa Simba, Juma Kaseja na kutinga nyavuni.
Baada ya bao hilo, timu hizo ziliendelea kushambuliana kwa zamu, ingawa Prisons waliendelea kuwa wagumu, hadi walipojisahau kidogo sekunde za mwishoni za kipindi cha kwanza na Felix Sunzu akatumia pasi ya Amiri Maftah kusawazisha dakika ya 45.
Kipindi cha pili, Simba walirudi na moto na kuanza moja kwa moja kulishambulia
mfululizo lango la Prisons na dakika ya 55 Ngassa akafunga kwa shuti dhaifu, ambalo kipa wa Prisons, David Abdallah alidaka lakini mpira ukamtoka na kuingia nyavuni.
Mechi hiyo ilichezeshwa na refa, Paul Soleji kutoka Mwanza, aliyesaidiwa na Jesse Erasmo, mshika kibendera namba moja, Mwarabu Mumba mshika kibendera namba mbili, wote kutoka Morogoro, wakati refa wa Akiba alikuwa Israel Nkongo wa Dar es Salaam.
Dakika ya 87 Amir Maftah alipewa kadi nyekundu kwa kumchezea rafu Khalid Fupi wa Prisons, hivyo ataukosa mchezo ujao dhidi ya Yanga Jumatano na hiyo ni nafasi kwa chipukizi Paul Ngalema.
Hiyo inakuwa kadi ya pili nyekundu kwa Simba ndani ya mechi nne, awali katika mechi ya pili dhidi ya JKT Ruvu, Emmanuel Okwi alilimwa kadi ya aina hiyo kwa kumpiga kiwiko Kessy Mapande na akafungiwa mechi tatu.
Simba sasa inarejea kambini kwake visiwani Zanzibar kuendelea na maandalizi ya mchezo wa Jumatano, wakati watani wao, Yanga walioweka kambi Changanyikeni, Dar es Salaam kesho watacheza na African Lyon Uwanja wa Taifa.
Smba: Juma Kaseja, Nassor Masoud ‘Chollo’, Amir Maftah, Shomari Kapombe, Juma Nyosso, Mwinyi Kazimoto, Amri Kiemba/Salim Kinje, Ramadhan Chombo/Jonas Mkude, Christopher Edward/Daniel Akuffo, Felix Sunzu na mrisho Ngassa.
Prisons: 18.David Abdallah, 03.Aziz Sibo, 05.Laurian Mpalile, 16.Lugano Mwangama (Nahodha), 15.David Mwantika, 13.Khalid Fupi, 07.Misango Magai, 12.Fred Chudu/22.Julius Kwaga, 14.Elias Maguri, 17.Peter Michael/Sino Augustino na 19.John Matei/11.Hamisi Ally.
Mabao ya Simba yalitiwa kimiani na Felix Mumba Sunzu na Mrisho Ngassa, ambaye hilo ni bao lake la kwanza katika Ligi Kuu ndani ya mechi nne na la pili jumla tangu ajiunge na timu hiyo katika mechi saba alizocheza, wakati la Prisons lilifungwa na Elias Maguri.
Kwa ushindi huo, imefikisha pointi 12 na kurejea kileleni mwa Ligi Kuu, ikiizidi Azam FC pointi mbili katika nafasi ya pili, ingawa timu zote zimecheza mechi sawa, nne.
Hadi mapumziko, timu hizo zilikuwa zikwishafungana bao 1-1, Prisons wakitangulia kupata bao dakika ya sita baada ya Maguri kuwatoka mabeki wa Simba kupiga shuti lililodunda na kumchanganya kipa na Nahodha wa Simba, Juma Kaseja na kutinga nyavuni.
Baada ya bao hilo, timu hizo ziliendelea kushambuliana kwa zamu, ingawa Prisons waliendelea kuwa wagumu, hadi walipojisahau kidogo sekunde za mwishoni za kipindi cha kwanza na Felix Sunzu akatumia pasi ya Amiri Maftah kusawazisha dakika ya 45.
Kipindi cha pili, Simba walirudi na moto na kuanza moja kwa moja kulishambulia
mfululizo lango la Prisons na dakika ya 55 Ngassa akafunga kwa shuti dhaifu, ambalo kipa wa Prisons, David Abdallah alidaka lakini mpira ukamtoka na kuingia nyavuni.
Mechi hiyo ilichezeshwa na refa, Paul Soleji kutoka Mwanza, aliyesaidiwa na Jesse Erasmo, mshika kibendera namba moja, Mwarabu Mumba mshika kibendera namba mbili, wote kutoka Morogoro, wakati refa wa Akiba alikuwa Israel Nkongo wa Dar es Salaam.
Dakika ya 87 Amir Maftah alipewa kadi nyekundu kwa kumchezea rafu Khalid Fupi wa Prisons, hivyo ataukosa mchezo ujao dhidi ya Yanga Jumatano na hiyo ni nafasi kwa chipukizi Paul Ngalema.
Hiyo inakuwa kadi ya pili nyekundu kwa Simba ndani ya mechi nne, awali katika mechi ya pili dhidi ya JKT Ruvu, Emmanuel Okwi alilimwa kadi ya aina hiyo kwa kumpiga kiwiko Kessy Mapande na akafungiwa mechi tatu.
Simba sasa inarejea kambini kwake visiwani Zanzibar kuendelea na maandalizi ya mchezo wa Jumatano, wakati watani wao, Yanga walioweka kambi Changanyikeni, Dar es Salaam kesho watacheza na African Lyon Uwanja wa Taifa.
Smba: Juma Kaseja, Nassor Masoud ‘Chollo’, Amir Maftah, Shomari Kapombe, Juma Nyosso, Mwinyi Kazimoto, Amri Kiemba/Salim Kinje, Ramadhan Chombo/Jonas Mkude, Christopher Edward/Daniel Akuffo, Felix Sunzu na mrisho Ngassa.
Prisons: 18.David Abdallah, 03.Aziz Sibo, 05.Laurian Mpalile, 16.Lugano Mwangama (Nahodha), 15.David Mwantika, 13.Khalid Fupi, 07.Misango Magai, 12.Fred Chudu/22.Julius Kwaga, 14.Elias Maguri, 17.Peter Michael/Sino Augustino na 19.John Matei/11.Hamisi Ally.
Friday, September 28, 2012
AZAM KILELENI LIGI KUU BARA
AZAM FC imepanda kileleni mwa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara baada ya kuifunga JKT Ruvu mabao 3-0, kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, katika mechi iliyoanza saa 1:00.
Mabao ya Azam katika mchezo huo, yalifungwa na John Raphael Bocco ‘Adebayor’ dakika ya 44 kwa penalti, Kipre Herman Tcheche dakika ya 65 na Kipre Michael Balou dakika ya 79.
Ushindi huo, moja kwa moja unaipandisha Azam kileleni mwa ligi hiyo, ikifikisha pointi 10 baada ya kucheza mechi nne na kuipiku Simba SC, yenye pointi tisa, lakini iko nyuma kwa mchezo mmopja.
Kesho Simba itacheza na Tanzania Prisons itakayofanyika Uwanja wa Taifa, pia mjini Dar es Salaam kuanzia saa 11:00 jioni, wakati Yanga na African Lyon zitapambana keshokutwa kwenye Uwanja huo huo kuanzia saa 11:00 jioni.
Uwanja wa Chamazi, maarufu kama Azam Complex uliopo Chamazi, Dar es Salaam wenyewe utakuwa mwenyeji wa mechi kati ya Ruvu Shooting na Mtibwa Sugar itakayochezwa Oktoba 1, mwaka huu kuanza saa 10:30 jioni.
Mechi ya mwisho ya Super Weekend itachezwa Oktoba 3 mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam ikwakutanisha watani wa jadi, Yanga na Simba kuanzia saa 1:00 usiku.
Mabao ya Azam katika mchezo huo, yalifungwa na John Raphael Bocco ‘Adebayor’ dakika ya 44 kwa penalti, Kipre Herman Tcheche dakika ya 65 na Kipre Michael Balou dakika ya 79.
Ushindi huo, moja kwa moja unaipandisha Azam kileleni mwa ligi hiyo, ikifikisha pointi 10 baada ya kucheza mechi nne na kuipiku Simba SC, yenye pointi tisa, lakini iko nyuma kwa mchezo mmopja.
Kesho Simba itacheza na Tanzania Prisons itakayofanyika Uwanja wa Taifa, pia mjini Dar es Salaam kuanzia saa 11:00 jioni, wakati Yanga na African Lyon zitapambana keshokutwa kwenye Uwanja huo huo kuanzia saa 11:00 jioni.
Uwanja wa Chamazi, maarufu kama Azam Complex uliopo Chamazi, Dar es Salaam wenyewe utakuwa mwenyeji wa mechi kati ya Ruvu Shooting na Mtibwa Sugar itakayochezwa Oktoba 1, mwaka huu kuanza saa 10:30 jioni.
Mechi ya mwisho ya Super Weekend itachezwa Oktoba 3 mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam ikwakutanisha watani wa jadi, Yanga na Simba kuanzia saa 1:00 usiku.
RICK ROSS KUPERFORM FIESTA 2012 DAR ES SALAA,
Imfahamika rasmi kwamba msanii atakaekamilisha shangwe za SERENGETI FIESTA 2012 ni RICK ROSS TUFLON DON october 6 2012 Dar es salaam,
John Terry afungiwa mechi nne
John Terry ameadhibiwa na chama cha kanda
nda cha England, FA, asicheze mechi nne, na vile vile alipe faini ya pauni 220,000, kutokana na matamshi ya ubaguzi wa rangi dhidi ya mchezaji wa QPR, Anton Ferdinand.
Chama cha FA kilithibitisha Terry alifanya makosa hayo, baada ya kusikiliza kesi dhidi yake kwa kipindi cha siku nne.
Msemaji wa John Terry alisema mchezaji huyo "alisikitishwa" na hatua ya FA, kwa kuamua tofauti, kinyume na mahakama, ambayo awali ilisema hana makosa.
Mwezi Julai, mahakama ya Westminster mjini London ilipitisha uamuzi kwamba mchezaji huyo, mwenye umri wa miaka 31, hakufanya kosa hilo, la kutumia matamshi ya ubaguzi wa rangi dhidi ya Ferdinand.
Hata hivyo wengi watajiuliza kwa nini adhabu dhidi ya Terry ni nyepesi mno, ikilinganishwa na ile iliyopitishwa dhdi ya mchezaji wa Liverpool, Luis Suarez mwaka jana.
Terry ana muda wa siku 14 kukata rufaa dhidi ya uamuzi huo, mara tu atakapopokea maelezo ya adhabu hiyo kupitia maandishi.
Adhabu hiyo haitatekelezwa hadi Terry atakapopata nafasi ya kuamua atafanya nini.
Taarifa kutoka klabu yake ya Chelsea iliongezea: "Klabu ya Chelsea inafahamu vyema uamuzi uliopitishwa, na inaheshimu uamuzi huo uliotolewa leo na chama cha FA kumhusu John Terry."
nda cha England, FA, asicheze mechi nne, na vile vile alipe faini ya pauni 220,000, kutokana na matamshi ya ubaguzi wa rangi dhidi ya mchezaji wa QPR, Anton Ferdinand.
Chama cha FA kilithibitisha Terry alifanya makosa hayo, baada ya kusikiliza kesi dhidi yake kwa kipindi cha siku nne.
Msemaji wa John Terry alisema mchezaji huyo "alisikitishwa" na hatua ya FA, kwa kuamua tofauti, kinyume na mahakama, ambayo awali ilisema hana makosa.
Mwezi Julai, mahakama ya Westminster mjini London ilipitisha uamuzi kwamba mchezaji huyo, mwenye umri wa miaka 31, hakufanya kosa hilo, la kutumia matamshi ya ubaguzi wa rangi dhidi ya Ferdinand.
Hata hivyo wengi watajiuliza kwa nini adhabu dhidi ya Terry ni nyepesi mno, ikilinganishwa na ile iliyopitishwa dhdi ya mchezaji wa Liverpool, Luis Suarez mwaka jana.
Terry ana muda wa siku 14 kukata rufaa dhidi ya uamuzi huo, mara tu atakapopokea maelezo ya adhabu hiyo kupitia maandishi.
Adhabu hiyo haitatekelezwa hadi Terry atakapopata nafasi ya kuamua atafanya nini.
Taarifa kutoka klabu yake ya Chelsea iliongezea: "Klabu ya Chelsea inafahamu vyema uamuzi uliopitishwa, na inaheshimu uamuzi huo uliotolewa leo na chama cha FA kumhusu John Terry."
DULLY kwenye Video Production!
Dully Sykes 'Mr Misifa' anafunguka kuwa anampango wa kufungua kampuni yake mwenyewe ya kutengeneza Video baada ya kumiliki audio studio ya Dhahabu records kwa miaka kadhaa sasa.
Dully kupitia website yake ameandika: "Mashabiki wangu nawapa nafasi ya pekee ya kuchagua jina la kampuni yangu mpya ya Video Production inayotarajiwa kuanza kazi hivi karibuni. Tupia jina kwenye comments."
Dully kupitia website yake ameandika: "Mashabiki wangu nawapa nafasi ya pekee ya kuchagua jina la kampuni yangu mpya ya Video Production inayotarajiwa kuanza kazi hivi karibuni. Tupia jina kwenye comments."
KOCHA MPYA YANGA AWASILI KIMYAKIMYA
KOCHA mpya wa Yanga, Ernstus ‘Ernie’ Wilhelmus Johannes Brandts, beki wa zamani wa kimataifa wa Uholanzi na klabu ya PSV Eindhoven ya Holanzi, atawasili wakati wowote kuanzia leo kusaini mkataba na kuanza kazi katika klabu hiyo.
Hata hivyo, Yanga imeamua kufanya siri ujio wa kocha huyo, kwa sababu haitaki mapokezi ya mbwembwe, kutokana na rekodi yake ya kutodumu na makocha.
Yanga, imetimiza malengo yake ya kuwa kocha mpya, kabla ya kucheza na wapinzani wao wa jadi, Simba SC, Oktoba 3, mwaka huu baada ya kumfukuza Mbelgiji, Tom Saintfiet, kutokana na kufikia makubaliano na Brandts.
Mholanzi huyo aliyefukuzwa APR ya Rwanda baada ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati, Kombe la Kagame, Agosti mwaka huu amepewa ukocha wa Yanga, baada ya Mbrazil Marcio Maximo kukataa nafasi hiyo kwa mara ya pili.
Mtaalamu huyo, alizaliwa Februari 3, mwaka 1956 mjini Nieuw-Dijk, Gelderland, mbali na PSV Eindhoven, alichezea pia Roda JC Kerkrade, MVV Maastricht na De Graafschap.
Brandts aliichezea mechi 28 timu ya taifa ya Uholanzi na kuifungia mabao matano na pia alicheza Fainali za Kombe la Dunia mwaka 1978.
Katika fainali hizo, Raundi ya pili kwenye mechi na Italia, aliweka rekodi ya kuwa mchezaji pekee aliyezifungia mabao timu zote katika mechi moja kwenye fainali za Kombe la Dunia.
Alianza kujifunga dakika ya 18, kisha akaisawazishia Uholanzi dakika ya 50 katika mechi ambayo, mchezaji mwenzake Arie Haan baadaye aliifungia timu yake bao la ushindi na kutoka kifua mbele kwa mabao 2–1.
Alipostaafu soka akawa kocha na katikati ya msimu wa 2007–2008, Brandts aliambiwa hataongezewa mkataba NAC-Breda, licha ya matokeo mazuri ya kushika nafasi ya tatu katika Ligi Kuu Uholanzi (Eredivisie), ingawa uamuzi huo haukuwafurahisha mashabiki wa timu hiyo na nafasi yake akapewa Robert Maaskant kuanzia msimu wa 2008–2009.
Akateuliwa kuwa Kocha wa Rah Ahan mwaka 2009, kabla ya kufukuzwa Desemba 2009 na kuibukia APR ya Rwanda mwaka 2010, ambako ‘riziki’ yake imeisha miezi miwili iliyopita na sasa amepata maisha mapya Yanga.
Akiwa APR, Brandts alifungwa mechi zote mbili na Yanga iliyokuwa ikifundishwa na Mbelgiji Tom Saintfiet katika Kombe la Kagame, moja ya makundi 2-0 na nyingine ya Nusu Fainali 1-0. Yanga iliibuka bingwa, ikiifunga Azam FC 2-0 kwenye fainali.
Brandts atakutana na wachezaji wake wa zamani wawili Yanga, beki Mbuyu Twite anayeanza msimu wa kwanza katika klabu hiyo na kiungo Haruna Niyonzima anayeingia katika msimu wa pili, ambao alifanya nao kazi APR
Hata hivyo, Yanga imeamua kufanya siri ujio wa kocha huyo, kwa sababu haitaki mapokezi ya mbwembwe, kutokana na rekodi yake ya kutodumu na makocha.
Yanga, imetimiza malengo yake ya kuwa kocha mpya, kabla ya kucheza na wapinzani wao wa jadi, Simba SC, Oktoba 3, mwaka huu baada ya kumfukuza Mbelgiji, Tom Saintfiet, kutokana na kufikia makubaliano na Brandts.
Mholanzi huyo aliyefukuzwa APR ya Rwanda baada ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati, Kombe la Kagame, Agosti mwaka huu amepewa ukocha wa Yanga, baada ya Mbrazil Marcio Maximo kukataa nafasi hiyo kwa mara ya pili.
Mtaalamu huyo, alizaliwa Februari 3, mwaka 1956 mjini Nieuw-Dijk, Gelderland, mbali na PSV Eindhoven, alichezea pia Roda JC Kerkrade, MVV Maastricht na De Graafschap.
Brandts aliichezea mechi 28 timu ya taifa ya Uholanzi na kuifungia mabao matano na pia alicheza Fainali za Kombe la Dunia mwaka 1978.
Katika fainali hizo, Raundi ya pili kwenye mechi na Italia, aliweka rekodi ya kuwa mchezaji pekee aliyezifungia mabao timu zote katika mechi moja kwenye fainali za Kombe la Dunia.
Alianza kujifunga dakika ya 18, kisha akaisawazishia Uholanzi dakika ya 50 katika mechi ambayo, mchezaji mwenzake Arie Haan baadaye aliifungia timu yake bao la ushindi na kutoka kifua mbele kwa mabao 2–1.
Alipostaafu soka akawa kocha na katikati ya msimu wa 2007–2008, Brandts aliambiwa hataongezewa mkataba NAC-Breda, licha ya matokeo mazuri ya kushika nafasi ya tatu katika Ligi Kuu Uholanzi (Eredivisie), ingawa uamuzi huo haukuwafurahisha mashabiki wa timu hiyo na nafasi yake akapewa Robert Maaskant kuanzia msimu wa 2008–2009.
Akateuliwa kuwa Kocha wa Rah Ahan mwaka 2009, kabla ya kufukuzwa Desemba 2009 na kuibukia APR ya Rwanda mwaka 2010, ambako ‘riziki’ yake imeisha miezi miwili iliyopita na sasa amepata maisha mapya Yanga.
Akiwa APR, Brandts alifungwa mechi zote mbili na Yanga iliyokuwa ikifundishwa na Mbelgiji Tom Saintfiet katika Kombe la Kagame, moja ya makundi 2-0 na nyingine ya Nusu Fainali 1-0. Yanga iliibuka bingwa, ikiifunga Azam FC 2-0 kwenye fainali.
Brandts atakutana na wachezaji wake wa zamani wawili Yanga, beki Mbuyu Twite anayeanza msimu wa kwanza katika klabu hiyo na kiungo Haruna Niyonzima anayeingia katika msimu wa pili, ambao alifanya nao kazi APR
BOBAN BABO HAJAWASILI ZANZIBAR
LABDA leo, lakini jana wamemsubiri hadi boti ya mwisho hakushuka. Haruna Moshi Shaaban, mchezaji pekee ambaye hayupo kambini Simba SC, alitarajiwa kuungana na wenzake jana, visiwani Zanzibar kwa maandalizi ya mchezo dhidi ya wapinzani wao wa jadi, Yangas SC, lakini wapi.
Sasa uongozi wa Simba utamsikilizia mchezaji huyo leo kama atatimiza wajibu wake na tofauti na hapo, watachukua.
Boban hakucheza mechi iliyopita ya Ligi Kuu kati ya Simba na Ruvu Shooting, kwa sababu alikuwa anaumwa na hakwenda kambini wenzake, kwa kuwa alikuwa anajisikilizia afya yake, ila kuanzia jana alitarajiwa kuungana na wenzake kambini.
Kuna uwezekano mkubwa Boban akapanda boti na wenzake na baada ya mechi ya kesho, dhidi ya Prisons.
Japo Boban hayupo kambini Zanzibar, lakini Simba SC inaendelea vizuri na maandalizi yake ya pambano dhidi ya watani wao wa jadi, Yanga SC, Oktoba 3, mwaka huu, ikifanya mazoezi kwenye Uwanja wa Chuo cha Kiislam, Kwerekwe, visiwani Zanzibar na kambi yao ipo Chukwani.
Morali ya kambi ipo juu na wachezaji wote wako fiti, wakijifua kwa shauku kubwa ili kumvutia kocha Mserbia, Milovan Cirkovick awape nafasi ya kucheza Oktoba 3, kuanzia sa 1:00 usiku.
Simba itarejea Dar es Salaam kesho kucheza mechi na Prisons ya Mbeya Uwanja wa Taifa, kisha kurejea tena visiwani humo kuendelea na maandalizi ya mchezo wa Jumamosi ijayo.
Hata hivyo, katika michezo miwili ijayo, Simba itamkosa mshambuliaji wake Mganda, Emmanuel Okwi ambaye amefungiwa na Kamati ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, chini ya Mwenyekiti wake, Wallace Karia, sambamba na kumtoza faini ya Sh. 500,000 kwa kosa la kumpiga kiwiko mchezaji wa JKT Ruvu, Kessy Mapande.
Okwi alifanya hivyo akilipa kisasi cha kuchezewa rafu Jumatano iliyopita, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Tayari Okwi amekosa mechi moja dhidi ya Ruvu Shooting na wakati, na sasa atakosa mechi mbili zaidi, dhidi ya Prisons na dhidi ya Yanga na baada ya hapo atakuwa huru kuendelea kumtumikia mwajiri wake.
Siyo siri, kuelekea pambano la watani wa jadi, Okwi alikuwa ni homa kwa Yanga, hasa wakikumbuka namna alivyowanyanyasa katika mechi iliyopita, akifunga mabao mawili kwenye ushindi wa 5-0 na kusababisha mawili.
Sasa uongozi wa Simba utamsikilizia mchezaji huyo leo kama atatimiza wajibu wake na tofauti na hapo, watachukua.
Boban hakucheza mechi iliyopita ya Ligi Kuu kati ya Simba na Ruvu Shooting, kwa sababu alikuwa anaumwa na hakwenda kambini wenzake, kwa kuwa alikuwa anajisikilizia afya yake, ila kuanzia jana alitarajiwa kuungana na wenzake kambini.
Kuna uwezekano mkubwa Boban akapanda boti na wenzake na baada ya mechi ya kesho, dhidi ya Prisons.
Japo Boban hayupo kambini Zanzibar, lakini Simba SC inaendelea vizuri na maandalizi yake ya pambano dhidi ya watani wao wa jadi, Yanga SC, Oktoba 3, mwaka huu, ikifanya mazoezi kwenye Uwanja wa Chuo cha Kiislam, Kwerekwe, visiwani Zanzibar na kambi yao ipo Chukwani.
Morali ya kambi ipo juu na wachezaji wote wako fiti, wakijifua kwa shauku kubwa ili kumvutia kocha Mserbia, Milovan Cirkovick awape nafasi ya kucheza Oktoba 3, kuanzia sa 1:00 usiku.
Simba itarejea Dar es Salaam kesho kucheza mechi na Prisons ya Mbeya Uwanja wa Taifa, kisha kurejea tena visiwani humo kuendelea na maandalizi ya mchezo wa Jumamosi ijayo.
Hata hivyo, katika michezo miwili ijayo, Simba itamkosa mshambuliaji wake Mganda, Emmanuel Okwi ambaye amefungiwa na Kamati ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, chini ya Mwenyekiti wake, Wallace Karia, sambamba na kumtoza faini ya Sh. 500,000 kwa kosa la kumpiga kiwiko mchezaji wa JKT Ruvu, Kessy Mapande.
Okwi alifanya hivyo akilipa kisasi cha kuchezewa rafu Jumatano iliyopita, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Tayari Okwi amekosa mechi moja dhidi ya Ruvu Shooting na wakati, na sasa atakosa mechi mbili zaidi, dhidi ya Prisons na dhidi ya Yanga na baada ya hapo atakuwa huru kuendelea kumtumikia mwajiri wake.
Siyo siri, kuelekea pambano la watani wa jadi, Okwi alikuwa ni homa kwa Yanga, hasa wakikumbuka namna alivyowanyanyasa katika mechi iliyopita, akifunga mabao mawili kwenye ushindi wa 5-0 na kusababisha mawili.
Friday, September 21, 2012
MTAKATIFU TOM ATUPIWA VIRAGO YANGA
KOCHA Mbelgiji Tom Saintfiet amefukuzwa usiku huu, baada ya kutofautiana sera na uongozi wa Yanga na sasa Fredy Felix Minziro, aliyekuwa Msaidizi wake, atakaimu nafasi yake.
Habari zaidi, kuhusu kufukuzwa kwa kocha huyo, Yanga itatoa taarifa rasmi kesho asubuhi saa 3:00, makao makuu ya klabu, makutano ya mitaa ya Twiga na Jangwani.
Mapema leo mchana, uongozi wa Yanga ya Dar es Salaam, ulitangaza kuisimamisha kazi Sekretarieti nzima ya klabu, akiwemo Katibu Celestine Mwesigwa na Ofisa Habari, Louis Sendeu, kutokana na kile ilichoeleza utendaji usioridhisha.
Akizungumza na Waandishi wa Habari, makao makuu ya klabu, Jangwani, Dar es Salaam, Makamu Mwenyekiti wa Yanga, Clement Sanga alisema kwamba maamuzi hayo yamefuatia kikao cha Kamati ya Utendaji kilichofanyika tangu saa 5:30 leo hadi saa 9:30.
Wengine wanaokumbwa na panga hilo ni Masoud Saad, aliyekuwa Ofisa Utawala, Philip Chifuka aliyekuwa Mhasibu na Hafidh Saleh aliyekuwa Meneja ambaye anahamishiwa kwenye majukumu mengine.
“Tumesitisha mikataba ya sekretarieti nzima, pia tumefanya marekebisho, tumemtoa Meneja wa timu na muda si mrefu tutamtangaza Meneja mwingie pamoja na sekretarieti mpya,”alisema Sanga.
Thursday, September 20, 2012
Mancini amkoromea Kipa Joe Hart

Mkufunzi wa klabu ya Manchester City Roberto Mancini amemuonya kipa wake Joe Hart dhidi ya kushutumu wachezaji wake, akisisitiza kuwa yeye pekee ndiye jaji.
Manchester City waliongoza mara mbili wakati wa mechi yao ya kuwania kombe la klbau bingwa barani ulaya dhidi ya Real Madrid, lakini walifungwa dakika za mwisho na mechi hiyo kumalizika huku Real Madrid ikiibuka na ushindi wa mabao 3-2.
Hart alisema haiwezekani kwa klabu yoyote ambayo inaongoza kwa mabao 2-1 huku ikiwa imesalia dakika tano za mechi na kasha ipoteze mechi hiyo. '' ni lazima sisi wenyewe tujilaumu'' aliongeza Hart.
Lakini Mancini amejibu kwa kusema, licha ya kukubalina na kipa wake, yeye anapaswa kutekeleza wajibu wake. ''mimi naweza kushutumu wachezaji wangu lakini sio Hart'' alisema Mancini.
Kabla ya mechi hiyo Manchester City ilikabiliwa na upinzani mkali kabla ya mchezaji wao wa ziada Edin Dzeko kufunga bao la kwanza kunako dakika ya 69.
Lakini Marcelo alizawazishia Real dakika saba kabla ya mechi kumalizika. Dakika mbili baadaya Aleksandar Kolarov aliifungia mabingwa hao wa England bao la la pili kupitia kwa mkwaju wa adhabu.
Karim Benzema na Cristiano Ronaldo walifunga bao moja kila mmoja dakika tatu za mwisho za mechi hiyo na kuisadia Real Madrid Kushinda kwa mabao 3-2.
DUDU BAYA MATATANI MWANZA

MWANAMUZIKI wa kitambo kwenye Bongo Fleva, Godfrey Tumaini ‘Dudu Baya’ ameingia matatani akidaiwa kukamatwa na kushikiliwa na Jeshi la Polisi Wilaya ya Ilemela jijini hapa akituhumiwa kutoa lugha ya matusi.
Kwa mujibu wa chanzo makini, Dudu Baya alikamatwa Jumamosi ya Septemba 15, mwaka huu, saa 10:00 jioni akiwa kwenye Baa ya Villa City na kufikishwa katika Kituo cha Polisi cha Kirumba.
Habari zilidai kuwa, kabla ya kukamatwa, Dudu Baya alikuwa akisakwa na polisi ambapo ilisemekana kuwa alikimbilia nyumbani kwao Kisesa, wilayani Magu na baadaye Nyarugusu mkoani Geita.
Ilifahamika kuwa katika msala huo, Dudu Baya aliwatolea matusi yasiyoandikika gazetini wasanii na watangazaji wa vituo vya redio Passion FM, Philbert Kabago na Ezden Jumanne wa Kiss FM, vyote vya jijini hapa.
Baada ya tukio hilo, msanii huyo alifunguliwa jalada la kesi namba MZN/RB/4349/2012 katika Kituo cha Polisi Kirumba ambapo mwishoni mwa wiki alitiwa mbaroni kabla ya kutoka kwa dhamana akisubiri kupandishwa kizimbani wakati wowote.
SOURCE;www.globalpublisherz.info
SIMBA YAJIKITA KILELENI

Mabingwa wa Tanzania bara Simba SC leo hii wameendeleza makali yao waliyoanza nayo ligi kwa kuitandika timu ya wanajeshi wa JKT Ruvu kwa mabao mawili kwa sifuri.
Simba ambao walicheza mchezo kwa dakika nyingi baada ya mshambuliaji wao tegemeo Emmanuel Okwi kutolewa nje kwa kadi nyekundu kipindi cha kwanza cha mchezo, walipata mabao yao kutoka kwa kiungo Amri Kiemba aliyefunga bao la kwanza na Haruna Moshi Boban aliyepiga kidude cha pili.
Kufuatia matokeo hayo Simba inaendelea kukamata usukani mwa ligi kwa kukusanya pointi 6, magoli matano ya kufunga na wakiwa hawajuruhusu nyvu zao kuguswa. Simba walishinda mechi ya kwanza ya ligi kwa 3 - 0 dhidi ya African Lyon.
Kwa upande mwingine huko jijini Mwanza Azam FC wametoka sare ya kufungana 2-2 na Toto Africa, wakati Tanzania Prisons wametoka 1 - 1 na Coastal Union ya Tanga, Kagera Sugar wametoka sare tasa na JKT Oljoro, huku Ruvu Shooting wakiifunga Mgambo JKT 2-1.
WAKATI HUO HUO, MJINI MOROGORO Mabingwa wa Afrika mashariki na kati, klabu ya Yanga ya Dar es Salaam leo hii imekula kichapo mabao matatu kwa nunge kutoka kwa Mtibwa Sugar katika uwanja wa Manungu mjini Morogoro.
Katika mchezo huo ambao umekuwa na matokeo hasi kwa upande wa timu ya Jangwani ulianza kwa kwa timu kusomana lakini dakika ya 11 ya mchezo akaipatia timu yake ya Mtibwa bao la kuongoza, kabla ya Juma Javu kuongeza la pili katika dakika ya 45 ya mchezo katika kipindi cha kwanza na timu zikaenda mapumziko Mtibwa wakiwa mbele kwa goli 2-0.
Kipindi cha pili Yanga wakafanya mabadiliko kwa kuwaingiza Saimon Msuva na Stephano Mwasika kuchukua nafasi za Frank Domayo na David Luhende lakini haikusadia chochote. Dakika ya 66 akatoka Mbuyu Twitte na kuingia Didier Kavumbangu lakini mambo yaliendelea kuwa magumu kwa upande wa watoto wa Manji.
Dakika ya 77 ya mchezo alikuwa yule yule Juma Javu akaenda kumtungua golikipa Ally Mustapha Barthez goli 3 na la mwisho katika mchezo huo. Dakika ya 90 Yanga wakapata penati lakini Hamis Kiiza akashindwa kufunga na mwamuzi akapuliz kipenga cha kuashiria mwisho wa mchezo.
Tuesday, September 18, 2012
Mourinho na Mancini wasema City wataibuka washindi

Meneja wa klabu ya Real Madrid ya Uhispania, Jose Mourinho, amesema anaamini Manchester City ya England ina uwezo wa kuunyakua ubingwa wa klabu bingwa barani Ulaya hivi karibuni.
Akizungumza kabla ya pambano lao la Jumanne jioni mjini Madrid, meneja wa Manchester City, Roberton Mancini, alikubaliana na matamshi hayo ya Mourinho, akisema ni kweli wanatazamia ushindi huo hivi karibuni.
"Ikiwa unaendesha Ferrari unaweza kushinda, ikiwa ni Fiat Cinquecento, pengine haitawezekana," alisema Mancini.
Mourinho alisema: "Kutokana na muelekeo wa klabu, hivi karibuni huenda wakalipata kombe hilo kubwa."
Mourinho, ambaye zamani alikuwa ni meneja wa Chelsea, aliufananisha uwekezaji katika klabu ya City, kama alivyowekeza Roman Abramovich, mmiliki wa klabu hiyo ya Stamford Bridge.
Meneja Mourinho aliweza kuiletea Chelsea ubingwa mara mbili wa ligi kuu ya Premier, lakini akashindwa kuwawezesha kupata kombe la klabu bingwa, ambalo alilipata akiviongoza vilabu vya Porto na Inter Milan.
Hatimaye Chelsea walilipata kombe hilo msimu uliopita chini ya Roberto Di Matteo, na Mourinho ana imani City wako njiani kuupata ubingwa wa Ulaya.
Alisema: "Nadhani sio tofauti sana na Chelsea.
"Tangu Roman alipoinunua klabu, (Claudio) Ranieri alikuwa kocha wa kwanza, kisha nikaingia mimi na kupata ushindi wa kwanza wa ligi, vikombe kadha na mataji kadha.
"Carlo (Ancelotti) kisha akaja, na wakaendelea kupata ushindi, na hatimaye walilipata kombe la klabu bingwa."
Wenger anahofu kuwa walcott hatosaini mkataba mpya

The Arsenal manager admits he is unsure as to whether the England international will sign a new deal with the club and speaks of his frustration over his European touchline ban
Ahead of the club’s opening Champions League encounter this evening, Arsenal manager Arsene Wenger has expressed his concern over the contract status of winger, Theo Walcott.
The England international received a mixed reception from the Emirates faithful as he came onto the field to net during the Gunners’ 6-1 win over Southampton.
This came after speculation had mounted during the final weeks of the transfer window that Walcott had rejected a new deal, worth £75,000 a week and was instead, holding out for £100,000.
And with the 23-year-old now entering the final year of his current deal, Wenger did little to calm fears he may be the latest big name to depart the Emirates.
He told the Guardian: “At the moment, I still hope to extend his contract so, at the moment, it doesn't affect me.
“Of course at some stage … if, in April, it's not done, you can think it will be difficult to do."
Wenger also responded to the groans around the Emirates expressed at Walcott’s introduction on Saturday, describing them as, ‘a worry’
“It is a worry. You want your players to be supported, no matter what kind of contractual situation they are in. I hope it will not affect him and that it will not affect our fans.
ARSENAL LATEST
18/1 Arsenal are 18/1 with Bet365 to claim a 3-0 win at Montpellier
“Theo has gone through a lot at 23 years of age. A lot of positives, a lot of negatives and he's level-headed."
The Arsenal manager has left Walcott on the bench in each of the club’s first four league games this season and looks set to repeat the selection for the Gunners’ opening Champions League tie against Montpellier tonight.
Wenger serves the first of a three-match touchline ban tonight following an outburst at officials during the club’s quarter-final defeat to Milan last season and admits it is somewhat of a problem.
"It [the ban] is a nightmare.
"Honestly, many people in Uefa, even [Michel] Platini, said that we should still let people work, even if they are suspended. It's part of the job and therefore a restriction of work.
"But I don't make a fuss of it. They love to suspend me. How should they punish people? Financially? But they do both. They punish you financially and they ban you."
This is Wenger’s third touchline ban in just over a year, following evidence he communicated with the club’s bench while serving a similar suspension against Udinese in last year’s Champions League qualifiers.
"Honestly, nobody knows really, even at Uefa, what is allowed and not allowed. Let's not forget that I was suspended last year for having done what they told me I can do.
"When I went back there and said: 'Why do you want to punish me?' They said: 'Because you communicated with your bench.' I said: 'But you allowed me to do it.' They said: 'We made a mistake. But we punish you anyway'."
Assistant Steve Bould will take charge of Arsenal tonight for the visit to Montpellier and Wenger is predicting a tough test in France for his Gunners side.
"Montpellier wait for this game and maybe they missed a bit their championship because there is so much attention on this game," he continued.
"What they did last season is a miracle because a few years ago, they were in the second division. For this club, it is something exceptional."
Malema abaniwa kuhutubia wachimba migodi

Mwanasiasa tatanishi nchini Afrika Kusini Julius Malema amezuiwa kuwahutubia wafanyakazi wa migodini wanaogoma katika mgodi wa Marikana.
Takriban wachimba migodi 2,000, walikusanyika katika uwanja mmoja ulioko karibu na mgodi huo Kaskazini Magharibi mwa Johannesburg kumsikiliza Malema.
Migomo ya wachimba migodi ambayo inakumba nchi hiyo tayari imeathiri uzalishaji wa madini ya dhahabu na Platinum katika nchi hiyo ambayo ina utajiri mkubwa wa maliasili.
Rais Jacob Zuma amesema kuwa hatua ya wachimba migodi imesababisha hasara ya karibu dola milioni 548 kwa sekta ya madini.
Akiongea kabla ya kongamano la vyama vya wafanyakazi nchini humo, (Cosatu) Zuma alisema kuwa migomo ya mwaka huu imekosesha hazina ya fedha dola milioni 388.
Wiki jana serikali ilisema kuwa itachukua hatua za dharura dhidi ya wale wanaochochea fujo na hivyo kuisababishia sekta ya madini mamilioni ya hasara.
Baada ya kutofautiana na polisi waliokuwa wanalinda uwanja huo, Malema alisindikizwa na kikosi maalum cha polisi hadi mbali sana na uwanja huo. Magari mawili ya polisi yenye silaha yalifuata gari la Malema na juu angani kukawa na helikopta iliyokuwa inamfuata pia.
Ametoa wito wa maandamano ya kitaifa baada ya hapo awali, kusema kuwa shughuli za migodi lazima zitatizwe.
Malema amekosolewa na wengi ambao wanamuona kama mwenye njama ya kutumia masaibu ya wafanyakazi wa migodini kujinufaisha kisiasa hasa baada ya wachimba migodi 34 kuuawa na polisi wakati wa mgomo wao katika mgodi wa Marikana mwei jana.
chanzo bbc
Mexime achimba mkwara kwa Yanga

KOCHA Mkuu wa timu ya Mtibwa Sugar, Mecky Mexime amesema amegundua udhaifu wa vijana wake na sasa anaufanyia kazi kabla ya kuivaa Yanga kesho Jumatano.
Juzi Mtibwa Sugar ilitoka 0-0 na Polisi Morogoro katika mchezo wa fungua dimba la Ligi Kuu Tanzania uliofanyika Uwanja wa Jamhuri mjini hapa.
Mexime alisema mara nyingi timu yake inapokutana na Polisi Morogoro mchezo unakuwa mkali na lolote linaweza kutokea, hivyo kwa matokeo ya sare si mabaya kwao.
“Polisi Morogoro ni wapinzani wetu wakubwa tofauti na timu nyingine, tunapokutana kila timu inakuwa makini kuhakikisha inashinda ama kutopoteza mchezo na ndivyo matokeo ya leo (juzi),” alisema kocha huyo.
Alisisitiza kuwa vijana wake hawakuwa na bahati ya kufunga mabao baada ya kupata nafasi nyingi za kufunga na kasoro hizo ndizo atakazozifanyia kazi kabla ya kuivaa Yanga Jumatano wiki hii Uwanja wa Jamhuri mjini hapa.
HUU NDIO UKWELI KUHUSU UTATA WA MKATABA WA UDHAMINI WA LIGI KUU TZ BARA.

Siku ya jumamosi tarehe 15, mwezi wa tisa mwaka 2012, soka la Tanzania lilitengeneza historia nyingine mbaya.
Ilikuwa ni siku ya ufunguzi wa ligi kuu ya soka ya Tanzania bara na timu mbalimbali zilikuwa viwanjani kutupa karata zao za mwanzo kabisa ndani ya msimu mpya wa 2012/13. Miongoni mwa mechi zilizokuwa zichezwe siku hiyo ilikuwa ni mechi kati mabingwa watetezi Simba na African Lyon zote kutoka Jijini Dar es Salaam.
Mapema asubuhi ya siku hiyo kulikuwa na mkutano wa waaandishi wa habari ulioitishwa na African Lyon na kampuni ya mawasiliano ya simu za mkononi ya Zantel ambao siku hiyo walikuwa wameamua kutangaza rasmi muunganiko wao wa kibiashara - ambapo klabu hiyo itakuwa ikidhaminiwa na Zantel kwa muda wa miaka mitatu.
Hii ilikuwa habari nzuri kwa wapenda maendeleo ya soka wa Tanzania ikizingatiwa ni vilabu vichache tu ndivyo ambavyo vilikuwa vina udhamini hivyo kuwa na nguvu kuliko vilabu vingine na mwisho wa siku ushindani wenye tija katika kuukuza mpira ukawa sio mkubwa. Hivyo kuingia kwa Zantel kuidhamini African Lyon kulimaanisha kutaipa nguvu klabu hiyo kuweza kupambana na vilabu vingine vyenye fedha na nguvu kama Simba, Yanga, Azam, Mtibwa na nyinginezo.
Muda ukapita na saa ya kwenda uwanjani ikafika, timu zote zikawasili uwanjani na kuanza maandalizi ya mchezo. Kama ilivyo ada, kutokana udhamini ulivyo Simba ambao udhaminiwa na Bia ya Kilimanjaro walikuwa na jezi zao zenye nembo ya mdhamini wao na wakaenda kuweka mabango yao ya mdhamini wao pembeni mwa uwanja - African Lyon nao baada ya kuwa wameshakamilisha udhamini wa Zantel, walikuwa na jezi zao zenye nembo ya mdhamini wao na pia wakaenda kuweka mabango uwanjani kama ilivyokuwa kwa Simba. Lakini cha ajabu ikatolewa amri kutoka TFF kwamba African Lyon hawatoruhusiwa kuvaa jezi za mdhamini wao mpya na mabango yao yakatolewa dimbani - huku sababu ikitoka kwamba hairuhusiwi kwa timu binafsi inayoshiriki ligi kuu kuwa na udhamini wa kampuni ya simu tofauti na Vodacom ambao ndio wadhamini wakuu wa ligi kuu. Kwa maana hiyo African Lyon iliwabidi watafute jezi nyingine zisizo na nembo ya mdhamini wao mpya na mabango yao yote yakatolewa ndani ya uwanja wa taifa.
Kitendo kile hakikuwa kizuri na kilitishia hata mechi kuvunjika kwa sababu viongozi wa African Lyon wanasema walifanya kila kitu kwa kufuta sheria na kanuni hivyo walikuwa sahihi, na walisisitiza hata katika kikao cha kabla ya mechi walipeleka jezi zao na zikapitishwa na kwa ajili ya kuchezewa katika mechi ya baadae.
Kiukweli kitendo kile ambacho kilikosa majibu ya kueleweka hakikuwa kizuri na kileleta aibu katika soka letu, pia kinaweza kuwakimbiza wadhamini wengine ambao walikuwa na interest ya kuja kuwekeza kwenye soka letu.
BAADA YA MECHI
Kutokana na kitendo kile nilijaribu kufuatiliwa na kutaka kujua kiundani kwanini imekuwa tatizo kwa African Lyon kuwa na mdhamini ambaye ni mshindani wa kibiashara na mdhamini mkuu wa ligi.
Katika kufuatiliwa kwangu nimekuja kupata taarifa za kuaminika kutoka baadhi ya viongozi wakuu wa vilabu vya ligi kuu kwamba mpaka sasa hakuna mkataba wowote halali wa kibiashara baina ya vilabu hivyo na kampuni yoyote juu ya udhamini wa ligi kuu ya Tanzania bara ambayo msimu huu ipo chini ya vilabu kupitia kamati ya ligi. Kwa maana katibu mkuu wa TFF Bwana Angetile Osiah amekuwa akitoa taarifa za uongo juu ya udhamini mpya wa Vodacom kwenye ligi kuu.
Ni kweli kwamba kumekuwepo au kulikuwepo na mazungumzo ya kati ya Vodacom na vilabu kupitia mwakilishi wao TFF, lakini mpaka sasa hakuna mkataba wa kisheria ulio halali baina ya pande mbili kwa maana hiyo ligi haina mdhamini rasmi. Hivyo taarifa anazotoa katibu mkuu wa TFF sio sahihi.
Mkataba huo sio halali kwa kuwa hakuna kiongozi wa timu yoyote aliyesaini mkataba huo wa udhamini na Vodacom. Ukweli ni kwamba TFF kupitia Angetile Osiah alikuwa kama mdhamini(Guarantor) katika majadiliano na utiaji saini wa mkataba, hivyo ilipaswa kwanza viongozi wa vilabu kupitia viongozi wao Mzee Said Mohamed na Wallace Karia wasaini kwanza ndio wampe Guarantor wao TFF aweke saini, lakini haikuwa hivyo na kwasababu wazijuazo wenyewe Angetile Osiah akatia saini kwenye mkataba kabla ya vilabu kufanya hivyo.
Je kwa sababu zipi, mdhamini wa kwenye mkataba akawa na haraka ya kuusaini mkataba kuliko wahusika halisi kabisa ambao ni vilabu au kuna 10% ya kuhakikisha dili la udhamini linaenda pale anapopataka? Majibu anayo mwenyewe.
KWANINI VILABU HAVIJASAINI MKATABA MPYA NA MDHAMINI WA LIGI?
Viongozi wakuu wa vilabu wanasema sababu kuu walizoshindwana mpaka sasa na mdhamini wa ligi aliyepita ni tatu tu.
1: Mdhamini kutaka apate upekee - yaani asiyewepo mpinzani wa moja kwa moja wa kibiashara katika issue nzima ya kutoa udhamini katika ligi, kwa shirikisho na vilabu pia. Vilabu vikatoa kauli ya pamoja kwamba ili mdhamini mkuu aweze kupata haki ya upekee inabidi a-double fedha anayota kwa mwaka, jambo ambalo Vodacom walilikataa.
2: Fedha za udhamini: Kwa mujibu wa viongozi wa vilabu ni kwamba mdhamini wa ligi aliyepita alitoa ofa ya kutoa kiasi cha Billioni 1.6 kwa kila mwaka ndani ya kipindi cha miaka 3, lakini viongozi wa vilabu wakalipinga hilo kwa kutoa sababu kwamba lazima kiwepo kipengele cha ongezeko la thamaini ya fedha - kwa maana shilingi billioni ya mwaka huu haitakuwa sawa na thamani ya mwaka au miaka miwili mbele. Kwa maana hiyo wakaomba liwepo ongezeko la asilimia 10 ya fedha wanayopewa kwa kila mwaka.
3: Pendekezo la tatu ni kwamba mkataba uwe wa miaka miwili na si mitatu. Suala hili pia likakataliwa.
Mapendekezo haya matatu ndio yaliyochangia uchelewashaji au kutokuwepo kwa mkataba wa udhamini wa ligi ulio halali kisheria.
NINI KINAFUATA
Kwa taarifa nilinazo ni kwamba viongozi wa timu za ligi kuu walikuatana jana jioni jijini Dar Es Salaam ili kujadili namna ya kuepukana na ukiritimba wa TFF na mikataba yao, na ikiwa kutatokea kampuni yoyote yenye kutaka kuidhamini ligi kuu lazima suala ya 'exclusivity ' lisiwepo ama kuongeza kiasi cha pesa na kufikia walau shilingi za kitanzania bilioni tatu ili kuondoa aibu ambayo iliikumba soka ya Tanzania jumamosi.
Pia wakaafikiana kwamba ligi ya mwaka huu itaitwa "Ligi kuu ya Tanzania Bara" na sio vinginevyo, huku wakitoa kauli rasmi kwamba hawautambui mkataba wa udhamini na Vodacom kwa sababu sio halali kwa maana hakuna kiongozi yoyote wa klabu aliyetia saini mkataba huo.
Pia viongozi wa vilabu kwa pamoja wamesikitishwa sana na kitendo ilichofanyiwa African Lyon na kukilaani vikali.
source shaffihdauda
Silva kuendelea kuwepo Man city kwa miaka 5 zadi

David Silva ametia saini mkataba mpya wa miaka mitano kuendelea kucheza soka katika klabu ya Manchester City, na atasalia katika uwanja wa Etihad angalau hadi mwaka 2017.
Mchezaji huyo wa kimataifa wa Uhispania, mwenye umri wa miaka 26, alijiunga na timu hiyo kutoka Valencia mwaka 2010, na alishindwa kucheza katika mechi mbili tu tangu alipojiunga na City, ambao waliibuka mabingwa wa ligi kuu ya Premier msimu uliopita, na ukiwa ndio ushindi wao wa kwanza tangu mwaka 1968.
Mchezaji huyo alikuwa amehusishwa na gumzo kwamba alikuwa na mipango ya kurudi Uhispania, lakini amesisitiza atakuwa radhi kuendelea kucheza soka nchini Uingereza.
"Ninajihisi nimo katika hali ya furaha katika klabu, na hayo ikiwa ni pamoja na wakazi wa mji huyo," ameelezea kupitia wavuti ya klabu.
Ngassa atamani ufungaji bora

MRISHO Ngassa 'Anko' amefurahia kuanza kwa ushindi mnono mechi ya Ligi Kuu Bara katika kikosi chake kipya cha Simba, lakini akatoa la moyoni kwa kusema amekabidhi miguu yake yote kwa Mungu ili amjalie awe mfungaji Bora.
Ngassa kwa mara ya kwanza ameichezea Simba kwenye mechi ya ufunguzi ya ligi dhidi ya African Lyon jijini Dar es Salaam akitokea Azam FC wakaifunga mabao 3-0 ambapo ushindi huo ulichangiwa na mchango wake mkubwa kwenye timu.
"Najisikia furaha katika kikosi changu hiki kipya baada ya kuanza kwa ushindi wa kishindo."
"Hii ni dalili njema kwetu kama tutaendelea na msimamo huu kucheza kwa kujituma ili tusipoteze mechi," alisema.
source; mwanaspoti gazeti
Kocha wa Yanga aanza visingizio

lisema hakufurahishwa na tukio la kusubiriwa kwa chakula cha wachezaji wakati wakiwa Mbeya, dhidi yao walipatiwa huduma hiyo saa moja baadaye na kitendo hicho hakikuendana na hadhi ya klabu hiyo.
Mbali na hayo ameuambia uongozi kwamba haiwezekani timu ikapata matokeo mazuri wakati maandalizi yake hayaendani na dhamira hiyo, huku akiongeza kuwa katika maisha yake.
Alisema yeye hajawahi kulala kwenye hoteli ya hadhi ya chini kwenye nchi zote 20 za Afrika alizotembelea, na tano alizowahi kufanya kazi kama waliyolala wakati wakiwa jijini Mbeya mwishoni mwa wiki.
Saintfiet alisema hata hivyo kuwa, sare ya bila kufungana ambayo timu hiyo ilianza nayo kwenye msimu huu wa Ligi Kuu ya Tanzania wa mwaka 2012/ 2013 dhidi ya wenyeji Prisons haijawakatisha tamaa na kusisitiza kwamba Yanga haina hofu ya kutotwaa ubingwa msimu huu.
Hayo yalisemwa na Kocha wa Yanga, Tom Saintfiet amesema kwamba hakuridhishwa na mazingira ya hoteli ambayo timu hiyo ililala ikiwa Mbeya huku akisema kwamba kitendo cha wachezaji kulala wawili katika kila kitanda kimoja kilimkera na kwamba hatarajii kuona mambo ya aina hiyo yakijirudia.
"Didier (Kavumbagu) na Twite (Mbuyu) walilala kitanda kimoja kidogo cha ukubwa wa chini ya futi nne huku wakiwa wamebanana sana... unadhani hao wanaweza kuamka na kucheza vizuri? Kwakweli sijafurahishwa na hali hii. Ni aibu.
Mbona tulipokuwa Kigali (Rwanda) tulilala kwenye hoteli nzuri inayofanana na hadhi ya timu yetu," alilalamika kocha huyo raia wa Ubelgiji.
Hata hivyo, Saintfiet alisisitiza kuwa huduma 'mbovu' walizopata sio sababu kubwa ya mwanzo wao usiovutia wa sare dhidi ya Prisons.
"Kipa wao alionyesha kiwango kizuri kwa kuokoa mashuti matatu ya Kiiza (Hamis) na moja la Msuva (Simon). Tulicheza vizuri lakini si katika kiwango chetu cha juu," alisema Saintfiet.
Naye Katibu Mkuu wa Yanga, Selestine Mwesigwa, aliliambia gazeti hili kwamba wamepokea malalamiko ya kocha huyo na kuahidi kutofikia tena katika hoteli ya kiwango cha chini.
Alisema walitarajia kukutana na kocha huyo ili kupanga maandalizi ya timu yao, na kumueleza uwezo wa klabu yao kwa sasa na bajeti waliyonayo.
Friday, September 14, 2012
Capello:Falcao ananivutia kiuchezaji kuliko Messi

Russia coach Fabio Capello has taken the time to praise Atletico Madrid striker Radamel Falcao, saying that the Colombia international has impressed him as much as Lionel Messi when he saw him for the first time.
The 26-year-old has been in sublime form in the opening weeks of the 2012-13 campaign, netting hat-tricks against Athletic Bilbao and Chelsea, and his good performances have earned him positive words from the former England boss.
"Throughout my entire career, there has been only one player who impressed me as much as Messi when I first saw him against my Juventus at the Joan Gamper trophy, and that is Radamel Falcao," Capello was quoted as saying by La Gazzetta dello Sport.
"He is a fantastic striker, without a doubt the best around at the moment."
Falcao has been linked with clubs such as Real Madrid and Manchester City in recent weeks, but is under contract with Atletico until June 2016.
Bondia Hatton kurudi ulingoni

Ricky Hatton, bondia wa Uingereza ambaye zamani alikuwa ni bingwa wa dunia katika viwango viwili vya uzani tofauti, inaelekea huenda leseni yake ya kurudi katika ngumi ikaidhinishwa hivi karibuni.
Hatton, mwenye umri wa miaka 33, alihudhuria kikao cha bodi ya ngumi, British Boxing Board of Control (BBBoC), mjini Cardiff, siku ya Jumatano, na anatazamiwa kuitisha mkutano na waandishi wa habari Ijumaa.
Katibu mkuu wa bodi, Robert Smith, aliielezea BBC kwamba: "Leseni yake atarudishiwa, mara tu baada ya kukaguliwa hali yake ya afya.
"Alizungumza vyema, anaonekana kuwa mwenye afya nzuri, na angelipenda kwa mara nyingine kushangiliwa."
Hatton, ambaye alibandikwa jina la utani 'The Hitman', yaani 'mgongaji', hajawahi kupigana tena tangu aliposhindwa kwa KO katika raundi ya pili, alipotandikana na Manny Pacquiao mwezi Mei, mwaka 2009.
Mwaka 2010, bodi hiyo ya ngumi ilimpokonya Hatton leseni, kufuatia madai ya kutumia dawa ya kulevya ya cocaine.
"Anaonekana yuko katika hali nzuri kabisa, hana shida yoyote, na inaelekea hana matatizo yoyote," alielezea Smith.
"Kutokana na matamshi yake, inaelekea ametulia vyema na familia yake. Tayari ameshapitia ukaguzi fulani wa kimatibabu, na tumo katika kuhakikisha anakamilisha utaratibu mzima."
source; bbc
TFF yatoa vifaa Hospitali ya Temeke

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) litatoa vifaa vyenye thamani ya Sh7.3 milioni kwa Hospitali ya Temeke, mkoani Dar es Salaam ikiwa ni asilimia 5 ya fedha zilizopatikana kwenye mechi ya Ngao ya Jamii iliyozikutanisha Simba na Azam.
Mechi hiyo ya Ngao ya Jamii kuashiria ufunguzi wa msimu mpya wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara ilichezwa Jumanne kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, uliingiza Sh 146, 640,000.
Jumla ya mashabiki 26,001 walikata tiketi kushuhudia mechi hiyo ambayo ilimalizika kwa Simba kushinda mabao 3-2.
Kwa mujibu wa Ofisa wa Habari wa TFF, Boniface Wambura, Sekretarieti ya TFF inatarajia kukutana na uongozi wa Hospitali ya Temeke ili kujua mahitaji halisi kabla ya kufanya ununuzi wa vifaa husika.
Iwapo TFF itatekeleza ahadi hiyo itakuwa ni mara ya kwanza kuitimiza baada ya miaka miwili mfululizo fedha hizo kutafunwa bila ya kuwafikia walengwa.
Mwaka juzi fedha hizo zilielekezwa kwa wahanga wa mabomu ya Gongolamboto, lakini ilikuwa kinyume kwani hazikufika kwa walengwa na mwaka jana TFF ilipanga fedha hizo za Ngao ya Jamii kupelekwa Chama cha Madaktari Wanawake (Mewata) kwa ajili ya kusaidia kampeni za kupambana na saratani ya matiti hata hivyo hawakuziwasilisha kitendo ambacho kilileta mvutano na Mewata.
TFF baada ya kubanwa na vyombo vya habari walikiri kuzitumia fedha hizo za Mewata kwenye mahitaji mengine na kuahidi kuzilipa.
Fedha ambazo ilikuwa Mewata ipate ni asilimia 15 ya mapato yaliyopatikana kwenye mechi ya Ngao ya Hisani kati ya Simba na Yanga.
Hata hivyo mmoja wa Madaktari wa Mewata, Dk Lilian aliiambia Mwananchi kuwa TFF walizipeleka fedha hizo mwezi wa sita mwaka huu.
"Tunashukuru mlitusaidia, baada ya kuzihangaikia sana mwezi wa sita mwaka huu walituletea," alisema Dk Lilian.
Mchango wa kusaidia jamii kwenye mechi ya Ngao ya Jamii kuzindua msimu uliopita kati ya Yanga na Simba ulikuwa Sh15,000,000 ambazo zilikwenda Chama cha Madaktari Wanawake Tanzania (Mewata) kusaidia uchunguzi wa saratani ya matiti.
Katika mchezo wa Jumanne wa Ngao ya Jamii kati ya Simba dhidi ya Azam, jumla ya Sh146, 640,000 zilipatikana, ambapo TRA walichukua asilimia 18 ya mapato hayo ambayo ni Sh22,368,813.56, asilimia 5 ya mchango wa kusaidia jamii (Hospitali ya Temeke) Sh7,332,000, uwanja Sh10,148,318.64, Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA) Sh4,059,327.46, TFF Sh10,148,318.46 na Mfuko wa Maendeleo ya Mpira wa Miguu (FDF) Sh5,074,159.32.
Baraza la Michezo la Taifa (BMT) Sh1,014,831.86, kila timu ikiambulisha Sh32,265,025.93, asilimia 10 ya gharama za mchezo Sh10,148,318.64, nauli kwa waamuzi na kamishna Sh80,000, posho ya kujikimu kwa waamuzi na kamishna 230,000, posho ya waamuzi 400,000, tiketi Sh4,495,800, maandalizi ya uwanja (pitch) Sh400,000, umeme Sh300,000, usafi na ulinzi uwanjani Sh2.350,000 na Wachina (Beijing Construction) Sh2,000.000.
Thursday, September 13, 2012
MOISE KATUMBI NA MIPANGO YA KUIFANYA TP MAZEMBE MOJA YA KLABU KUBWA DUNIANI


"Badilini maono yenu, achaneni na mawazo potofu na anzani kuisadia Africa kwa sababu Africa inajisaidia yenyewe."
Hizo ni kauli zinazotolewa na Jerome Champagne, mkurugenzi wa zamani wa mahusiano ya kimataifa katika chombo kinachoongoza soka duniani FIFA, ambaye kwa sasa anafanya kazi kama mshauri wa timu ya TP Mazembe.
Raia huyu wa Ufaransa anaamini klabu hiyo ya Jamhuri ya Congo ipo kwenye mstari wa mbele wa mabadiliko, chini ya umiliki wa Moise Katumbi.
Mwaka 2010, Mazembe walitengeneza historia ya kuwa klabu ya kwanza ya Africa kuweza kufika fainali ya klabu bingwa ya dunia na Champagne anahisi mafanikio hayo ni ushahidi wa namna timu hiyo ilivyojipanga kupata mafanikio kwa klabu na bara zima kwa ujumla.
Aliiambia BBC Sport: "TP Mazembe ni taasisi itakayoiletea sifa kubwa Africa.
"Ni suala la kuueleza au kuuonyesha ulimwengu kwamba Africa haijalemaa - Africa inaendelea mbele ikiwa na viongozi wapya, watu sahihi kabisa walio na mapenzi na kazi zao, waaminifu, na wafanyakazi kwa bidii.
"Kitu ambacho Mr.Katumbi anajaribu kufanya na Mazembe ni kutuma ujumbe kwa ulimwengu: 'hey, ndio tuna matatizo huku lakini tuna mbinu nzuri na uwezo mzuri hivyo tutafanikiwa."
Mazembe ni washindi wa mara nne wa kombe la mabingwa wa Africa, kombe lao la hivi karibuni ni mwaka 2010, na sasa tayari wapo kwenye nusu fainali ya champions league ya msimu huu. Lakini bado klabu haijulikani sana nje ya Africa.
Mwanadiplomasia wa zamani Champagne ameletwa katika klabu hiyo na Katumbi kusaidia kuleta mbadiliko na kuhakikisha kwamba mafanikio ya uwanjani yanawiana na umaarufu wa klabu nje ya dimba.
Ana uhakika kwamba kwa uwezo wa kifedha wa na maono ya mfanayabishara tajiri Katumbi, klabu hiyo kutoka Lubumbashi inaweza kuwa moja ya timu kubwa sana katika ulimwengu wa soka.
"Mr Katumbi amefanya kazi nzuri sana katika kuifanya klabu kuwa washindi wa pili katika FIFA Club World Cup mwaka 2010. Na hataki hilo liwe la mwisho. Anataka mafanikio zaidi," aliendelea Champagne.
"Majukumu yangu ni kumsaidia kimataifa, kumsaidia katika mawasiliano na mambo ya kisiasa.
"Ana maono ya kuifanya klabu hii kuwa na nguvu na yenye kujitegemea zaidi. Anataka klabu kuwa na makubaliano na klabu nyingine barani ulaya na America ya kusini ili kuweza kufaidika kutokana na uzoefu kutoka kwenye hizo klabu.
"Mazembe inaweza kutuma wachezaji kwenye klabu hizo kwa ajili ya kujifunza na kupata uzoefu zaidi kwa staili tofauti. Lengo letu ni kuweza kushindana katika level ya dunia.
"Suala hili halitawezekana ndani ya usiku mmoja. Lakini kwa mfano tumeanza kwa kuweka lugha ya kiingereza kwenye mtandao wa TP Mazembe, ambao mwanzoni ulikuwa na lugha moja tu ya kifaransa.
"Tunaamini tuna vitu vingi sana ambavyo mashabiki wa TP Mazembe duniani kote wanapaswa kujua nini hasa Mazembe inafanya."
Wakati baadhi ya watu wanaweza wakahisi TP Mazembe wanafanikiwa kwa sababu tu ya utajiri wao wa mmiliki, Champgne anajaribu kuelezea maoni yake kwamba inachukua zaidi ya fedha nyingi kutengeneza klabu.
"Fedha sio kila kitu," anasisitiza. "Kitu kinacholeta utofauti hapa ni Mr Katumbi sio tu kwa sababu ana fedha za kuwekeza lakini ni mvumilivu.
"Inabidi uwasaidie watoto wakue, kutengeneza staili ya timu itakavyocheza na filosofia ya timu kwa ujumla inahakikisha wachezaji wanakuwa wanafanya mambo yao kwa adabu na kufuata kanuni na sheria mlizojiwekea - hivyo wanavyosafiri wawe ndio kioo na kinawachowakilisha klabu na heshima na maadili ya nchi waliyotoka
"Mr Katumbi na maono mazuri na mvumilivu. Na suala kupeana muda ni muhimu sana kwenye soka.
"Sio rahisi kwa sababu unaweza kufanya kazi vizuri kwa muda mrefu lakini unaweza ukapoteza kwa sekunde 10 kutokana na vitendo vya mchezaji vya ukosefu wa nidhamu - hivyo mambo yeote mazuri ya mwaka mzima yanaweza yakaharibiwa na kosa moja tu.
"Soka inaweza ikawa na ukatili mkubwa lakini huo ndio uzuri wa mchezo huu."
"Mchezo huu ni wa dunia nzima na sio mchezo wa kikundi cha watu fulani. Kila nchi ina haki ya kuendelea na kushiriki. Kila bara lazima lipokee nafasi sawa katika kushiriki na kushinda.
"Mipango ya Mazembe ni mizuri sana na ndio maana najisikia vizuri kufanya kazi hapa. Najisikia amani sana kuwa sehemu ya klabu, filosofia na kuweza kuwa karibu na Mr Katumbi ambaye anandoto ya kuifanya Mazembe kama ilivy Manchester United.
ghadhabu katika nchi za Kiarabu


Kumezuka ghasia zaidi nje ya ubalozi wa Marekani mjini Cairo kati ya polisi na waandamanaji wanaokashifu filamu ambayo wanasema kuwa inakejeli imani ya Kiislamu.
Runinga ya Misri ilionyesha gari likiteketezwa moto na watu wengine wakikimbia vitoza machozi
Marekani
Wakati huohuo maafisa wa Marekani wanasema serikali ya nchi hiyo inachunguza ikiwa mashambulio ya jumanne kwenye ubalozi wa Marekani katika mji wa Libya wa Benghazi yalikuwa ni ya kupangwa au la .
Balozi wa Marekani nchini Libya , Christopher Stevens, aliuawa .
Maafisa wa Marekani wameelezea mashambulio hayo kama yenye utata na yenye kupangwa kitaalamu na kuna tetesi kwamba makundi ya jihad huenda yalihusika .
Awali ilifikiriwa kuwa mashambulio hayo yalikuwa na uhusiano na maandamano ya kupinga filamu iliyokuwa inamkejeli Mtume Mohammed.
Takriban waandamanaji mia mbili wamekusanyika karibu na ubalozi wa Marekani mjini Cairo Misri kwa usiku wa pili kuelezea hasira yao juu ya filamu hiyo .
Aliyekuwa balozi wa Marekani nchini Libya Christopher Stevens
Awali waandamanaji walirusha mawe kwenye ubalozi huo na vikosi vya usalama vikafyatua mabomu ya kutoa machozi kuwa tawanya.
Watu wenye silaha waliokuwa na maguruneti walichomo moto jengo la ubalozi na walioshuhudia wanasema watu hao walizingira eneo hilo.
Rais Obama amelaani vikali shambulio hilo na ameahidi kushirikiana na serikali ya Libya kuwafikisha mbele ya sheria wahusika
BINAM kwenye ngoma na Wyre+Prezzo!

Binamu Amefunguka kuhusu kubadilisha mawazo ya kufanyia Video wimbo wake wa 'Amen' aliyowashirikisha Brother man Dully Sykes na Ay na kudai kuwa umekaa sana hewani kwa hivyo muda wake wa kutenezea video umepita, so watu wasahau.
NEW PROJECT
Ni kwamba jamaa kwasasa yuko kwenye mishe ya kukamilisha ngoma nyingine ambayo anafanya na wasaniii toka Kenya Wyre pamoja na Prezzo.
Mpaka tunaandika hapa Wyre alikuwa ameshafanya ya kwake na ilikuwa imebaki kipande cha Prezzo kumalizia ya kwake.
Wimbo unaitwa 'Give Me That Song, na umetengenezwa studio za Wyre.
Fid atangaza ajira kwa WANAVYUO!

Kupitia Project yake ya CHEUSIDAWA TV, msanii Fid Q ametangaza nafasi za kazi kwa wanavyuo wote, tangazo lenyewe linasomeka hiiiii;
TANGAZO KWA WAJASIRIA HIPHOP: Cheusidawa inatafuta wanafunzi wa vyuoni ambao wako tayari kufanya part time work ili kujipatia kipato cha ziada.. esp..wauzaji wa merchandises,cds, books and tix... tuandikie email yenye title hii:: MJASIRIA HIPHOP kwenda humu--> cheusidawatv@gmail.com
Haya acheni kusubiria boom tu hii ni nafasi nyingine ya kujiingizia kipato huku ukiendelea kupiga kitabu.
Kocha Azam akosoa ushindi wa Simba

KOCHA wa Azam FC, Boris Bonjuk amesema ushindi wa Simba kwenye Mchezo wa Ngao ya Jamii ulichangiwa kwa asilimia kubwa na mwamuzi aliyechezesha mechi hiyo.
Kwa mwaka wa pili mfululizo, Simba ilitwaa taji hilo baada ya kuifunga Azam FC mabao 3-2, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam katika mechi iliyojaa kila aina ya ushindani.
Kocha Bonjuk alisema mwamuzi Martine Saanya hakusimama kwenye mstari wa sheria 17 za mchezo wa soka na matokeo yake Simba ndiyo iliyonufaika.
"Alishindwa kutafsiri sheria 17 za mchezo wa soka kama zinavyoelekezwa na iko wazi kushindwa kwake kufanya hivyo kuliisaidia Simba," alisema katika hali ya masikitiko.
"Nilishangazwa kuona mwamuzi akitoa penalti kwa Simba. Unaweza kujiuliza, kweli ile ilikuwa penalti halali. Nadhani hakuwa sahihi kabisa," alisema kocha huyo.
Bonjuk alisema wachezaji wake waliondoka mchezoni na kupoteza morali ya kupambana na sababu kubwa ni uamuzi usiozingatia sheria za mchezo wa soka.
Alishangazwa pia kwa kitendo cha kunyimwa adhabu ya penalti waliyostahili baada ya mshambuliaji wake Kipre Tchetche kuangushwa ndani ya eneo la hatari.
"Nassoro Chollo alimchezea vibaya Kipre katika eneo la hatari, lakini mwamuzi akatoa uamuzi tofauti na uliostahili. Aliisaidia Simba kushinda mchezo huo," aliongeza kocha huyo kutoka Serbia.
Aliisifu Simba na kusema ni timu nzuri na inayoundwa na wachezaji wazuri pia.
Tulicheza vizuri kipindi chote cha kwanza na kupata mabao mawili, lakini baada ya mwamuzi kubadilika na kufanya madudu, wachezaji wangu walishindwa kucheza kwa moyo.
Alisema hana uzoefu na waamuzi wa Tanzania, lakini kama huo ndiyo utamaduni wao, basi kuna kila sababu ya kuangaliwa vizuri.
Inasikitisha pale timu zinapojiandaa vizuri halafu zinaishia kuvunjwa nguvu na uchezeshaji mbovu wa waamuzi, aliongeza.
Nina muda mfupi Tanzania, bado naendelea kujifunza mambo mengi, nitafahamu zaidi kuhusu waamuzi kwenye mechi za ligi, alisema zaidi.
Harambee Ya Mjane Wa Daud Mwangosi; Utaratibu Wa Kuchangia Kijumuiya....

Wengi wameendelea kuitikia wito wa kumchangia mjane wa marehemu mwandishi Daud Mwangosi .
Imeanza pia kujitokeza michango ya kijumuiya. Ni jambo jema sana. Hata hivyo, ili kuepuka kuchanganya siasa kwenye suala hili la kijamii na la kibinadamu katika kumsaidia mjane wa marehemu, kama mratibu wa harambee hii, napendekeza kuanzia sasa wale wote watakaochangishana kijumuiya, hususan za kiitikadi, basi, michango yao iwakilishwe hapa kama michango ya kutoka Jumuiya za Watanzania, popote pale walipo hapa duniani.
Natumia fursa hii pia, kwa kutambua kuwa kuna jumuiya mbali mbali za Watanzania, na za marafiki wa Tanzania kwenye karibu kila kona ya dunia hii, kuwaomba wenyeviti wa jumuiya hizo kukusanya japo michango midogo kwa Wanajumuiya wenzao, iwe Watanzania au marafiki wa Tanzania, walio na utayari wa kuchangia hata kiasi kidogo tu cha pesa kwa mjane wa marehemu.
Michango hiyo inaweza kuwasilishwa kwangu kwa njia zifuatazo; M-Mpesa, Tigo Pesa, Airtel Money au NMB Mobile. Kwa namba 0754 678 252, 0712 95 61 31, 0788 111 765 (Kwa walio nje mnaweza kutuma kwa Western Union, jina la mpokeaji- Maggid Mjengwa, Tafadhali nijulishe kama utatuma kwa njia ya Western Union)
Natanguliza shukran,
Maggid Mjengwa.
SIMBA KUJITOA LIGI KUU

SAKATA la usajili wa beki Kelvin Yondani, limechuka sura mpya zaidi, ambapo sasa uongozi wa Simba umepanga kujitoa katika Ligi Kuu Bara.
Hatua hiyo ya Simba inakuja kufuatia Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kupitia kamati yake ya Sheria, Maadili na Hadhi za Wachezaji, kumuidhinisha beki huyo kuichezea Yanga kwa madai kuwa, kwa mujibu wa kanuni ya 44 kifungu kidogo cha tatu, Yanga ilifuata taratibu za kumsajili.
Akizungumza na Chanzo chetu jana jumatano, Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zakaria Hans Pop muda mchacha baada ya maamuzi hayo, amesema wamelazimika kuchukua uamuzi huo wa kutaka kuiondoa timu hiyo katika ligi, kufuatia kutoridhishwa na jinsi suala la rufaa yao ya kupinga Yondani kuitumikia Yanga, lililovyoshughulikiwa.
Hans Pop amesema wamesikitishwa na hatua ya mwenyekiti wa kamati hiyo ya TFF, Alex Mgongolwa kutaka mfumo wa kupiga kura, ndiyo utumike, badala ya kufuata vifungu vya sheria.
“Kwanza alifanya uamuzi huo (wa kupiga kura) akijua wazi kuwa katika kamati yake kuna wajumbe wengi wenye maslahi na Yanga ambao ni Lloyd Nchunga na Iman Madega ambao waliwahi kuwa viongozi wa juu Yanga pamoja na yeye mwenyewe (Mgongolwa) ambaye ana mapenzi na Yanga.
“Kuna wanachama wetu leo (jana) au kesho (leo) wataenda mahakamani kuishtaki TFF,” alisema Hans Pop na akiongeza:
“Baada ya ya baadhi ya wanachama hao kufungua kesi, sisi pia kama uongozi tunakutana kesho (leo), baada ya kumalizika kwa mchezo dhidi ya Azam. Tunataka kuandaa mkutano mkuu wa dharura kuwaomba wanachama wetu watupe idhini ya kujitoa ligi kuu.
“Likikamilika hilo na lile la kufungua kesi, tunaamini TFF watatufungia kufuatia kupeleka masuala ya michezo katika mahakama za kiraia na baada ya hapo na wao (TFF) watafungiwa na Fifa na hapo ndiyo lengo letu litakamilika la kutaka mpira usichezeke hapa nchini.”
WACHEZAJI SIMBA WAPEWA MILIONI 15 KWA KUTWAA NGAO

KLABU ya Simba imewapa wachezaji wake bonasi ya Sh. Milioni 15 wagawane kwa kutwaa Ngao ya Jamii, wakiifunga Azam FC mabao 3-2 juzi Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam.
Habari kutoka ndani ya Simba, ambazo CHANZO CHETU Kimezipata zimesema kwamba, fedha watagawana wachezaji na benchi zima la ufundi la klabu kwa ushujaa wao wa kutoka nyuma kwa mabao 2-0 na kushinda 3-2 dhidi ya Azam FC jana.
Simba SC, ilitwaa Ngao ya Jamii juzi, baada ya kuifunga Azam FC, mabao 3-2, kwenye Uwanja wa Taifa, Dar e s Salaam, shukrani kwake kiungo Mwinyi Kazimoto Mwitula aliyefunga bao la ushindi dakika ya 78 kwa shuti kali la mbali baada ya kumchungulia kipa wa Azam, Deo Munishi ‘Dida’ amekaaje.
Hadi mapumziko, Azam walikuwa mbele kwa mabao 2-1, yaliyotiwa kimiani na John Raphael Bocco ‘Adebayor’ na kipre Herman Tchetche, wakimtungua kipa namba moja Tanzania, Juma Kaseja.
Bocco alitangulia kufunga dakika ya tano ya mchezo huo, baada ya kupigiwa kona fupi na Abdi Kassim ‘Babbi’, akatoa pasi kwa Abdulhalim Humud ambaye alimrudishia mfungaji huyo akafumua shuti kali la chini likajaa nyavuni pembezoni mwa lango kulia.
Bocco ambaye alikuwa mwiba mchungu kwa safu ya ulinzi ya Simba SC leo, alimtoka Amir Maftah upande wa kulia wa Uwanja na kuingia ndani kabla ya kutoa krosi fupi kwa Kipre aliyemtungua Kaseja na kuipatia Azam bao la pili dakika ya 35.
Simba ilipata bao lake la kwanza dakika ya kwanza ya muda wa nyongeza, baada ya kutimu kwa dakika 45 za kipindi cha kwanza, mfungaji Daniel Akuffo kwa penalti, baada ya Said Mourad kuunawa mpira kwenye eneo la hatari.
Kipindi cha pili Simba walirudi na nguvu zaidi na kuamua kushambulia kwa mipira ya pembeni, ikiwatumia Mrisho Ngassa na Emanuel Okwi ambao walikuwa wakibadilishana reli.
Kwa staili hiyo, haikushangaza Simba ilipotumia dakika 45 za mwisho kwa kufunga mabao mawili yaliyowatoa nyuma kwa 2-1 na kuibuka kidedea kwa ushindi wa 3-2.
Emanuel Okwi alimchambua kama karanga Erasto Nyoni na kuingia ndani kabisa akiwatoka mabeki wengine wa Azam, kabla ya kuujaza mpira nyavuni kwa shuti kali na Kazimoto akamaliza kazi dakika ya 78.
Kwa ujumla katika mchezo huo, Azam ilitawala kipindi cha kwanza na ilikosa mabao mawili zaidi ya wazi kupitia kwa Himid Mao na Kipre, lakini kipindi cha pili Simba walitawala mchezo na kama wangekuwa makini, nao wangeweza kuvuna mabao zaidi.
Naibu Waziri wa Kazi, Makongoro Mahanga alimkabidhi ngao Nahodha wa Simba, Juma Kaseja baada ya mechi hiyo, ambaye alikwenda kushangilia na wachezaji wenzake na mashabiki wa timu hiyo.
Hiyo inakuwa mara ya pili mfululizo Simba wanatwaa Ngao, baada ya mwaka jana pia kuibeba wakiifunga Yanga 2-0.
Aidha, hiyo inakuwa mechi ya tano ya Ngao ya Jamii kuchezwa kihistoria nchini na ya pili kuishirikisha timu nje ya wapinzani wa jadi wa soka ya Tanzania, Simba na Yanga.
Mtibwa ilicheza na Yanga mwaka 2009, baada ya Simba kugoma na ikashinda mabao 2-1 na kutwaa Ngao, wakati kabla ya hapo, mwaka 2001, Ligi Kuu ya Tanzania ikiwa bado inadhaminiwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), kupitia bia ya Safari Lager, ilichezwa mechi ya kwanza ya Ngao kihistoria.
Katika mechi hiyo, Yanga ilishinda mabao 2-1 dhidi ya Simba na mwaka juzi Yanga iliifunga tena Simba kwa penali 3-1 kufuatia sare ya 0-0 na mwaka jana, Simba ilitwaa Ngao ya kwanza katika historia yake, kwa kuifunga Yanga mabao 2-0.
Ikumbukwe mara ya mwisho Simba SC ilipokutana na Azam FC, katika Robo Fainali ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati, Kombe la Kagame, Julai mwaka huu, Dar es Salaam, ilifungwa mabao 3-1, yote yakifungwa na Bocco na lile la kufutia machozi kwa wekundu hao Msimbazi liliwekwa kimiani na kiraka Shomari Kapombe.
Katika mchezo huo, kikosi cha Simba kilikuwa; Juma Kaseja, Nassor Masoud ‘Chollo’, Amir Maftah, Paschal Ochieng/Juma Nyosso dk 73, Shomary Kapombe, Ramadhan Chombo/Amri Kiemba dk69, Mrisho Ngassa, Mwinyi Kazimoto, Daniel Akuffo/Abdallah Juma dk64, Haruna Moshi na Emanuel Okwi.
Azam FC; Deo Munishi ‘Dida’, Ibrahim Shikanda, Erasto Nyoni, Said Mourad, Aggrey Morris, Abdulhalim Humud, Ibrahim Mwaipopo/Salum Abubakar dk 58, Himid Mao, John Bocco, Abdi Kassim/Kipre Michael Balou dk 69 na Kipre Herman Tchetche/Zahor Pazi dk 82.
Tuesday, September 11, 2012
Mwasiti agongewa ngoma na MMAREKANI!

Zamani wengi tulikuwa tukimwona kama binti mdogo, lakini hivi sasa naweza kusema ni mdada mkubwa haswaa, huyu si mwingine bali ni Mwasiti Almasi ambae kwa sasa anafanya vizuri sana na pini lake MAPITO.
Akiongea kwa njia (SMS) wikiendi iliyoisha, mdada huyu ambaye ni zao la nyumba ya vipaji ya (THT) ameweka wazi kuwa amefanya ngoma na producer mkubwa marekani anaeitwa Hakeem.
Kwa taarifa yenu tu ni kwamba Hakeem ameshawahi kufanya ngoma na wakali kibao duniani akiwemo Akon kwenye pini (i wanna be with you),ameshafanya na Youssu ndor na wakali wengine kibao.
"Nimefanya nae ngoma mbili moja ikizungumzia wanawake na matatizo yanayowakuta, ila ya pili ipo kibongo fleva zaidi, nimefurahi sana na naiheshimu sana kazi yangu."
SIMBA YAKANA KUMTEKA YONDAN

MWENYEKITI wa Kamati ya Usajili ya Simba SC, Zacharia Hans Poppe amesema kwamba mpango wa kumteka beki Kevin Yondan kama kweli ulikuwepo ni wa mtu binafsi na si maamuzi ya klabu, kwa sababu hawana sababu ya kumteka mchezaji wao halali kwa mujibu wa sheria zote.
“Yondan ni mchezaji halali wa Simba, kwa mujibu wa sheria zote, sasa tumteke ili iweje? Kama kweli hilo lipo, basi litakuwa la mtu binafsi na si mpango wa klabu. Na kama huyo mtu kafanya hivyo, hatuelewi kafanya hivyo kwa nia gani,”alisema Hans Poppe.
Alisema baada ya kupata taarifa hizo, wanazifanyia kazi, watamuita huyo kiongozi anayedaiwa kuhusika na sakata hilo, ili wamhoji kujua nini ilikuwa dhamira yake.
“Jamani hakuna shaka yoyote Yondan ni mchezaji wa Simba, ameasi tu na sheria zitamrudisha Simba,”aliongeza Hans Poppe.
Wakati leo Kamati ya Sheria, Maadili na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), chini ya Mwenyekiti wake, Alex Mgongolwa inatarajiwa kutoa uamuzi kuhusu kesi za mabeki wawili wa Yanga, Mbuyu Twite na Kevin Yondan, ambao usajili wao unapingwa na Simba, sakata hilo limechukua sura mpya jana.
Inadaiwa Yondan jana alitekwa na klabu yake ya zamani, Simba SC katika kile kinachoelezwa jitihada za kumrudisha nyumbani, lakini dili hilo likakwama baada ya mchezaji mwenyewe kuwatoroka viongozi wa Simba.
Akizungumza na chanzo chetu jana usiku, Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Yanga, Abdallah Ahmad Bin Kleb alisema kwamba mchezaji wa zamani wa Simba, ambaye aliwahi kukutwa na kashfa ya kutaka kumhonga mchezaji wa timu pinzani akitumiwa na klabu yake hiyo, ndiye aliyemuingiza Yondan kwenye mtego.
“……..alikwenda kwa Yondan, akasema amekwenda kumsalimia na kwa kuwa wanafahamiana wamewahi kucheza wote wa Simba, Yondan hakuwa na tatizo. Baada ya mazungumzo akaaga anaondoka, akaomba asindikizwe hadi mjini, kufika mbele kidogo, yule mchezaji akaomba aendeshe gari la Yondan. Yondan akampa.
Yule jamaa akapeleka lile gari moja kwa moja hadi kwa…………..(kiongozi wa juu wa Simba), kufika wakaingia ndani, Yondan anamuuliza huku wapi tena, ooh naenda kuchukua mpunga (fedha) kidogo kwa…..(huyo kiongozi). Walipofika, akamshawishi Yondan waingie naye ndani, na kwa kuwa Yondan alikuwa anajiamini, akashuka wakaingia.
Kufika, jamaa (kiongozi) akamtolea (Yondan) Sh. Milioni 20 ili asaini fomu za Simba na muda ule ule azungumze na Radio Clouds kutangaza kwamba yeye ni mchezaji halali wa Simba, Yondan akakataa. Jamaa akaongeza burungutu la fedha, bado mchezaji akakataa. Alipoona anazidi kubanwa, akaomba aende chooni mara moja. Ndipo alipotoka akampigia simu Seif (Ahmad ‘Magari’) kumuambia haraka haraka kinachoendelea.
Seif akamuambia ajitahidi atoke nje ya jengo hilo na gari lake aliache tu humo ndani, kwa kuwa ufunguo wa gari lake alikuwa nao huyo mchezaji aliyetumwa, wale kule wakajiamini atarudi tu. Yondan akafanikiwa kutoka na anafika tu nje ya geti, tayari mtu kafika kumchukua na baada ya muda Seif naye akafika.
Kule ndani walipoona Yondan harudi, yule mchezaji akatumwa kutoka kumfuatilia, akatoka nje akakutana na Seif, akamkamata akampakia kwenye gari akaondoka nao wote.
Sema naye yule (mchezaji aliyetumwa) kule mbele akafanikiwa kumtoroka Seif, ila kesi imefunguliwa Polisi dhidi ya huyo kiongozi wa Simba na huyo mchezaji. Na aliyefungua ni Yondan mwenyewe. Sasa hii ndio picha halisi,”alidai Bin Kleb.
Ikumbukwe, mapema Jumatatu wiki iliyopita, kikao cha baina ya klabu hizo mbele ya Kamati ya Sheria, Maadili na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), chini ya Mwenyekiti wake, Alex Mgongolwa, kilivunjika bila kufikia makubaliano kuhusu pingamizi za Simba dhidi ya Yanga.
Katika kikao hicho kilichoanza majira ya saa 7:00 mchana, hoja ya kwanza kuwasilishwa mezani ilikuwa ni suala la beki Twite na upande wa Yanga uliwakilishwa na Sanga na Katibu, Celestine Mwesigwa wakati kwa Simba walikuwepo Makamu Mwenyekiti, Geoffrey Nyange ‘Kaburu’ na Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili, Kapteni wa zamani wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Zacharia Hans Poppe.
Ikumbukwe, Simba iliwasilisha malalamiko ya kufanyiwa mchezo usio wa kiungwana na Yanga kwa Twite. Ilidai Twite alisaini mkataba na klabu yao Agosti 1, mwaka huu mbele yao, viongozi wa Shirikisho la Soka Rwanda (FERWAFA) na APR na kulipwa dola za Kimarekani 30,000 na nyingine 2,000 za nauli ya kuja Dar es Salaam kujiunga na klabu hiyo. Hata hivyo, mchezaji huyo akahamia Yanga.
Katika mjadala huo, Simba ilikubali kurudishiwa fedha zao, lakini viongozi wa Yanga wakasema hawawezi kutoa hadi waombwe radhi na Mwenyekiti wa Simba, Alhaj Ismail Aden Rage, ambaye alisema viongozi wa klabu hiyo yenye maskani yake makutano ya mitaa ya Twiga na Jangwani wana ‘fedha chafu za EPA’.
Simba wakasema kauli yake ya Rage ilikuwa sehemu ya utani wa jadi, kama ambavyo Yanga walimvalisha jezi Twite yenye jina la Rage.
Kufikia hapo, Simba wakasema hawawezi hata kujadili suala la Kevin Yondan na Kamati ya Mgongolwa ikasema itapitia maelezo ya pande zote, watatoa majibu kwa mujibu wa kanuni na sheria Septemba 10, mwaka huu, yaani leo.
Katika kesi ya Yondan, walalamikaji ni Simba, ambao wanadai beki huyo alisaini Yanga akiwa bado ana mkataba na klabu yao.
Awali, Kamati ya Mgongolwa ilikutana Jumapili iliyopita asubuhi hadi usiku, bila kupata suluhisho la pingamizi hizo na kuamua kutumia busara ya kuzikutanisha pande zinazopingana kujaribu kupata suluhu siku iliyofuata.
Pingamizi nyingine zilikuwa ni, Azam inayopinga usajili wa Ramadhan Chombo ‘Redondo’ kwenda Simba kwa maelezo bado ina mkataba naye unaomalizika Juni 11 mwakani na inaelezwa tayari klabu hizo zimekwishamalizana juu ya kiungo huyo.
Yanga inapinga Simba kuwaacha wachezaji Dan Mrwanda, Haruna Shamte, Kanu Mbiyavanga na Lino Masombo kwa maelezo walishapatiwa leseni za kucheza Ligi ya Tanzania walizozitumia kwenye mashindano ya Kombe la Kagame. Pia inapinga Ramadhan Chombo ‘Redondo’ kujiunga Simba kwa vile ana leseni ya kuchezea Azam kwa msimu wa 2012/2013.
Pingamizi lingine la Yanga kwa Simba ni kuwa imezidisha idadi ya wachezaji wa kigeni wanaotakiwa kusajiliwa kwa maelezo inao wanane wakati wanaoruhusiwa ni watano. Imewataja wachezaji hao kuwa ni Lino Masombo, Felix Sunzu, Emmanuel Okwi, Mussa Mude, Kanu Mbiyavanga, Pascal Ochieng, Komalmbil Keita na Daniel Akuffor.
Pingamizi nyingine ambazo jumla zinahusu wachezaji 17 walioombewa usajili katika timu za Ligi Kuu ni Toto Africans ya Mwanza imewawekea pingamizi wachezaji Enyinna Darlington aliyeombewa usajili Kagera Sugar, na Mohamed Soud anayekwenda Coastal Union kwa maelezo kuwa bado ina mikataba na wachezaji hao.
Pia Flamingo ya Arusha inapinga usajili wa wachezaji wake Kelvin Friday Iddy katika timu za Azam na Salim Walii (Polisi Mara) kwa vile taratibu za kuwahamisha bado hazijafanywa. Nayo Kagera Sugar inapinga usajili wa beki David Charles Luhende kwenda Yanga kwa vile ada ya uhamisho haijalipwa.
Super Falcon ya Chanjamjawiri, Chakechake, Pemba inapinga wachezaji wake wanne; Edward Christopher Shija, Samir Said Luhava (Simba), Robert Joseph Mkhotya (African Lyon) na Sultan Juma Shija (Coastal Union) kusajiliwa katika timu hizo kwa maelezo taratibu halali za uhamisho hazikufuatwa.
Mchezaji Othman Hassan aliyeombewa usajili Coastal Union anapingwa na Oljoro JKT kwa vile bado ana mkataba na timu hiyo unaomalizika Mei 24, 2013. Nayo Rollingstone Multipurpose Ateclass Foundation ya Arusha inapinga usajili wa Kigi Makassy kutoka Yanga kwenda Simba hadi itakapolipwa fidia ya kumlea mchezaji huyo kwa vile bado hajafikisha umri wa miaka 23. Pingamizi zote zitatolewa majibu leo na Kamati ya Mgongolwa.
Sunday, September 9, 2012
SIR ALEX FERGUSON AITAKA BODI IMREJESHE MAN UNITED RONALDO
Waziri wa Kenya auziwa gari lililoibiwa

Waziri mmoja wa Kenya amekanusha kuwa amehusika na wizi wa gari moja la rais ambalo amekutwa nalo.
Rais Daniel Arap Moi
Waziri wa Serikali za Mitaa, Fred Gumo, alisema gari lake alikuwa amempa mfanya biashara alioko Mombasa na badala yake akakabidhiwa hilo gari, ambalo lilikuwa limeibiwa kutoka kwa rais wa zamani, Daniel Arap Moi, miaka mine iliyopita.
Bwana Gumo alisema hakujua kuwa gari hilo lilikuwa la kuibiwa.
Alisema hakulitumia sana kwa sababu hakupata nyaraka zote za gari hilo.
Chipolopolo yailipua Cranes

Mabingwa wa Afrika Zambia wamewafunga Uganda bao 1-0 katika mechi iliyochezwa uwanja wa Levy Mwanawasa , mjini Ndola ,zambia, Jumamosi.
Hii ilikuwa mechi ya kuwania kufuzu kucheza fainali za kombe la Afrika za mwaka 2013, Afrika kusini.
Nahodha wa Chipolopolo Christopher Katongo alifunga goli kutokea katikati ya uwanja kipindi cha kwanza cha mchezo.
Mchezaji huyo anayesakata soka ya kulipwa nchini China alitumia mwanya wa kuzubaa kwa mabeki wa The Cranes kunasa mpira wa kurusha wa Davies Nkausu na kufurahisha mashabiki wapatao 40,000 waliohudhuria mechi hiyo.
Uganda, inasaka nafasi kwa mara ya kwanza kucheza fainali za kombe la Afrika (AFCON) tangu mwaka 1978 ilipomaliza mshindi wa pili nyuma ya wenyeji Ghana.
Timu hizo mbili zitarudiana nchini Uganda katikati ya mwezi Oktoba, mwaka huu.
Saturday, September 8, 2012
Pinda awavua madaraka wakurugenzi sita

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amewavua madaraka wakurugenzi sita wa Halmashauri za Wilaya kwa kushindwa kusimamia rasilimali watu, fedha na kutowajibika.
Kutokana na hatua hiyo, Waziri Mkuu Pinda amewateua watu sita kukaimu nafasi hizo na wakurugenzi wapya 14 huku akiwahamisha wakurugenzi 27 kutoka katika vituo vyao vya kazi kwa sababu mbalimbali.
Akizungumza Dar es Salaam jana, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) Hawa Ghasia, alisema wakurugenzi hao walivuliwa madaraka kwa kushindwa kusimamia rasilimali watu na fedha, kusababisha halmashauri kupata hati chafu na uzembe.
Aliwataja wakurugenzi hao waliovuliwa madaraka kuwa ni Willy Njau (Mwanga), Mpangalukela Tatala (Geita), Theonest Nyamhanga (Kishapu), Eden Munisi (Morogoro), Mhando Senyagwa (Kyela) na Nicholaus Kileka (Ngorongoro).
Pia alisema Serikali haitasita kuchukua hatua pale inapobidi ili kuboresha utendaji, na kwamba wengine tayari wana kesi na si busara kuwe na mtu anayekaimu zaidi ya miaka mitatu.
Pia alisema hatua za kinidhamu bado zinaendelea na kwamba baadhi ya wakurugenzi hao tayari wamewafikisha kwenye Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kwa ajili ya hatua zaidi.
Waziri huyo aliwataja wakurugenzi wapya walioteuliwa kujaza nafasi hizo kuwa ni Abdalah Kidwanka (Geita), Rutius Bilakwata (Kishapu), Naomi Nko (Magu ), Abdalah Mfaume (Kyela), Twalib Mbasha (Monduli), Henry Ruyagu (Urambo), Adam Mgoyi (Mbarali) na Estomih Chang’a (Mpanda).
Wamo pia Leti Shuma (Mwanga), Mohamed Maje (Namtumbo) Fulgency Mponji (Moshi), Robert Nehata (Tunduru), Isabela Chilumba (Kahama), Fikiri Malembeka (Sengerema), Paul Malala (Njombe) na Nasib Mbaga (Biharamulo).
Wakurugenzi wanaohamishwa ili kujaza vituo wazi ni Bibie Mnyamagola (Kongwa), Daudi Mayeji (Kilindi), Protace Magayane (Nkasi), Saada Mwaruka (Mkuranga), Sipora Liana(Tabora Manispaa), Hadija Makuwani (Wilaya ya Tabora), Doroth Rwiza (Kasulu).
Wengine ni Kelvin Makonda (Manispaa ya Lindi), Pudenciana Kisaka (Iringa), Tina Sekambo (Makambako), Beatrice Dominick (Masasi), Gladyness Ndyamvuye (Bukoba), Nathan Mshana (Ngorongoro), Cornel Ngudungi (Ngara), Mohamed Mkupete (Mtwara Manispaa), Dk Koroine Ole Kuney (Misungwi).
Wamo pia Ephraem Ole Nguyaine (Rorya), Goody Pamba (Igunga), Fidelis Lumato (Ludewa), Athuman (Tarime) na Ahmad Sawa (Musoma Manispaa).
Waliohamishwa kwenda kwenye halmashauri mpya ni Magreth Nakainga (Geita), Eliza Bwana (Bariadi), Zuberi Mbyana, Ilemela Manispaa (Biharamulo), Mohamed Nanyanje (Masasi), Erica Musika (Kahama), Imelda Ishuza (Busokelo).
source; mwananchi
Subscribe to:
Posts (Atom)