tuwasiliane

Thursday, May 31, 2012

31 MAY.Chove kwenda Kiyovu

ALIYEKUWA kipa namba moja wa timu ya Moro United, Jakson Chove amesema kuwa kama mambo yatakwenda vizuri yupo tayari kucheza kwenye timu yake ya zamani ya Kiyovu ya Rwanda.

Jakson Chove ambaye aliwahi kuichezea timu hiyo mwaka 2010, alisema licha ya kuwa bado hajasaini mkataba na timu hiyo, lakini timu imeonyesha inamuhitaji.

Alisema Kiyovu ni timu ambayo aliwahi kuichezea na kama watampa mkataba hawezi kuukataa kwa sababu hivi sasa hana timu baada ya timu ya Moro United kushuka daraja.

"Kuna baadhi ya jamaa zangu ambao wanachezea Kiyovu na niliwahi kucheza nao wameniambia kuwa nimetajwa miongoni mwa wachezaji watakaosajiliwa baada ya ligi ya huko kuisha hivyo nasikilizia na nipo tayari kwa hilo,"alisema Chove.

Aidha Chove alisisitiza kuwa pamoja na kusikilizia kutoka katika timu hiyo haina maana kuwa timu inayomuhitaji hapa nyumbani hataingia nao mkataba ili mradi uwe ni ndani ya makubaliano.

31 MAY. KIBERENGE CHAUA MTU KILOSA

MKAZI wa Kijiji cha Munisagara, wilayani Kilosa, Patrick Maulid (80) amekufa baada ya kugongwa na kiberenge akiwa anatembea katikati ya reli.

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Morogoro, Adolfina Chialo alisema kuwa ajali hiyo ilitokea wilayani Kilosa. Inasadikiwa Maulid alikuwa amelewa pombe.

Kwa mujibu wa Kamanda, mzee huyo aligongwa juzi saa 10:30 alasiri na kiberenge chenye namba za usajili HDT/Group 2 kilichokuwa kinaendeshwa na Salum Kasisila (38) mkazi wa Munisagara.

Alifariki dunia alipokuwa akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Wilaya ya Kilosa. Alisema kiberenge hicho kilikuwa kikitoka Stesheni ndogo ya Kidete kwenda katika Stesheni ya Kilosa mjini kabla ya kumgonga mzee huyo aliyekuwa akitembea katikati ya reli.

Wakati huo huo, mkazi wa Kijiji cha Mwidu, Tarafa ya Mikese wilayani Morogoro, Ramadhani Almasi (70) amekufa papo hapo baada ya kugongwa na basi la Saibaba wakati akivuka barabara katika Kijiji cha Maseyu, mkoani hapa.

Kamanda alitaja basi lililohusika kuwa ni Saibaba lenye namba za usajili T779BKC aina ya Scania likiendeshwa na Emmanuel Athuman (32) mkazi wa Tabata, Dar es Salaam.

Alisema Almasi aligongwa juzi saa 1 usiku katika Kijiji cha Maseyu-Gwata, kwenye barabara kuu ya Morogoro-Dar es Salaam. Basi hilo lilikuwa likitoka Mwanza kwenda Dar es Salaam.

Kwa mujibu wa kamanda, mzee huyo aligongwa na basi hilo wakati akivuka barabara. Alisema uchunguzi unaendelea ili hatua za kisheria zichukuliwe dhidi ya dereva.

Wednesday, May 30, 2012

30 MAY.Mario Balotelli apinga ubaguzi wa rangi


Mario Balotelli nyota wa soka nchini Italia ambaye pia ni mchezaji mweusi wa Klabu ya Manchester City ya Uingereza amesema ataondoka uwanjani endapo atakejeliwa kutokana na rangi yake wakati wa mchuano wa kombe la Mataifa Ulaya katika nchi za Poland na Ukraine mwezi Juni.

Matamshi yake yanatokea kufuatia makala ya BBC ambayo yaliangazia ghasia katika viwanja vya soka kutokana na ubaguzi wa rangi katika nchi hizo mbili.

Makala hayo yalionyesha mashabiki wakizungu wakiwakejeli wachezaji weusi na kuwashambulia mashabiki wenye asilia tofauti na kizungu.

Wanasiasa na maafisa wa soka kutoka nchi hizo wamesema tatizo hilo limetiwa chumvi.

Kukejeliwa kwa ubaguzi wa rangi dhidi ya Balotelli nchini Italia mwaka 2009 kulifanya shirika la soka Ulaya UEFA kuweka sheria ya kuwalazimisha marefa kusimamisha mechi ikiwa kejeli za ubaguzi wa rangi zitaendelea.

30 MAY. TAIFA STARS KUONDOKA KESHO


Kikosi cha wachezaji 23 na viongozi tisa kinatarajia kuondoka kesho (Mei 31 mwaka huu) saa 11.10 alfajiri kwa ndege ya Kenya Airways kwenda Abidjan, Ivory Coast kwa ajili ya mechi ya mchujo ya Kombe la Dunia itakayochezwa Juni 2 mwaka huu.

Wachezaji wanaoondoka ni nahodha Juma Kaseja, nahodha msaidizi Aggrey Morris, Mwadini Ally, Deogratius Munishi, Nassor Masoud Cholo, Amir Maftah, Erasto Nyoni, Kelvin Yondani, Waziri Salum, Shomari Kapombe na Juma Nyoso.

Wengine ni Jonas Mkude, Mwinyi Kazimoto, Salum Abubakar, Shabani Nditi, Edward Christopher, Mrisho Ngasa, Frank Domayo, Mbwana Samata, Ramadhan Singano, Simon Msuva, Haruna Moshi na John Bocco.

Wachezaji waliobaki kutokana na kuwa majeruhi ni mshambuliaji Thomas Ulimwengu anayecheza timu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo na kiungo wa Yanga, Nurdin Bakari.

Viongozi wanaofuatana na timu hiyo ni Kocha Mkuu Kim Poulsen, Sylvester Marsh (Kocha Msaidizi), Juma Pondamali (Kocha wa makipa), Leopold Mukebezi (Meneja wa timu), Juma Mwankemwa (Daktari wa timu), Frank Mhonda (Physiotherapist) na Alfred Chimela (Mtunza vifaa).
Msafara huo unaongozwa na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Crescentius Magori wakati naibu kiongozi wa msafara ni Makamu wa Rais wa Chama cha Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFA) Haji Ameir Haji.

Timu hiyo inayodhaminiwa na Kilimanjaro Premium Lager imeagwa leo (Mei 30 mwaka huu) na Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Amos Makala ambaye aliwataka wachezaji hao kwenda kuiwakilisha vizuri Tanzania kwenye mechi hiyo.

Hafla hiyo ya kukabidhi Bendera ya Taifa pia ilihudhuriwa na Mwenyekiti wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT), Dioniz Malinzi, Rais wa TFF, Leodegar Tenga na Meneja wa bia ya Kilimanjaro, George Kavishe.

Mechi itachezwa kwenye Uwanja wa Felix Houphouet-Boigny jijini Abijan kuanzia saa 11 kamili kwa saa za Ivory Coast.

Mwamuzi atakuwa Slim Jedidi wakati mwamuzi msaidizi namba moja ni Bechir Hassani, wote kutoka Tunisia. Mwamuzi msaidizi namba mbili ni Sherif Hassan kutoka Misri. Mwamuzi wa akiba ni Youssef Essrayri pia kutoka Tunisia.

Mtathmini wa waamuzi ni Rachid Medjiba kutoka Algeria wakati Kamishna wa pambano hilo atakuwa Saleh Issa Mahamat kutoka Chad.

Stars itarajea nyumbani Juni 5 mwaka huu saa 1.40 na kuingia moja kwa moja kambini kujiandaa kwa mechi dhidi ya Gambia itakayofanyika Juni 10 mwaka huu kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

30 MAY.Charles Taylor asukumwa jela miaka 50


Rais wa zamani nchini Liberia Charles Taylor amehukumiwa miaka 50 jela na makahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita.

Mwezi jana Taylor alipatikana na makosa ya kuwaunga mkono waasi nchini Sierra Leone katika vita vya wenyewe kwa wenyewe kati ya mwaka 1991 na 2002.
Upande wa mashtaka ulitaka kiongozi huyo wa zamani kusukumwa jela miaka 80. Charles Taylor amesisitiza hana hatia yeyote na anatarajiwa kukata rufaa.

Mwandishi wa BBC aliyeko The Hague Anna Holligan anasema rufaa dhidi ya hukumu hii huenda ikachukua miezi sita. Akitoa hukumu hiyo Jaji Richard Lussick amesema dhuluma zilizotekelezwa nchini Siera Leone zilikuwa za kinyama zaidi kuwahi kushuhudiwa katika historia ya binadamu.

Mahakama maalum ya Kimataifa inayochunguza dhuluma za kivita nchini Sierra Leone ilimpata Taylor na hatia ya makosa 11 dhidi ya binadamu ikiwemo mauaji na ubakaji.

Taylor amekuwa Rais wa kwanza kuhukumiwa kwa makosa ya vita na Mahakama ya Kimataifa tangu kesi za Nuremurgs dhidi ya watawala wa Kinazi baada ya Vita Kuu ya Pili duniani.

Charles Taylor amelalamikia upande wa mashtaka kwa kuwatisha mashahidi katika kesi dhidi yake. Rais huyo wa zamani anatuhumiwa kwa kuwapa silaha waasi na kubadilishana na almasi.

Kesi dhidi ya kiongozi huyo wa zamani wa Liberia inasikilizwa The Hague kwa hofu kwamba kufanyika kwake Sierra Leone huenda kukazua vurugu katika kanda hiyo. Taylor anatarajiwa kuhudimia kifungo chake nchini Uingereza.

30 MAY.Idd Simba kizimbani

MWENYEKITI wa Bodi ya Shirika la Usafiri Dar es Salaam (Uda) Ltd, Iddi Simba, jana alipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashtaka manane, likiwemo la matumizi mabaya ya madaraka na kulisababishia shirika hilo hasara ya Sh2.4 bilioni.Mbali na Simba ambaye aliwahi kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara, washtakiwa wengine ni Meneja Mkuu wa Uda, Victor Milanzi na Mkurugenzi wake Salim Mwaking’inda ambaye pia aliwahi kuwa Diwani wa Kata ya Sinza (CCM).

Baada ya Mwendesha Mashtaka wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Benny Lincoln kumaliza kuwasomea mashtaka yanayowakabili, aliieleza mahakama hiyo kuwa upelelezi wa kesi hiyo umeshakamilika na wanaomba kesi ipangiwe tarehe ya kutajwa kabla ya kupangiwa tarehe ya maelezo ya awali. Wakili Said El- Maamry anayemtetea Simba na mwenzake, Alex Mgongolwa waliiomba Mahakama impatie dhamana mteja wao hoja ambayo haikuwa na pingamizi kutoka kwa Lincoln ambaye alisema mashtaka yanayowakabili washtakiwa yanadhaminika.

Ili kujidhamini, Hakimu Mfawidhi, Ilvin Mgeta aliwataka washtakiwa kutoa hati ya nyumba na kuwa na wadhamini wawili wanaoaminika, kila mmoja wao asaini bondi ya Sh500 milioni.

Baada ya kutolewa kwa masharti hayo, Simba aliwasilisha hati ya nyumba yenye thamani ya Sh8 bilioni na kuridhia wenzake waitumie kupata dhamana.

Uchunguzi wa gazeti hili umebaini kuwa hati hiyo ya nyumba ni ya kiwanda cha Kays Hygiene Products Ltd, kilichoko Mikocheni eneo la Viwanda, Plot namba 23, kinachomilikiwa na Simba na mkewe Khadija.

Simba ni Mwenyekiti wa Taasisi ya mikopo kwa Wajasiriamali ya Pride (T) Ltd na Mwenyekiti wa Wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam. Akisoma hati ya mashtaka jana Lincoln alidai kuwa Septemba 2, 2009 Dar es Salaam, Simba na Milanzi walikula njama ya kuchepusha fedha kinyume na Kifungu cha 29 cha Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Sura ya 11 ya 2007.

Lincoln alidai kuwa Simba na Milanzi walighushi barua wakionyesha kuwapo kwa kiwango zaidi cha fedha kwenye akaunti zote za benki za Uda wakati wakijua kuwa si kweli. Aliongeza kuwa siku hiyo hiyo, Simba na Milanzi kwa pamoja, walichepusha Sh320 milioni wakijifanya ni malipo ya awali ya mauzo ya hisa katika shirika hilo fedha ambazo walijipatia kutokana na nyadhifa zao.

Aidha, kati ya Septemba 3, 2009 na Machi 31, 2010, Simba na Milanzi wanadaiwa kujipatia Sh320 milioni kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa Robert Simon Kisena wakijifanya ni sehemu ya malipo ya hisa za Uda. Lincoln alidai kuwa washtakiwa Simba na Mwaking’inda kati ya Septemba 2009 na Februari 2011, wakati wakitekeleza majukumu yao, kwa makusudi walitumia vibaya nafasi zao waliharibu hisa milioni 7,880,330 zisizotumika za Uda ambalo ni shirika linalomilikiwa kati ya Serikali Kuu na Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam zinazokadiriwa kuwa na thamani ya Sh1,142,643,935 bila kufuata taratibu za zabuni kitendo ambacho ni uvunjwaji wa masharti ya Kanuni ya 63 (1) ya Ununuzi ya umma.

Washtakiwa hao wote kwa pamoja wanadaiwa kuwa kati ya Septemba 9 na Februari 11, 2011 wakitekeleza majukumu yao, kwa makusudi walitumia vibaya madaraka yao kwa kugawanya hisa 7,880,330 zisizotumika za UDA kitendo ambacho ni uvunjwaji wa masharti ya vifungu vya ushirikiano katika kampuni na Kifungu cha 74 cha Sheria ya Makampuni Sura ya 212 iliyorekebishwa mwaka 2002.

Mwendesha mashtaka huyo wa Takukuru, alidai kuwa Februari 11, 2011 washtakiwa hao walishindwa kuchukua tahadhari zinazostahili, walimuuzia Simon hisa milioni 7,880,303 zisizotumika za Uda kwa bei ya Sh1,142,643,935 bila kufuata utaratibu wa zabuni ambao ungeweza kutoa nafasi kwa mnunuzi kutoa ofa ya bei inayolingana na thamani ya hisa hizo, jambo ambalo liliisababishia Uda hasara ya Sh2,378,858,878.80.
SOURCE.www.mwanachi.co.tz

30 MAY.Hukumu dhidi ya Taylor kutolewa leo


Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa Kivita ya mjini The Hague, leo inatarajiwa kutoa hukumu dhidi ya aliyekuwa rais wa Liberia Charles Taylor.

Baada ya kesi iliyodumu miaka sita, Taylor alipatikana na makosa kumi na moja ya kufadhili na kusaidia waasi nchini Sierra Leone, ili apate madini ya almasi.

Bwana Taylor ni kiongozi wa kwanza wa zamani kuhukumiwa na mahakama ya kimataifa tangu kumalizika kwa vita vya pili.
hukumu ndefu

Anatarajiwa kupewa adhabu kali ambayo atatumikia katika gereza nchini Uingereza.

Upande wa mashtaka unapendekeza Bw Taylor apewe kifungo cha miaka 80 jela. Hata hivyo, upande wa utetezi unadai hukumu hiyo itakuwa kali mno.

Taylor, mwenye umri wa miaka 64, anasisitiza hakutenda kosa lolote na huenda akakata rufaa hukumu itakapotolewa.

Iwapo atakata rufaa, kesi hiyo huenda ikaendelea kwa kipindi cha miezi sita.
ajitetea

Katika uamuzi uliotolewa mwezi Aprili, mahakama maalum inayosikiliza kesi ya Seirra Leone, ilimpata Taylor na makosa kumi na moja, yakiwemo ya ubakaji na mauaji.

Katika kujitetea, Taylor alishutumu upande wa mashitaka kuwalipa na kuwatisha mashahidi katika kesi hiyo.

Pia aliwaambia majaji katika kesi hiyo wazingatie umri na afya yake wanapotoa hukumu dhidi yake, akisema'' yeye sio tisho kwa jamii''.

30 MAY.Cech kuwepo Chelsea hadi 2016


Petr Cech ameamua atasalia katika klabu ya Chelsea, angalau kwa miaka mine ijayo, kufuatia kutia saini mkataba wa muda huo.

Kipa huyo ambaye amehudumu Chelsea kwa muda mrefu, ameichezea timu ya The Blues katika mechi 369, tangu alipojiunga na klabu mwaka 2004.
Petr Cech
"Ninafurahi mno kuwa ni sehemu ya klabu hii maarufu kwa kipindi cha miaka mine zaidi," alielezea mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 30.

"Ninatumaini miaka hiyo minne ijayo itakuwa ni sawa na miaka minane ambayo nimekuwa nikikichezea klabu."

Cech, ambaye mkataba wake wa awali ulikuwa umalizike mwaka ujao, ni mchezaji muhimu kwa Chelsea

Baadhi ya mafanikio ya Chelsea Cech akiwa ni kipa ni pamoja na kupata ubingwa wa ligi kuu ya Premier mara tatu, ubingwa wa Kombe la FA mara nne, ushindi wa Kombe la Carling mara mbili, na hivi majuzi, ubingwa wa UEFA wa klabu bingwa barani Ulaya kwa mara ya kwanza.

Cech pia alitangazwa kama mchezaji bora zaidi wa Chelsea mwaka jana, 2010/11.

"Chelsea inatambua kikamilifu mchango muhimu kutoka kwa Petr wakati huu wa klabu kupata ufanisi wake mkubwa zaidi katika historia yake," alielezea mkurugenzi mkuu wa Chelsea, Ron Gourlay.

Kipa msaidizi wa Cech, Thibaut Courtois kutoka Ubelgiji, huenda akaachiwa mechi zaidi za ligi kuu ya Premier ili kujinoa zaidi, baada ya kuonyesha uhodari wake akiwa mchezaji wa mkopo katika klabu ya Uhispania ya Atletico Madrid, ijapokuwa kijana huyo wa miaka 20 huenda akaazimwa kwa timu nyingine kwa muda mfupi.

Courtois alijiunga na Chelsea kutoka klabu ya Racing Genk, mwezi Julai mwaka jana, na kwa kuelekea Uhispania na kutofungwa, aliiwezesha klabu ya Atletico Madrid kuibuka mabingwa wa klabu ya Europa mapema mwezi huu.

30 MAY. HABARI PICHA


Msanii wa filamu Elizabeth Michael (Lulu) akiwa amezungukwa na walinzi kwenye Mahakama Kuu Dar es Salaam jana kutokana na tuhuma zinazomkabili za kuhusishwa na kifo cha msanii mwenzake Steven Kanumba.

30 MAY.Sugu aupania usiku wake J’pili!



Mbunge wa Mbeya Mjini (CHADEMA) na msanii mkongwe wa Hip Hop nchini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, amepania kukonga nyoyo za mashabiki wake watakaohudhuria tamasha la 'USIKU WA SUGU', huku akiahidi kutoa sh milioni 2 kati ya tatu atakazolipwa kwa shoo hiyo kusaidia Mfuko wa Elimu Jimbo la Mbeya.

Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, katika mkutano wa kuutambulisha ‘Usiku wa Sugu’ utakaofanyika Jumapili Juni 3 kwenye Ukumbi wa Dar Live, ulioko Mbagala Zakheem, Sugu alisema kwa kuwa ni mara ya kwanza kwake kutumbuiza hapo, atahakikisha anaacha gumzo miongoni mwa watakajitokeza.

“Nilianzia maisha Mbagala na nilitokea huko kwenda kumbi za starehe usiku katikati ya jiji (Posta). Jumapili narejea tena huko nikiahidi kufunika kama kawaida ya shoo za Vinega, huku nikipanga kutumia pato binafsi kusaidia Mfuko wa Elimu jimboni kama nilivyoahidi wakati nikiomba kura,” alifichua Sugu.

Katika usiku huo, Sugu atasindikizwa na wasanii Joseph Haule ‘Profesa Jay’, Juma Kassim ‘Sir Nature’, Danny Msimamo na Maujanja Supplies, huku Sugu mwenyewe akiongeza kuwa mkali wa aina hiyo ya muziki Fred Maliki ‘Mkoloni’ atakuwapo ukumbini.

30 MAY.Kiwanja kilichomng'oa Mkulo chazua balaa


SAKATA la uuzwaji wa Kiwanja cha Serikali Namba 10 kilichoko Barabara ya Nyerere, Dar es Salaam kwa Kampuni ya Mohamed Enterprises (MeTL), limechukua sura mpya baada ya mpangaji katika kiwanja hicho, Ameka Traders kugoma makabidhiano baina ya Shirika Hodhi la Mali za Serikali (CHC) na mnunuzi huyo.

Tukio hilo lilitokea Ijumaa iliyopita wakati watendaji wa CHC na wawakilishi wa Kampuni ya MeTL walipofika kwenye eneo la kiwanja hicho kwa ajili ya makabidhiano.

Mwakilishi wa Kampuni ya Ameka Traders, Bahati Sisala alisema watu hao walifika kwenye kiwanja hicho kwa ajili ya kufanya makabidhiano lakini waligoma kuwaruhusu kuingia.

“Walifika hapa mapema tu mchana kwa ajili ya kukabidhiana, lakini tulishindwa kufungua mlango kwa sababu hawakuwa na kibali cha kuingia ndani, jambo ambalo liliwafanya waishie nje huku wakijadiliana,” alisema Sisala.

Alisema watu hao waliendelea kuwaomba wafungue mlango, lakini walishindwa badala yake wakaamua kuondoka huku wakipeana taarifa za makabidhiano nje ya jengo.

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa CHC, Dome Malosha alisema siku hiyo watendaji hao walifika kwenye eneo hilo kwa ajili ya kukamilisha makabidhiano.

“Watendaji walikwenda kwa ajili ya kufanya ‘handover’ ya mali za kampuni, lakini tukikamilisha tutawafahamisha kuhusu suala hilo, kwa sasa niko sehemu mbaya siwezi kuongea lolote,” alisema Malosha.

Hata hivyo, taarifa zilizopatikana jana zilieleza kwamba Malosha aliwapigia simu wapangaji hao wa CHC katika kiwanja hicho na kuwataka waende ofisini kwake kwa ajili ya kupewa notisi ya uhamisho.

Wakati hayo yakiendelea, Kampuni ya MeTL imekanusha kununua kiwanja hicho kiholela na kudai kuwa hawajahusika katika hatua yoyote kuhusu tuhuma hizo.

Kiwanja hicho kinadaiwa kuuzwa kwa Sh2.4bilioni na aliyekuwa Waziri wa Fedha, Mustafa Mkulo huku akidaiwa kuvunja Bodi ya Wakurugenzi ya CHC jambo ambalo lilisababisha kujiuzulu kwake.

Akizungumzia tukio la kuzuiwa kukabidhiwa kiwanja hicho, mmiliki wa MeTL, Gullam Dewji alisema wapangaji hao walikataa kufungua geti kwa maelezo kwamba hawakuwa na taarifa yao.

Hata hivyo, alisema pamoja na tukio hilo hana wasiwasi kwani kiwanja hicho ni chake na anajua atakabidhiwa siku yoyote.

“Sisi hatuna wasiwasi wowote kwa sababu kiwanja ni chetu na tumefuata taratibu zote,” alisema Gullam na kuonyesha vielelezo vya namna alivyokinunua akisema ununuzi huo ulifanyika kihalali na hakuna sheria na taratibu zilizokiukwa.

Alisema MeTL ilikuwa ikimiliki Kiwanja namba 192 ambacho ili kufika, iliwalazimu kupita ndani ya kiwanja kingine.

Alisema kutokana na hali hiyo walilazimika kununua Kiwanja Na.10 ambacho kipo mkabala na eneo lao ili waweze kuweka barabara itakayowawezesha kwenda katika jengo lao.

“Wakati hatua hizo zikifanyika waliokuwa wakitumia kiwanja hicho walikwenda mahakamani na kupewa amri ya Mahakama (Court Injuction) tangu mwaka 1997,” alisema Gullam.

Alisema kuwa pamoja na hali hiyo wao waliiomba CHC wanunue kiwanja hicho Na 10 akisema hata sheria za ununuzi zinaeleza wazi kwamba jambo hilo linawezekana kufanyika.

“Sheria zinaeleza wazi na iwapo kesi ikimaliza, vyovyote itakavyokuwa yanabaki maelewano baina yetu sisi na wale waliokuwa katika hicho kiwanja” alisema Gullam.

Mkulo na Ofisi ya Msajili Hazina waliingia kwenye mvutano na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma (POAC), Zitto Kabwe baada ya kuituhumu kamati hiyo kuhongwa ili kutetea nyongeza ya muda ya Shirika Hodhi la Mashirika ya Umma (CHC).

Katika Mkutano wa Nne wa Bunge ambao ulishuhudia mvutano huo bungeni, Zitto aliapa kuwa kama ingebainika alihongwa yeye au wajumbe wake, angejiuzulu na kumtaka Mkulo naye ale kiapo kama hicho ikibainika kuwa maelekezo yake kwenda CHC yalisababisha ufisadi huo, lakini waziri huyo wa zamani aligoma.

Hata hivyo, taarifa ya mwaka huu ya CAG iliyowasilishwa bungeni ilionyesha kuwa Wizara ya Fedha na Ofisi ya Msajili zilihusika moja kwa moja katika uuzaji wa kiwanja hicho.

Sehemu ya ripoti hiyo ya CAG inasema: “Matokeo ya ukaguzi maalumu yalibaini mambo yafuatayo: Ilionekana kuwa Ofisi ya Msajili wa Hazina na Wizara ya Fedha zilihusika moja kwa moja katika uuzwaji wa Kiwanja Na.10 kilichopo kando ya Barabara ya Nyerere kilichouzwa kwa Kampuni ya Mohamed Enterprises Tanzania Ltd, bila kuishirikisha Bodi ya Wakurugenzi ya CHC.”

Pia CAG aliitaka Serikali iamue ama kuharakisha kukamilisha ubinafsishaji kwa mashirika yaliyosalia ili kuepusha kuharibika kwa rasilimali zilizopo au ibadilishe uamuzi wake na kuyapa mashirika hayo mtaji yaweze kufanya kazi kwa ufanisi.

Suala hilo limeshaingia mikononi mwa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) na Mkurugenzi wake, Dk Edward Hoseah amesema anamchunguza Mkulo kutokana na kashfa hiyo.

SOURCE; www.mwananchi.co.tz

30 MAY; OFICIAL, SHIBOLI ATUA POLISI MOROGORO


MSHAMBULIAJI wa zamani wa Mabingwa wa soka wa Tanzania Bara , Simba ya jijini Dar es Salaam, Ally Ahmed Ally ‘ Shiboli’ amesaini mkataba wa mwaka kuichezea timu ya Polisi Morogoro.

‘Shiboli’ ambaye amewahi kuichezea timu ya KMKM ya Zanzibar, kabla ya kujiunga na Wekundu wa Msimbazi Simba na baadaye kwenda Coastal Union, amesaini mkataba huo jana mjini hapa mbele ya viongozi Polisi.

Akizungumza na Chanzo chetu baada ya kusaini mkabata huo Shiboli alisema amejiunga kwa mapenzi yake na kwamba ataitumikia timu hiyo kwa juhudi zake zote.

“Nimechezea timu mbalimbali KMKM, Simba, Coastal Union na sasa nipo Polisi Morogoro …nitaisaidia kwa juhudi zagu zote kwa vile sasa mimi ni mchezaji wa Polisi” alisema.

Kwa upande wake Meneja Msaidizi wa Polisi Clamence Banzo, alisema kuwa uongozi wa timu umefurahi kupata mchezaji huyo ambaye ataisaidia timu hiyo katika Ligi Kuu inayotarajiwa
kuanza Agosti.

“Nashukuru kupata saini yake Ally Shiboli …lengo letu ni kusajili wachezaji kulingana na mapendekezo ya Kocha Mkuu wetu John Simkoko, nia ni kutaka kuijenga timu iwe ya mfano na irudishe heshima ya Morogoro na kujenga matumaini ya kila mtu kwa timu yao,”
alisema Banzo.

30 MAY,UHURU,JABU NA NYOSO MBIONI KUJIUNGA NA YANGA


KATIKA hali ya kujiimarisha kwa ajili ya msimu wa Ligi Kuu, klabu ya Yanga imepanga kuivamia kambi ya Simba na kusajili wachezaji watatu wa kikosi cha kwanza cha mabingwa hao wapya wa Bara.

Kwa mujibu wa taarifa za ndani za Kamati ya Usajili ya klabu hiyo zilizopatikana jana, zimewataja wachezaji hao kuwa ni beki wa kati, Juma Nyoso, Juma Jabu na kiungo chipukizi Uhuru Selemani.

Habari zaidi zinadai kuwa, Wanajangwani wako tayari kumwaga kiasi kikubwa cha pesa ili kuwanasa nyota hayo walioiwezesha Simba kutwaa ubingwa msimu huu kabla ya ligi kumalizika.

Mtoa habari amepasha kuwa, tayari mazungumzo ya awali yamefanyika na kinachosubiriwa ni uamuzi wa wachezaji hao kukubali ofa na kisha kusaini mikataba.

“Tumeshafanya mazungumzo ya awali, kwa sasa hatuwezi kuweka wazi kila kitu lakini tunachosubiri ni wao kukubali kusaini mikataba kwa ajili ya msimu ujao," alisema mtoa habari ambaye hakutaka jina lake kuandikwa gazetini kwa vile siyo msemaji.

"Tunaamini kama tutawapata, basi tutakuwa tumepiga hatua kubwa katika usajili kwa ajili ya msimu ujao," alisema zaidi.

Aidha, alisema mbali na wachezaji hao pia wana mpango wa kusajili wachezaji wawili wa kimataifa kutoka Rwanda waliong'ara wakati wa michuano ya Kombe la Chalenji mwaka jana.

Wachezaji hao ambao ni 'mapacha' wa ushambuliaji wa klabu ya APR ni Meddie Kegere na Olivier Karekezi.
"Kwa sasa hatuna tena tatizo na pesa za usajili, tuna kila uwezo wa kumsajili mchezaji tutakayemtaka," alisema mtoa habari.

Juhudi za kuwatafuta wachezaji hao kuthibitisha madai ya Yanga zilindikana isipokuwa mchezaji Uhuru aliyesema: "Nachoangalia ni maslahi niko tayari kwenda timu yoyote itakayonihitaji na kufika dau."

Aidha, alisema anashangaa uongozi wa Simba kuwa kimya bila kusema lolote mpaka sasa wakati wanafahamu mkataba wake umefika tamati.

"Sina mkataba na Simba kwa sasa na sijaona jitihada zozote za viongozi wala sijapigiwa simu kufahamishwa kama nitaendelea kubaki ama naondoka. Niko huru naangalia atakayekuja na dau kubwa," alisema.
Uhuru ameichezea Simba karibu misimu mitatu.
source www.mwananchi.co.tz

Tuesday, May 29, 2012

29 May. HALI TETE UCHAGUZI WA MWENYEKITI WA KIJIJI CHA RUAHA



vurugu kubwa ziliibuka jana, katika kata ya ruaha, katika wilaya ya kilosa baada ya kushindikana kufanyika kwa uchaguzi wa mwenyekiti wa kijiji wa kata hiyo siku ya jumapili ya tarehe 27/05/2012.uchaguzi huo ulikuwa ufanyike baada ya kufukuzwa mwenyekiti wa kijiji hicho baada ya kugundulika kuwa ni mbadilifu.ina daiwa kuwa zoezi la kujiandikisha wapiga kura kwa ajili ya uchaguzi huo lilifanyika vizuri kama ilivyopaswa.

baada ya kumalizika kwa zoezi la la kujiandikisha Chama cha Chadema ilimpitisha ndugu Maliwa kuweza kuwania nafasi hiyo ya uwenyekiti wa kijiji. Pia chama cha mapinduzi kiliweza kumpitisha ndugu Kisauni kuweza kugombea nafasi ya uwenyekiti huo.
muda wa kuweka mapingamizi kwa ajili ya wagombea ikapita bila ya kuwepo kwa pingamizi hata moja.

Hatimaye siku ya uchaguzi ikafika, masanduku ya kupigia kura hayakuletwa hali iliyopelekea uchaguzi kutofanyika.chanzo chetu cha habari kinadai kuwa kuna baadhi ya makada wa chama kimoja kikubwa ndio waliopelekea fitna ya kuzuia masanduku ya kura yasiletwe kwa ajili ya uchaguzi huo. hali iliyopelekea watu kuandamana na kufanya vurugu kubwa siku ya jumatatu,gari la diwani wa kata hiyo kupitia CCM, bi Rahel Nyangasa, na gari la kada wa CCM bwana Abdala Dube kuweza kupigwa mawe na kuharibiwa vioo vyote, pia gari la Bi Nyangasa kuweza kutumbukizwa katika mtaro wa maji.

pia katika vurugu hizo baa ya bi Nyangasa iliweza kupigwa mawe na waandamaji na waandamanaji hao waliweza kuchukua vinywaji kutoka katika baa hii, hali iliyopelekea watu kujinywea mipombe kuliko maelezo.

askari wa kikosi cha kutuliza ghasia kutoka mikumi,morogoro na kilosa waliweza kufika eeneo la tukio ili kutuliza ghasia hizo. hadi blog hii inaingia mitamboni askari waliendelea kuwepo ruaha kuendelea kulinda usalama wa eneo hilo

29 MAY.HAZARD ATHIBITISHA KUJIUNGA NA CHELSEA


The 21-year-old Lille sensation has finally revealed his next destination, opting for the Champions League winners instead of joining Manchester United or Manchester City

The 21-year-old wrote on Twitter: "I'm signing for the Champions League winner," in reference to the Blues' triumph over Bayern Munich on May 19.

He had Tweeted earlier in the day: "Good afternoon guys. I made up my mind. See you later. Thanks," before waiting several hours to elaborate on his choice.

Hazard, Ligue 1 player of the season for the past two years after his exploits with Lille, is believed to have changed his mind over his future as a result of Chelsea's European glory.

The London-bound attacker scored 21 goals in 47 matches for the French side in 2011-12 although he and his team-mates failed to reclaim their Championnat crown.

29 MAY. CUF YALAANI UCHOMAJI WA MAKANISA ZANZIBAR

HILI LA ZANZIBAR HALIUNGWI MKONO “LABDA NA MWENDA WAZIMU TU”

Habari za uchomaji wa makanisa Zanzibar katika vurugu za hivi karibuni haziungwi mkono kwa namna yoyote ile. Yeyote anayefanya vitendo hivi ni gaidi kwa sababu anafanya vitendo vya kigaidi. Serikali ya zanzibar ichukue hatua kali sana za kisheria kwa yeyote aliyehusika na vitendo hivi bila kujali yeye ni nani.

Kuchoma makanisa ni jambo la hatari sana, sielewi anayefanya hivi yeye ni dini gani, sijui ni dini ipi inayoruhusu uchomaji wa nyumba za ibada za dini nyingine, ni dini ya shetani peke yake inaweza kufanya hivyo.

Kuna watu wanasema ati ni “waislamu” ndiyo wanafanya vitendo hivyo, mie nakataa, nasema wanaofanya hivyo siyo waislamu. Waislamu walioko Zanzibar naowajua mimi ni wakarimu, ni watulivu na wasikivu na wanapenda amani. Hata mapambano ya wafuasi wa CUF na CCM yaliisha kwa wao wenyewe kuridhiana.

Wazanzibari siyo wakatili kiasi hiki. Kuchoma makanisa hakuwezi kufananishwa na kuchoma Mahakama, ikulu,polisi n.k. Uchomaji wa makanisa au misikiti ni uchonganishi mkubwa unaoibua vita mahali pengi duniani. Anayefanya hivyo ana malengo mabaya sana siyo kwa wananchi wa Zanzibar tu bali kwa wananchi wa wa Tanzania kwa ujumla.

Hii ni kwa sababu makanisa yakishachomwa tetesi zinasema wamechoma waislamu(jambo ambalo siliamini), tetesi hizi zikizidi na pakatokea athari kubwa kwa makanisa na labda watu(wakristo) wakachomwa na kufariki ndani ya makanisa hayo, ina maana wakristo watapoteza ndugu zao.

Kama Zanzibar pana wakristo wachache ambao hawawezi kulipiza kisasi cha adui wasiyemjua, lazima ndugu zao wakristo walioko bara watataka kulipiza kisasi kwa wazanzibari(waislamu) walioko Tanganyika ambao wamejenga na kuoa na kufanya biashara Bara na ambao hata ZAN ID(Vitambulisho vya ukaazi vya Zanzibar hawana) – kwamba kwa sheria za uraia za Zanzibar hata wakirudi kesho hawatambuliki kama wazanzibari.

Nakadiria kuwa kuna wazanzibari takribani laki tatu au laki nne walioko Tanganyika. Wengi wao wana maduka na biashara nyingi, wamenunua mashamba yao huku Tanganyika na kwa kweli maisha yao na vifo vyao na maziko yao viko huku Tanganyika kila inapotokea.

Sasa fikiria hawa “magaidi” wanaojivalisha na kusingizia waislamu watakapoendelea kutuchonganisha na tukajikuta hasira zimepanda kila upande. Utastukia mali za wakristo na makanisa yanachomwa na hata wahusika kuuawa huko Zanzibar na utastukia pia wazanzibari walioko Tanganyika nao wanaanza kuhujumiwa mali zao na kuuawa na “magaidi” wa bara watakaojivisha joho la “ukristo” au “joho la kuwapigania ndugu zao waliouawa Zanzibar” kwa maslahi yao.

Mchezo huu utaendelea mbele, kwa sababu wazanzibari wengi watakaouawa na kuhujumiwa huku Tanganyika ni waislamu(hii ni kwa sababu asilimia 99 ya wazanzibari ni waislamu) itapelekea waislamu wenzao ambao ni mamilioni walioko Tanganyika kutaka kuwatetea waislamu wenzao wenye asili ya Zanzibar. Hapo ndipo itaibuka vita kamili ya dini ya kikristo na kiislamu(Naomba haya yatokee wakati sipo duniani, naomba nisishuhudie ukatili wa Rwanda ndani ya nchi ninayoipenda kama Tanzania).

Vita ya kidini, lol! Mamilioni watateketea, malaki watachinjwa, akina mama watabakwa, watoto watanajisiwa…..what a hell? Wendazimu wachache waliochekewa watavaa majoho ya dini…..CNN watatangaza vita ya kidini Tanzania, Mashirika ya kimataifa yataingiza misaada na geresha huku nchi inahujumiwa. Vikundi vya waasi kina Kony na mwenzie nao wataingia kutuunga mkono, hatimaye Tanzania itageuka kuwa jehanamu ya duniani. Nyerere na wenzie watakuwa wanalia na kupiga vifua vyao kwa huzuni kuu. Kisiwa cha amani kimegeuka kuwa Dimbwi la maafa na laana ya damu za mauaji.

Mambo haya huanza kama mchezo tu. Na yameanza, hakuna mtu mwenye haki ya kudai haki yake na kuhujumu mali za watu wengine na kuchoma makanisa ya watu wengine. Wanaofanya vitendo hivi ni wahuni wakuu na serikali ya Zanzibar ichukue hatua kali sana.

Uhuni wa namna hii ulitokea pale Tandahimba mwezi uliopita ambapo “polisi” walihusika “live” katika oparesheni ya kikatili ya kuchoma “waziwazi” maduka zaidi ya 55 ya wafanyabiashara na gari moja na pikipiki moja. Kabla hawajaanza oparesheni “ushenzi” hiyo “polisi” walitengeneza tukio kwa “kuichoma” ofisi ya OCD ili wapate nafasi ya kulipiza kisasi kwa wananchi wasio na hatia(kisasi cha kutengeneza) – Ujinga ulioje, aibu iliyoje?

Pana makundi yanadai Zanzibari huru, yaachiwe uhuru wao, yasikilizwe. Wajanja wasijitokeze wakatumia upenyo huo ili kuyavunja makundi hayo kwa kuyabambikizia uchomaji makanisa ili kuyahusisha na hila za dini moja kuhujumu dini nyingine, tuache michezo hii ya kipuuzi. Siamini kama uamsho na wanaharakati wale ndio wanachoma makanisa, naamini kuna janja nyuma ya suala hili. Labda pana wajanja wanataka kuua “move” ya mjadala wa kudai Zanzibari huru.

Majuzi wazanzibari waliamua kuwa na serikali ya umoja wa kitaifa, wakapiga kura wakaamua sawia na serikali yao ikawa, hawakutushirikisha kwa sababu peke yao wanaweza kusimamia na kuendesha mambo yao na tumeona wanaweza. Mie nasema wazanzibari wakidai Zanzibar huru yao tusiwapige na kuwakamata na kuwanyanyasa, tukae nao mezani tusikilize hoja zao. Na kama wengi wao wakitaka Zanzibar huru yao tuwape.

Baba yangu mzee aliyeko kijijini hatapungukiwa na lolote iwapo Zanzibar itaendeleza muungano na Tanzania au itajitoa. Zanzibar ikijitoa katika muungano haitaongeza wala kupunguza kilo ya sukari au kilo ya mchele. Watanzania wana matatizo makubwa yanayotishia uhai wao kila kukicha kuliko muungano huku Tanganyika . Muungano ni jambo la kisiasa tu na kama “mkuu wa kaya anasema usijadiliwe” lazima utavunjika tu, hana namna ya kuuokoa maana kushindana na umma wa upande mmoja ni kazi bure.

Mie nawashauri sana pia wana vikundi vya uamsho na na watu wote wanaodai Zanzibari yao kuwa watumie busara na njia za kawaida sana kudai haki yao wanayoiamini. Kwa sababu tume ya jaji warioba inakwenda kukusanya maoni ya katiba waisubiri, ikifika waioneshe na waieleze kuwa hawautaki muungano.

”Majority of zanzibaris” wakiwa na msimamo huo maana yake ni kuwa katiba ya Tanzania “itafeli” kwa sababu lazima ipitishwe na pande zote za muungano kwa uwiano sawa. Hii ni njia nyepesi sana kuliko njia zingine, wanaweza kuendelea kutoa elimu juu ya kuupinga muungano kwa njia ya makongamano na mikutano tu. Hii itawasaidia kutengeneza mtizamo mzuri na kuondoa uwezekano wa watu wowote wenye nia mbaya kutumia shughuli zao na kujenga taswira mbaya sana zinazoweza kuweka amani, usalama na mshikamano wa wananchi hatarini.

Mwisho ni kwa serikali zote mbili, hii ya Jakaya na ile ya Shein na Maalim Seif. “Movement” hii ya uamusho na makundi mengine ya kijamii, kiharakati na kidini upande wa Zanzibar ya kudai kuvunja muungano siyo jambo la kubeza na kuchezea. Ukiwatizama wale uamsho utaona umati wa watu wanaokusanya ni mkubwa kuliko mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa. Hii ina maana kuwa panahitajika busara na nia thabiti katika kumalizana na wananchi hawa.

Serikali zote mbili zikae nao chini na kutatua suala hili. Ni bora kuuvunja muungano kwa heri(kwa utaratibu), kuliko kuuvunja kwa nguvu. Muungano ukivunjika kwa nguvu na ghafla patatokea mpasuko mkubwa sana. Pana ma-laki ya wazanzibari wako Tanganyika, pana mahusiano makubwa yameshajengwa. Tunahitaji “mechanism”na akili nyingi kulishughulikia.

“Nguvu na mabavu havitasaidia kuzima mawazo thabiti ambayo wananchi wanayaamini, nguvu na majeshi vinaweza kuua mwili tu lakini haviui dhamira” Hata kama wananchi hawa watapigwa na kukamatwa na kuwekwa gerezani moto huu hautazimika. Muungano utizamwe upya, tusikilize matakwa ya wananchi wengi, ikiwa wengi watasema uvunjwe basi na tuuvunje kwa amani.

(Haya ni maoni yangu binafsi, kwa namna yoyote ile yasihusishwe na chama changu wala uongozi wangu ndani ya chama).

Julius Mtatiro +255 717/787/ 536759,
Dar es salaam,
29 Mei 2012.

29 MAY. KAGO NA WALULYA WATEMWA SIMBA

Mshambuliaji wa Mabingwa wa Tanzania Bara, Simba SC toka Jamhuri ya Afrika ya kati Gervais Kago, ambaye nusura apelekee mchezo wa ngao ya jamii kati ya Simba SC na Yanga (mchezo wa watani wajadi) ameachwa katika usajili wa msimu ujao pamoja na beki toka Uganda Ferick Walulya.

Uongozi wa Simba walitishia kugomea mchezo huo kushnikiza usajili wake uliotumia mfumo ambao TFF wameuacha kuutumia upitishwe na aweze kutumiwa katika mchezo huo wa Ngao ya jamii.

Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Makamu Mwenyekiti wa Simba, Geofrey Nyange ‘Kaburu’ alisema klabu yake haina mpango na wachezaji Ferick Walulya wa Uganda na Gervais Kago wa Jamhuri ya Afrika ya Kati.

Alisema wachezaji hao mikataba yao imeisha, hivyo Simba haitahitaji kuwaongezea na kwamba watakuwa huru kujiunga na timu nyingine.

Akizungumzia vipaumbele katika usajili wa mwaka huu, alisema ina mkakati wa kuboresha zaidi usajili katika safu ya beki wa kati. Pia alisema wanahitaji kupata mrithi wa kiungo mahiri wa timu hiyo aliyefariki hivi karibuni kwa ajali ya gari, Patrick Mafisango.

Aliongeza kuwa klabu yake imejipanga kuhakikisha kuwa usajili wa mwaka huu unafanyika kiumakini zaidi huku akisisitiza kuwa nguvu pia itawekwa katika kuwasajili wachezaji wa kikosi cha vijana cha timu hiyo.

29 MAY. HALI TETE ZANZIBAR


ZANZIBAR imechafuka. Baada ya kuwapo kwa amani kwa takribani mwaka mmoja tangu kuundwa kwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar, vurugu na hali ya wasiwasi zimeibuka tena baada ya wanaharakati wa Kiislam kufanya maandamano kutaka uhuru wa visiwa hivyo.

Zanzibar ilijikuta katika hali tete kiusalama tangu mwaka 1995 baadaya kutangazwa matokeo ya uchaguzi mkuu wa Rais, ambayo Chama cha Mapinduzi (CCM) kiilibuka kidedea na Chama cha Wananchi (CUF) kupinga, lakini uhasama huo ulizikwa Julai 31 mwaka 2010, baada ya kura ya maoni ya kuunda Serikali hiyo ya umoja wa kitaifa.

Lakini kuanzia juzi usiku hadi jana jioni mji wa Unguja na viunga vyake ulitikiswa na mabomu ya kutoa machozi ambayo polisi waliyatumia kutawanya mamia ya wanaharakati hao wa Kiislam wakiongozwa na Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI).

Mabomu ya machozi yalipigwa mfululizo juzi usiku na kuendelea kutwa nzima jana, hivyo kuathiri shughuli za biashara, ibada katika makanisa mbalimbali na kusababisha hofu kwa wananchi.

Kwa muda wa saa takriban mbili hivi kati ya saa 3:00 na saa 5:00 asubuhi, helkopta ya polisi ilikuwa ikipasua anga la Zanzibar ambalo lilikuwa limetandwa na moshi uliotokana na mabomu ya machozi pia uchomaji wa matairi ya magari.

Kamishna wa Jeshi la Polisi Zanzibar, Mussa Ali Mussa aliwaambia waandishi wa habari kuwa wafuasi hao wamefanya uharibifu mkubwa ikiwa pamoja na kuchoma moto makanisa mawili na kwamba, watu saba akiwamo Imamu wa Msikiti wa Bizeredi, Maalim Mussa Juma wanaotuhumiwa na matukio hayo wamekamatwa na jeshi hilo.

Akizungumza na Mwandishi wa habari hizi Kiongozi wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG), Askofu Dickoson Maganga alisema watu wasiojulikana walivamia kanisa lao eneo la Kariakoo Mjini Zanzibar mnamo saa 4.30 usiku na kuvunja ukuta, kuchoma viti vya plasitiki pamoja na gari yake.

Chanzo cha vurugu hizo kinatajwa kuwa ni wanaharakati hao juzi kufanya mkusanyiko na maandamano makubwa ya kushtukiza ambayo yalizistua mamlaka za usalama visiwani humo, lakini baada ya kutawanyika jioni baadhi ya viongozi wa maandamano hayo walitiwa mbaroni.

Baada ya kukamatwa kwao, wafuasi wao walikusanyika makao makuu ya polisi Mkoa wa Mjini Magharibi, Madema, kushinikiza kutolewa kwa viongozi hao wanaoshikiliwa kituoni hapo.

Habari zaidi zinasema kutokana na hali ilivyo, askari polisi walitarajiwa kuongezwa visiwani humo, ili kusaidia kuimarisha hali ya usalama pia kuwadhibiti wahalifu ambao walikuwa wameanza kuelekea nje ya maeneo ya mji.

Tayari kuna taarifa kuwa askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kutoka Tanzania bara jana mchana walingia Zanzibar kwa ajili ya kuongeza ulizi katika mji wa Unguja.

Hata hivyo, katika hali ya kushangaza hakuna kiongozi yoyote wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) aliyetoa kauli kuhusu hali hiyo.

Kauli ya Polisi
Kamishna Mussa alisema jeshi lake litaendelea kuwasaka na kuwatia mikononi wote waliopanga fujo hizo pamoja na viongozi wote wa JUMIKI.

“Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar ndio iliyohusika na kuwachochea vijana kukusanyika na kufanya uharibifu ikiwemo kuchoma moto gari, kupanga mawe barabarani na kufanya hujuma mbalimbali kinyume cha sheria. Tutaendelea kuwasaka kwa gharama zote,” aliapa Kamishna Mussa.

Alifafanua kwamba kwa sasa mikusanyiko yote ya mihadhara ya kidini na vyama vya siasa, lazima ipate kibali cha polisi vyinginevyo jeshi lake litatumia nguvu za ziada kutawanya mikusanyiko hiyo ili kulinda sheria za nchi, amani na utulivu.

Hata hivyo, kamishna huyo wa polisi alijizuia kuhusisha harakati za Uamsho na chama cha siasa wala kutaja majina ya viongozi ambao tayari wanashikiliwa na jeshi lake.

“Mpaka sasa hivi sina majina yao kwa jumla, lakini tumewakamata viongozi wa Uamsho na tunatendelea kuwasaka lakini jina moja tu ndio ninalo ambalo ni Mussa Abdallah Juma,” alisema Kamishna huyo.

Hali bado tete
Wakati jeshi la polisi litoa onyo hilo, hali ya usalama ilionekana kuwa bado tete huku maeneo kadhaa ya Mji wa Zanzibar hasa Darajani na Michenzani ambako muda wote ni sehemu zenye harakati nyingi za biashara, jana zilikuwa zimebakia bila pilikapilika kutokana na askari waliojihami kufanya doria katika mitaa yote na kulipua mabomu kila penye kikundi cha watu waliokusanyika wakinywa kahawa.

Mitaa hiyo ilikuwa imechafuliwa kwa mawe, matofali na magogo yaliowekwa barabarani ili kuziba njia kwa ajili kuzuia magari yasipite huku mipira ya magari ikiwashwa moto na vijana hao.

Kwa upande wake Askofu Maganga akizungumzia uvamizi kisha uhalifu uliofanywa kanisani kwake alisema:
“Nasikitika sana kwa tukio hili ambalo tayari tumeiarifu polisi ambao jana (juzi), usiku walifika hapa wakishirikiana na kikosi cha kuzima moto na kufanikiwa kuuzima moto huo ambao kwa habati nzuri haujaathiri paa la kanisa letu,” alishukuru kiongozi huyo.

Alisema kundi la watu ambalo lilikuwa likitoa maneno ya kashfa na kutishia maisha ya waumini waliokuwa wakifanya ibada usiku huo, lilikatisha ibada hiyo pamoja na kusababisha uharibifu wa mali ya kanisa hilo yenye thamani ya zaidi ya Sh 100 millioni.

Kauli ya JUMIKI
Kutokana na hali hiyo, jumuiya hiyo jana ilitoa taarifa yake kwa vyombo vya habari ikikanusha kuhusika na kuchochea watu kuchoma kanisa wala kuharibu mali za watu.

Hata hivyo, Katibu wa Jumuiya hiyo, Abdallah Said alisema katika taarifa hiyo kwamba jeshi la polisi linapaswa kubeba lawama kwa yote yaliotokea kutokana na kuvunja sheria na kuwakamata viongozi bila ya utaratibu wa busara.

“Uislamu ni dini ya amani na inahimiza ushirikiano na utulivu na hatuwezi kuwatuma watu kwenda kuvunja makanisa na kuharibu mali, kwa sababu ndani ya imani zetu tunajua hilo ni kosa na jambo ambalo halifai katika maamrisho ya dini yetu,” alisema Sheikh Abdallah.

Taarifa hiyo ilisema pia kwamba jumuiya hiyo imekuwa wazi katika kudai maslahi ya Zanzibar na sio vinginevyo na kuahidi kufanya hivyo kwa njia za amani, na iwapo watakuwa wamekosea basi wapo tayari kufikishwa katika vyombo vya sheria.

“Ni lazima polisi wajue kwamba tupo tayari kufanya kazi kwa misingi ya kisheria na hata kwa kujisalimisha tupo tayari, lakini ukamataji bila kufuata busara na sheria haukubaliki. Tunachokitaka ni kura ya maoni haraka na hilo tutaendelea kulidai,” alisisitiza katibu huyo wa JUMIKI.

Wakati viongozi wa Uamsho wakiendelea kutafutwa na jeshi la polisi, nyumba ya kiongozi aliyeongoza maandamano juzi Sheikh Farid Hadi Ahmed inadaiwa kuvunjwa milango usiku wa manane alipokuwa akiswakwa jeshi hilo.

Hata hivyo, taarifa hizo hazikuthibitishwa iwapo ni polisi waliofanya kitendo hicho au la, wanafamilia wanasema waligongewa milango na kutakiwa wafungue baada ya kutofungua walisikia kishindo kikubwa cha kusukumwa milango katika eneo la Mbuyuni Mjini Unguja.

Vijana katika mitaa ya Zanzibar jana walionekana wakiwa na hamasa kubwa wakidai kuendelea kuungana na viongozi wao kudai haki ya Zanzibar, pamoja na kutaka Zanzibar huru kutoka ndani ya mikono ya Muungano.

“Sisi tunachokitaka Zanzibar yetu watupige mabomu, watuue, watukamate lakini tunataka Zanzibar yetu na hatusikii lolote,” walisikika baadhi ya vijana.

Hada jana jioni vurugu katika badhi ya maeneo hususan Kwelekwe na njia ya Baa ya Amani zilikuwa zikiendelea na gari moja lilichomwa moto karibu na ofisi ya CCM.

Matukio kabla
Zanzibar imekuwa ikitawaliwa na matukio ya ghasia ambayo licha ya mihadhara hiyo ya Kiislam ilikuwa ni uhasama wa kisiasa kati ya vyama vikuu vya CUF na CCM, hatua ambayo iliwahi kusababisha mauaji ya Januari 27, mwaka 2001.

Lakini, uhasama huo wa kisiasa ambao ni wa kihistoria ulizikwa baada ya kura hiyo ya maoni na uchaguzi mkuu wa 2010 hatua ambayo imemfanya Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharrif Hamad kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa SMZ huku baadhi ya mawaziri pia wakitoka katika chama hicho.

Hata hivyo, wanaharakati hao wa Kiislam wameanza upya kuilipua Zanzibar wakishinikiza visiwa hivyo viwe taifa huru kwa kujitenga katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Zitto ataka tume ya uchunguzi
Katika hatua nyingine Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe amemtaka Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein aunde kikosi kazi maalum kwa ajili ya kudhibiti
vurugu hizo na kuanza mazungumzo na pande zote kwa kuwa, "Hiki sio kitendo cha kudharau
kabisa."

Alifafanua kwamba waliochoma nyumba za ibada wasakwe na kufikishwa mbele ya sheria mara
moja na kuongeza, "Tusiruhusu hata kidogo wapuuzi wachache kutuingiza katika vurugu za
kidini ili kufikia malengo yao ya kisiasa."
SOURCE. MWANANCHI

29 MAY. HABARI PICHA


Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG) liliopo mtaa wa Kariakoo mjini Unguja, Zanzibar likiwa limechomwa moto na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia Mei 27. (Picha kwa hisani ya Zanzibaryetu.com).

Monday, May 28, 2012

26 MAY.Mlipuko mkubwa watokea jijini Nairobi


Mlipuko umetokea katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi na kusababisha watu kadhaa kujeruhiwa huku majengo majengo yakiwa yanawaka moto.

Mlipuko huo umetokea ktika jengo lenye maduka madogo madogo mengi. Mwandishi wa BBC anasema mlipuko huo umesababisha bidhaa mbali mbali kama viatu, nguo na vioo vilivyovunjika kusambaa sehemu yote ya eneo hilo.
Mwandishi wa BBC Kevin Mwachiro anasema Polisi wamelizungushia eneo hilo uzio wa utepe kwa ajili ya usalama. Ni mapema kutaja idadi ya majeruhi lakini vyombo vingine vya habari vinasema zaidi ya watu 28 wamejeruhiwa na mlipuko huo

Picha za Televisheni nchini humo zimeonyesha watu wakikimbia mbali na majengo yaliyo karibu katikati ya mji wa Nairobi.

Kamishna wa Polisi nchini Kenya Mathew Iteere, anasema huenda "hitilafu ya umeme" ndio chanzo cha mlipuko huo, kwa mujibu wa Televisheni ya NTV. Hata hivyo mlipuko huo unaiweka Nairobi katika hali ya wasiwasi.

Kumekuwa na milipuko kadhaa hivi karibuni ndani na nje ya mji huo mkuu huku baadhi ikihusishwa na kundi la wapiganaji wa Al-Shabaab.

Polisi waweka kizuizi eneo la mlipuko Nairobi

Timu ya waokoaji wa Shirika la Msalaba Mwekundu imetumwa katika eneo la tukio kwenye mtaa huo wa Moi. Mtaa huo ni barabara kuu ambayo wakati wa mchana huwa na watu wengi, Shirika la habari la AP linasema.

Kwa mujibu wa watu walioshuhudia kulikuwa na mlipuko mkubwa na huku vipande vipande vya vioo na vitu vingine vikiwarukia na kujeruhi watu waliokuwa karibu, Gazeti la Nation linaripoti.

Gazeti hilo linaongeza kuwa mlipuko huo umetikisa majengo yaliyo karibu na harakati za kuwahamisha watu zimeanza.

28 MAY.Redd’s Miss Dar Intercollege kuunguruma


Hadi kufikia sasa Warembo wapatao 12 kutoka vyuo vya Biashara (CBE), Uandishi wa Habari (DSJ), na Time, Ustawi wa Jamii na kile cha Usimamizi wa Fedha (IFM), wameisharipoti kambini.

Naye Mratibu wa Shindano hilo Dina Ismail alisema kwamba Warembo watakaoshiriki kwenye kinyang'anyiro hicho, kwa sasa wanaendelea na zoezi la kujifua ndani ya Hoteli ya Lamada iliyopo hapa Jijini chini ya ukufunzi wa Marylidya Boniface, huku kwa upande wa shoo wakinolewa na Bob Rich.

Si lingine bali ni lile Shindano la kumsaka mlimbwende wa Redd’s Miss Dar Intercollege 2012 linatarajiwa kuwika ndani ya Jkumbi wa Sunciro, ulipo Sinza Shekilango hapa Jijini hapo Juni 8 mwaka huu.

Warembo waliopo kwneye mazoezi hayo ni pamoja na Hilda Edward, Nancy Maganga, Saada Seleman, Neema Nashon, Rose Muchunguzi, Fina Revocatus, Jane Augustino, Theresia Isaya na Natasha Deo. Taji la kitongoji hicho linashikiliwa na Rose Msuya kutoka IFM.

Mbali na hilo Mratibu huyo ameziomba Kampuni mbalimbali kujitokeza kudhamini shindano hilo, ambalo linatarajiwa kuwa la aina yake na hasa ikizingatiwa kuwa washiriki wake wana vigezo vya hali ya juu.

Sunday, May 27, 2012

27 MAY.Hodgson aanza vyema kibarua kipya


Roy Hodgson ameanza kuiongoza timu ya taifa ya England vyema kama meneja, kwa kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Norway, katika uwanja wa mjini Oslo wa Ullevaal.
Ashley Young

Bao la Ashley Young limempa nguvu meneja Hodgson katika mechi yake ya kwanza kama meneja wa England

Kabla ya mechi hiyo, England ilikuwa imeshindwa kuishinda Norway katika kipindi cha miaka 32 iliyopita.

Ashley Young ndiye aliyefunga bao hilo la pekee katika mechi hiyo, katika dakika za mwanzomwanzo za mechi hiyo ya kirafiki.

Hodgson alipata nafasi nzuri ya kuwatizama wachezaji wa England ambao ataweza kuwashirikisha zaidi katika juhudi zake za kuisuka vyema timu yake itakayoshiriki katika mashindano ya Ulaya ya Euro 2012, baada ya kuchukua kazi hiyo kutoka kwa Fabio Capello.

Timu ya England ilionyesha nidhamu ya hali ya juu na anayoitazamia Hodgson, lakini wengi bila shaka wanafahamu timu ambayo England itakutana nayo, Ufaransa, tarehe 11 mwezi Juni katika mji wa Donetsk, haitacheza sawa na timu waliyopambana nayo mjini Oslo.

Lakini yalikuwa ni mazoezi ya kuridhisha kwa Hodgson, ambaye sasa ataweza kukinoa kikosi chake vyema zaidi katika mechi nyingine ya kirafiki katika uwanja wa nyumbani wa Wembley, Jumamosi ya tarehe 2 Juni, wakati England itakapoikaribisha timu ya taifa ya Ubelgiji.

27 MAY.DIAMOND kukamua BBA LEO



Msanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya, Naseeb Abdul 'Diamond Platinumz' anataraji kupiga shoo wakati baadhi ya washiriki wa Big Brother Stargame watakapokuwa wakiyaaga mashindano hayo, siku ya Jumapili ya leo Mei 27 mwaka huu. Msanii huyo kwa sasa anatamba na nyimbo zake kama Mawazo, Lala Salama, Moyo Wangu na nyinginezo.

Saturday, May 26, 2012

26 MAY. TANZANIA VS MALAWI NGUVU SAWA



Timu ya Taifa 'Taifa Stars' leo imeshindwa kutamba mbele ya Malawi katika mchezo wa kujipima nguvu kabla ya michezo ya kusaka tiketi ya kombe la dunia mwaka 2014 ambapo Taifa Stars itwakwaana na Ivory Coast na Malawi kuwavaa Waganda.

Katika mchezo wa leo uliochezwa katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam na mchezo ukimalizika kwa sare ya bila kufungana huku Taifa Stars wakifanya makosa ambayo yange igharimu timu hiyo hii leo kama Malawi wangekuwa Makini.

Taifa Stars walicheza kiuwelewano katika kipindi cha kwanza na huku wakitengeneza nafasi chache za kujipatia magoli wakati wa Malawi walionekana kuwa hatari kwa mipira mirefu.

Kipindi cha pili kilikuwa kibaya kwa stars ambapo kuungo chake kilipotea na kadri ya dakika zilivyosogea wachezaji walionekana kuchoka.

Nafasi pekee ambayo Stars wameijutia kuipoteza ilikuwa katika dakika ya 58 ambapo Shomari Kapombe na Mbwana Samata waligusiana vyema na mpira wa mwisho kumkuta Samata ambaye aliingia na mpira kwenye eneo la hatari akitokea upande wa kulia na alipo piga pasi ya chini chini kuelekea kwa Haruna Moshi 'BOBAN' ambapo beki wa Malawi ulimgonga na kwenda kugonga mwamba wa pembe ya pili na mpira kuamba katikati ya Boban na Ngassa kabla ya beki wa Malawi kuutoa nnje na kuwa kona.

Na nafasi pekee ambayo wa Malawi wanaweza jutia ni ile ya kipindi cha kwanza ambapo Juma Kaseja alielekea upande sio baada ya Yondan kuhamisha muelekeo mpira katika purupushani ya kuokoa na mpira kumkuta mshambuliaji wa Malawi aliyepiga kichwa na mpira wake kuokolewa na Aggrey Morise.

26 MAY. HABARI PICHA


Marais wastaafu wa Tanzania, Ali Hassan Mwinyi (kulia), Benjamin Mkapa (kushoto), Rais mstaafu wa Zanzibar, Amani Abeid Karume (katikati) sambamba na marais wengine wakiwasili kwenye Viwanja vya Chuo Kikuu cha Witwatersrand, Johannesburg, Afrika Kusini kwa ajili ya kuhudhuria Mkutano wa kujadili maendeleo ya matumizi ya nishati, Karne ya 21 kwa nchi za Afrika. (Na Mpigapicha WA HABARI LEO).

26 MAY.BRATTER;Mikwaju ya penalti haifai


Rais wa shirikisho la kimataifa la soka, FIFA, Sepp Blatter, amemtaka Franz Beckenbauer, ambaye anashikilia madaraka ya rais wa Bayern Munich kama wadhifa wa kumheshimu, kufikiria juu ya mbinu mpya za kukamilisha mechi iliyokwisha sare, badala ya "msiba" kupitia mikwaju ya penalti.

Beckenbauer ni mkuu wa kikundi kilichoteuliwa na FIFA na kukabidhiwa jukumu la mapendekezo ya kubadilisha au kutunga sheria ambazo zitatumika katika michuano ya Kombe la Dunia mwaka 2014.

"Soka inaweza kugeuka ikawa ni msiba ikiwa itaingia katika mikwaju ya penalti", ameelezea Blatter.

"Kandanda haifai kuwa mchezo wa mmoja kwa mmoja. Kandanda inapoingia katika mikwaju ya penalti, basi inapoteza kivutio".

Aliongezea: "Pengine Franz Beckenbauer na kundi lake la mapendekezo ya 2014 anaweza kutueleza suluhu, pengine sio sasa, lakini siku zijazo."

Ushindi wa fainali ya ligi ya klabu bingwa barani Ulaya msimu huu iliamuliwa kwa mikwaju ya penalti, wakati Chelsea walipopata ushindi, ilhali ni Bayern Munich waliovuma katika mechi nzima.

Hii ilikuwa ni mara ya kumi kwa fainali ya Ulaya kuamuliwa kwa mikwaju ya penalti.

Kabla ya mikwaju ya penalti kuanza kutumika katika miaka ya sabini, mechi sare ziliamuliwa kwa kuchezwa upya, na nyingi zilikwisha kwa sare tena.

Baadhi ya mechi pia ziliamuliwa kwa kurusha sarafu juu, mfano ikiwa ni nusu-fainali ya Ulaya mwaka 1968, wakati Italia ilipoishinda Sovieti baada ya kurushwa sarafu.

Zambia pia ilishinda Kombe la Mataifa ya Afrika kupitia mikwaju ya penalti mwaka huu, kwa kuishinda Ivory Coast.

Mara mbili Kombe la Dunia pia limeamuliwa kwa penalti, wakati Brazil ilipoishinda Italia mwaka 1994, na Italia ikaishinda Ufaransa katika mashindano ya 2006.

26 MAY.Mama amuua mtoto kwa kumnyonga

MTOTO Richard James (5) amekufa baada ya kunyongwa shingo na mama yake wa kambo, Tatu Gego (23) na kisha kufukiwa kwenye shimo lenye urefu wa futi mbili na nusu katika kijiji cha Iponyangwa wilayani Kahama mkoani hapa.

Tatu anadaiwa kufanya kitendo hicho kwa madai kwamba mtoto huyo amekuwa akimsumbua kutokana na kujisaidia haja kubwa mara kwa mara na hivyo siku ya tukio alichoka na kuamua kumnyonga mtoto huyo ili kukomesha tabia yake.

Inadaiwa kuwa mara baada ya baba wa mtoto James Lushingo ambaye anafanya kazi ya kinyozi kuwasili nyumbani hakumuona mwanawe na alipomuuliza mkewe alimjibu kuwa mtoto huyo alikuwa amelala chumbani na shangazi yake ambaye ana ulemavu wa kutosikia (kiziwi).

Kwa mujibu wa majirani, James aliamua kwenda moja kwa moja katika nyumba aliyoambiwa amelala mwanae na kumkuta shangazi wa marehemu akiwa amelala peke yake bila mtoto hivyo alirudi tena kwa mkewe na kumhoji ambapo alitoa majibu ya kusita sita.

Hatua hiyo ilimfanya James kwenda kwa Ofisa Mtendaji wa kijiji hicho kutoa taarifa na pia kuwafahamisha wanakijiji wengine ambao walianza kumsaka mtoto huyo hadi walipofanikiwa kukuta shimo katika kichaka eneo la jirani likiwa na dalili za kufukiwa kitu muda mfupi uliopita.

“Hivyo wanakijiji hao waliamua kulifukua shimo hilo lenye urefu wa futi mbili na nusu na kuona miguu na mikono ya mtoto huyo ikichomoza katika shimo hilo na kisha kumfukua mwili mzima na kumueleza baba mzazi wa merehemu kuwa akatoe taarifa katika Kituo cha Polisi,” alisema jirani ambaye hakuwa tayari kutajwa jina.

Alisema baadaye James alikwenda katika Kituo cha Polisi na kutoa taarifa huku akieleza kumshuku mkewe Tatu kutokana na maelezo yake ya awali ya kuwa na wasiwasi na kudanganya kuwa mtoto huyo alikuwa amelala na shangazi yake kwenye nyumba jirani na wanapoishi.

Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, Onesmo Lyanga jana alithibitisha kutokea kwa tukio hilo na kuwaeleza waandishi wa habari kuwa mtoto huyo alinyongwa na kufukiwa katika shimo la urefu wa futi mbili na nusu.

Alisema mtuhumiwa anashikiliwa na jeshi hilo kwa uchunguzi zaidi na kwamba upelelezi ukikamilika atafikishwa mahakamani. Naye Fadhili Abdallah anaripoti kutoka Kigoma kuwa, jeshi la Polisi mkoani Kigoma linamtafuta mwanafunzi wa Shule ya sekondari Rwiche katika Halmashauri ya Wilaya Kigoma, Rehema Issa (22) ambaye alijifungua mtoto na kumtupa chooni jambo lililosababisha kifo cha mtoto huyo.

Kaimu Kamanda wa Polisi mkoa Kigoma, Francis Mwakabana amesema hayo wakati akitoa taarifa kwa waandishi wa habari kuhusiana na matukio mbalimbali yaliyotokea mjini Kigoma katika wiki hii. Mwakabana alisema mwanafunzi huyo alijifungua mtoto huyo na kumtupa katika choo cha shimo cha Shule ya Msingi Nyangwe akiwa hai na baadaye kuokolewa na wanafunzi wa shule hiyo.

Kamanda huyo alisema baada ya kuokolewa kutoka katika choo hicho cha shule kichanga hicho kilifariki muda mfupi baadaye na sasa mwili wake umehifadhiwa katika Hospitali ya Mkoa Kigoma ya Maweni.

Kufuatia hali hiyo Kamanda huyo wa polisi amesema kuwa hivi sasa Jeshi hilo la Polisi mkoani Kigoma liko katika jitihada za kumtafuta mwanafunzi huyo ili aweze kukabiliana na tuhuma zinazomkabili za kutupa kichanga na kusababisha mauaji.
SOURCE HABARI LEO

Friday, May 25, 2012

25 MAY.Mbulgaria adaiwa kuiba Standard Chartered

RAIA wa Bulgaria Petaz Petov Ninkov (32) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za kuiibia Benki ya Standard Chartered Sh milioni 35 kupitia mashine za ATM.

Ninkov alifikishwa mahakamani hapo jana na kusomewa shitaka la hilo mbele ya Hakimu Mkazi Tarsila Kisoka.

Wakili wa Serikali Aidah Kisumo alidai kuwa kati ya Februari 6 na Aprili 4 mwaka huu katika benki hiyo tawi la Ilala, Ninkov aliiba dola za Marekani 23,000 kutoka katika mashine ya kutolea fedha (ATM) mali ya benki hiyo.

Katika shitaka la pili, ilidaiwa kuwa Mei 17 mwaka huu katika benki hiyo, Ninkov alikuwa na nia ya kuiba fedha hizo kwa kupitia mashine ya ATM.

Mshitakiwa alikana kutenda kosa na kurudishwa rumande hadi Juni 6 mwaka huu kesi hiyo itakapotajwa tena.

Katika hatua nyingine, Frank Kivenule (28) amefikishwa mahakamani hapo akikabiliwa na shitaka la kuiba pikipiki yenye thamani ya Sh milioni 1.8.

Mwendesha Mashitaka Credo Rugaju alidai mbele ya Hakimu Pamela Kalala kuwa, Aprili 11 mwaka huu saa 6:00 mchana katika ofisi za Mamlaka ya Mapato nchini (TRA), Kivenule aliiba pikipiki yenye namba za usajili T 131 BMN mali ya Godfrey Sewa.

Mshitakiwa alikana shitaka na kurudishwa rumande hadi Juni 7 mwaka huu kesi hiyo itakapotajwa tena.
SOURCE HABARI LEO

Thursday, May 24, 2012

24 MAY.Dimpoz ana SHEPU ya KIKE - Cyrill


Siku chache baada ya msanii Cyrill kukataliwa kugonga show pale maisha club na Baraza la sanaa (Basata) kwa maelezo kuwa si mtanzania mpaka pale alipotoa vithibitisho, mengine yameibuka.

Hili limeibuka baada ya mkali wa 'nai nai' Ommy Dimpoz kuongea kwenye mahojiano na kituo kimoja cha Radio akimkandia live Cyrill kuwa msanii huyo hafanyi show kabisaaa.

Kwa upande wake Cyrill nae ktk mahojiano na Radio moja jijini Dsm amejibu mapigo hayo na kwenda mbali zaidi na kudai kuwa Ommy Dimpoz ana tabia za kike za kuzungumza zungumza hovyo na kumtaka siku nyingine akiwa na interview ajipange sio kuropoka hovyo mambo yasiyomhusu.

" Jamaa anaonyesha ni jinsi gani amechezea madarasa machache sana tena kwa muda mrefu, tena kuna siku nilimtizama nikamuona ana shape ya kike!!!!!!

Sasa unaambiwa yote haya yametokana na kuzuiliwa kwa Cyrill kuzuiliwa kugonga ile show na BASATA last week, huku Dimpoz akidai kuwa Cyrill anamtangazia kwa watu kuwa yeye ndiye aliyepeleka taarifa Basata kuwa jamaa sio mbongo ili azuiliwe kugonga show siku hiyo ambapo Dimpoz naye alikuwa na show yake pande za Bilicanas.
SOURCE. DARHOTWIRE

24 MAY. HATIMAYE NCHUNGA AJIUZULU

HABARI AMBAZO BLOG HII IMEZIPATA HIVI PUNDE MWENYEKITI WA YANGA BWANA LLYORD NCHUNGA AMEJIUZULU NAFASI HIYO YA UWENYEKITI WA YANGA.

BLOG HII ITAENDELEA KUKUPA HABARI ZAIDI JUU YA TUKIO HILI LA KUJIUZULU KWA NCHUNGA MABAYE MWANZONI ALIGOMA KUJIUZULU

24 MAY.NCHUNGA ASISITIZA HATOJIUZULU - AMPONDA BHINDA, AMUITA KIGEUGEU


Chairman wa Yanga anayeandamwa na shinikizo la kutakiwa kujiuzulu, Lloyd Nchunga amewaponda baadhi ya wajumbe wa Kamati ya Utendaji waliojiondoa na kusema uamuzi wao siyo dawa ya suluhu ya mgogoro uliopo, na kwamba katiba ya klabu hiyo inampa mamlaka ya kuteua wengine kuziba nafasi hizo.

Nchunga ambaye amekuwa gumzo kwenye vyombo vya habari kutokana kung'ang'ania kwenye mstari wa kukataa kuachia ngazi, amesema katiba ya Yanga inatoa mamlaka ya kuchagua watu wengine kuziba nafasi za wajumbe wa kuchaguliwa waliojiuzulu, na tayari amefanya hivyo.

"Kipengele cha 29, ibara ya (3) ya Katiba ya Yanga, kinaruhusu kuteuliwa kwa watu wa kuziba nafasi za wajumbe wa kuchaguliwa wa Kamati ya Utendaji waliojiuzulu," alisema kwa kujiamini Nchunga.

Aliongeza: "Kutokana na uteuzi huo wa watu wa kuziba nafasi zilizoachwa wazi na wajumbe wa kuchaguliwa waliojiuzulu, hakutafanyika uchaguzi mdogo. Wateule wapya tumeshawaandikia barua za kuwafahamisha.

Nchunga alisema kamati ya utendaji itawatangaza wajumbe wapya mwishoni mwa wiki hii na kuongeza: "Waliodhani kwamba kujiuzulu kwao kamati ya utendaji kungeweza kuwa kiini cha mimi pia kujiuzulu, watakuwa wameingia mlango siyo sahihi."

Alisema amegundua baadhi ya wajumbe kwenye kamati hiyo hawana msimamo na ndiyo hao ambao wamekuwa wakimshinikiza yeye kujiuzulu bila kufahamu kwamba uamuzi huo hauwezi kuwa suluhu ya mgogoro.

Amemtaja mjumbe aliyejiuzulu hivi karibuni, Mohamed Bhinda kuwa ni mmoja ya watu vigeugeu na waliokosa msimamo kutokana na kutoa kauli zisizo sahihi na zenye lengo la kupotosha ukweli.

Juzi, Bhinda alikaririwa na chombo kimoja cha habari akisema kikao cha kamati ya utendaji cha Yanga kilichokutana hoteli ya Protea ilimtaka Nchunga ajiuzulu kwa faida ya Yanga kwa vile mzani unaonyesha ndiye chanzo cha mgogoro wa Yanga.

Bhina alikwenda mbali zaidi na kusema, mwenyekiti wake baada ya kubanwa alikubali kujiuzulu muda wowote, lakini Nchunga alipinga kauli hiyo na kusema hakuna kikao kilichoitiswa akakubali kuachia ngazi.

"Bhinda ni dhaifu, kwanza aliyoyasema siyo tuliyoyazungumza, anatumika tu lakini ajue kutumika kwake anajidhalilisha, kamati ya utendaji tunakaa tena hivi karibuni tutamjadili na kumchukulia hatua kali za kinidhamu," alisema Nchunga.

Bosi Nchunga alitumia fursa ya kuzungumzia hali ilivyo Yanga kwa kuwaonya wazee wa klabu hiyo kwa kusema, angependa kuona mgogoro wa uliopo unaisha katika njia ya amani tofauti na hali inavyoonekana sasa.

"Hao wazee kama wameshindwa kunipindua kikatiba watulie, wasinione nimekaa kimya wakaniona mjinga, nawaheshimu ndiyo maana nimekaa kimya. Kama wanataka tuchafuane, mimi pia naweza kufanya hivyo.

"Ninawaheshimu wazee hawa, nisingependa kuingia nao kwenye matatizo, nawafahamu wote na kila mmoja anavyoishi. Nawaomba wapokee heshima yangu, wasinilazimishe kuivunja," alisema.

Kuhusu kuimarika shinikizo la kutakiwa kujiuzulu, Nchunga alisema: "Msimamo wangu uko wazi, nilishasema na narudia tena, haipo sababu ya kujiuzulu kwa shinikizo la wachache, lakini kama binadamu nitaeleza kila kitu Ijumaa."
SOURCE SHAFIIH

24 MAY.Hukumu ya Kesi ya Mh. John Mnyika


Mahakama Kuu Kanda ya dar es Salaam leo imemtangaza mbunge wa Jimbo la Ubungo, John Mnyika (Chadema) kuwa ni mbunge halali wa jimbo hilo.

Hayo yamesemwa masaa machashe yaliyopita na Katika Mahakama Kuu na Jaji Upendo Msuya katika hukumu ya kesi ya uchaguzi dhidi ya Mnyika iliyokuwa imefunguliwa na Hawa Ng'humbi ambaye alikuwa mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM katika jimbo hilo.

Jaji huyo amesema kuwa mdai ambaye ni Nghumbi alishindwa kuthibitishia Mahakama kuhusu kesi dhidi ya Mnyika katika madai yake matano aliyokuwa aliyawasilisha mahakamani hapo na hivyo mahakama hiyo imeamuru gharama za kesi hiyo zitalipwa na Ngh'umbi.

Hata hivyo baada ya hukumu hiyo Ng'humbi alisema kuwa hawezi kusema kama ameridhika au laa kwa wakati huo.

Kwa upande wa chadema ilikuwa ni Sherehe ya ushindi,huku Mnyika akiondolewa kwa kubebwa na wana Chadema waliokuwa wamejaa mahakamani hapo ambapo Mwenyekiti wa Chama hicho,Freeman Mbowe alisema kuwa ameridhika na hukumu hiyo na kukiri kuwa mahakama imetenda haki.

Aidha mahakama hiyo imetamka kuwa uchaguzi katika jimbo hilo ulikuwa wa halali na kura alizopata Mnyika ni halali, Mnyika ndiye mbunge halali wa jimbo la Ubungo. Maombi ya Ng’humbi kuwa mahakama hiyo ibatilishe matokeo yaliyompa ushindi Mnyika yametupwa mbali na Jaji Msuya.

Mahakama hiyo ilijaa wanachama wa vyama hivyo viwili ingawa wanachama wa Chadema walikuwa ni wengi zaidi hata hivyo askari walikuwa wametanda kila mahali katika mahakama hiyo pamoja na barabara ya Kivukoni kuanzia Mahakama ya Rufaa wakiwa na magari.

Baada ya Hukumu Mnyika alikumbatiana na mwenyekiti wake, Freeman Mbowe ambaye alikuwepo mahakamani hapo na kutoka nje huku Mnyika akiwa amebebwa na wafuasi wa Chadema huku wakiimba kwa ushindi huo, hata hivyo hakukuwa na vurugu kubwa zilizokuwa na madhara zaidi ya maandamano yaliyoondoka mahakamani hapo wakiimba.

Mbowe aliwaeleza waandishi wa habari kuwa kesi hiyo imetumia zaidi ya Sh bilioni mmoja hivyo kesi kabla ya kusikilizwa ichunguzwe zaidi ikionekana haina hoja za msingi ni vizuri kutupwa mapema. Hata hivyo alisema “ mahakama imetenda haki na hii inaonyesha namna ambavyo inaweza kutenda haki hata katika vyama vya upinzani.”

Kwa upande wake Hawa Ng’humbi alisema kuwa amepokea maamuzi yaliyotolewa na Mahakama lakini hawezi kusema lolote kwa wakati huo na kwamba wana CCM wawe na utulivu kwasababu anaamini ni watulivu kama kuna jambo tofauti atazungumza baadaye.

Hukumu hiyo imesomwa leo katika Mahakama Kuu kanda ya Dar es Salaam kwa takribani saa moja na nusu kuanzia saa 4 asubuhi na Jaji aliyekuwa akisikiliza kesi hiyo, Jaji Upendo Msuya ambaye aliamuru kuwa gharama za kesi hiyo zitabebwa na mdai (Hawa Ng’umbi).

Jaji Msuya katika hukumu hiyo alisema kuwa Ng’humbi katika madai yake yote matano hakuna hata moja alilolithibitisha kama ambavyo sheria inamtaka mdai katika kesi ya uchaguzi, kuthibitisha dai lake bila kuacha shaka yoyote na pia kutoa ushahidi kuonyesha ni namna gani iliathiri matokeo ya uchaguzi.

Katika hukumu hiyo, jaji huyo alisema kuwa Ng’humbi na mashahidi wake aliowawasilisha mahakamani hapo hawakuonyesha wala kuthibitisha madai yaliyowasilishwa mahakamani kwamba yalitendeka, na pia iliathiri matokeo ya uchaguzi uliofanyika Octoba 31,2010.

“Nilipata nafasi ya kupitia ushahidi wa kila shahidi pamoja na vielelezo vilivyotolewa mahakamani katika kesi hii lakini nimeshangaa ni kwanini mdai hakuleta mahakamani mashahidi ambao walikuwepo katika chumba cha majumuisho ya kura ambako ndiko madai hayo yalikotokea,” alisema jaji Msuya.

Alisema hata hivyo hakuelewa ni kwanini watu zaidi hawakuletwa kuunganisha ushahidi wao kuthibitisha madai ya mdai na pia kama kweli madai hayo yalitokea ni kwanini wagombea wengine au watu waliokuwa katika chumba cha majumuisho hawakulalamika.

Fomu namba 24 b ilikuwa na dosari na ndiyo ilikuwa inabishaniwa na Ng’humbi ilikosewa kuandika. Kura halali ni Mnyika aliyetangazwa kuwa ni mshindi alipata kura 66,742 wakati Ng’humbi kura 50,544. Wagombea wote kura 132496.

Alisema kuwa katika ushahidi wa mdai hakuonyesha ni vipi ongezeko hilo la kura liliathiri matokeo ya uchaguzi na pia mdaiwa Mnyika anahusika vipi na ongezeko hilo.

Hata hivyo jaji huyo kabla hajaanza kuchambua hoja za Ng’humbi aliwapongeza mawakili katika kesi hiyo ambao walijitahidi kuwasilisha mashahidi na kuhoji maswali ya msingi bila kupoteza muda kwa kuuliza maswali yasiyo na msingi na pia kuwasilisha pingamizi zinazopelekea shauri kuwa na mlolongo mrefu.

Dai la udhalilishwaji na kuitwa fisadi na Mnyika katika mkutano alioufanya kwenye kampeni ambapo alidai kuwa Ng’humbi aliuza nyumba ya Umoja wa Wanawake wa Chama cha Mapinduzi Tanzania (UWT), na kwamba watu wasichague CCM inakumbatia mafisadi.

Jaji Msuya alisema madai hayo kwa mujibu wa ushahidi wa mdai maneno hayo yaliongewa na Mnyika kwenye mkutano ambao ulikuwa na watu zaidi ya 500 lakini yeye hakuwepo hivyo mahakama haichukui maneno ya kuambiwa bali mtu aliyesikia mwenyewe au kushuhudia.

“hata hivyo katika watu wote hao 500 waliokuwa kwenye mkutano hakuja hata mtu mmoja kutoa ushahidi, na pia haikuthibitishwa ni namna gani iliathiri uchaguzi na hivyo hoja hiyo imeondolewa,” alisema Jaji Msuya.

Dai la Mnyika aliingia na wafuasi wengine wa CHADEMA kwenye kujumlisha matokeo, jaji huyo alisema kuwa ushahidi pekee ni wa mdai na kwamba hadhani kuwa ni jambo linalowezekana mtu asiyehusika kuingia katika chumba cha majumuisho ya kura wakati kulikuwa na ulinzi na kwamba wagombea wengine wangelalamikia jambo hilo hata hivyo mdai hakuleta mashahidi waliokuwa katika chumba hicho kutoa ushahidi kuwa kuna watu wasiohusika waliingia.

Aidha dai la msimamizi wa uchaguzi alitumia kompyuta ndogo (laptop) za Mnyika badala ya rasmi za tume ya uchaguzi na pia hazikukaguliwa na kwamba pengine kulikuwa na taarifa zisizo rasmi kwenye kompyuta hizo ikiwa ni pamoja na ongezeko lile la kura 14,000.

Jaji Msuya alisema kuwa kwa mujibu wa ushahidi hazikutumika kompyuta za mnyika na kwamba zilikuwa za mawakala na kwamba katika hili Mdai angeweza kuleta mashahidi zaidi kuthibitisha ikiwa ni pamoja na mkurugenzi wa uchaguzi.


=================================


IN THE HIGH COURT OF TANZANIA
AT DR ES SALAAM
MISCELLANEOUS CIVIL CAUSE NO 107 OF 2010
IN THE MATTER OF ELECTION PETITION UNDER THE NATIONAL ELECTIONS ACT CAP. 343 R.E 2010 AND THE ELECTIONS (ELECTION PETITIONS) RULES
HAWA NG’HUMBI……………………………………………………………..PETITIONER
VERSUS
1. THE HONOURABLE ATTORNEY GENERAL…………..1STRESPONDENT
2. JOHN MNYIKA…………………………………………….……………….. 2NDRESPONDENT
3. THE RETURNING OFFICER FOR UBUNGO
PARLIAMENTARY CONSTITUENCY………..……………. 3RDRESPONDENT

Date of last order: 18/4/2012
Date of Final Submission 4/5/2012
Date of the Judgment 24/5/2012
JUDGMENT
The Petitioner, Hawa Ng’humbi of Chama Cha Mapinduzi (CCM Candidate) was unsuccessful candidate for the Ubungo Parliamentary Constituency having obtained50,544 votes in the General Election held on the 31st October, 2010. The 2ndRespondent, John Mnyika of Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA Candidate) on the other hand became a successful candidate and as a result, on 2ndNovember, 2010 the Returning Officer one Raphael Ndunguru (Dw4) declared him (John Mnyika) a winner having obtained 66,742 votes. In the Constituency there were a total of 16 candidates in that election, who, in the final result, secured the following votes:-
1. John Mnyika of CHADEMA got 66,742 votes
2. Hawa Ng’umbi of CCM got 50,544 votes
3. Julius Mtatito of CUF got 12,964 votes
4. Prosper Karisha John of AFP got 437 votes
5. Emil John Ruvunja of APPF Maendeleo got 317 votes
6. Amina Amiri Mcheka of CHAUSTA got 519 votes
7. Kanunambeo Ismail Rajab of DP got 149 votes
8. Samira Pravin Lakhan of Jahazi Asilia got 138 votes
9. Kazimoto Rajab Thabit of NCCR Mageuzi got253 votes
10. Rashid Mawazo Rashid of NLD got 94 votes
11. Rachel Balama George of NRA got 47 vote
12. Kibogoyo Mark Rweyunga of SAU 40 votes
13. Kambona Axon Mwansasu of TLP got 113 votes
14. Kamana Masudi Mrenda of UMD got 22 votes
15. Zablon Shilinde Mazengo of UDP got 48 votes
16. Ngomi William Mabruk of UPDP got 69 votes

The Polling stations for Ubungo Constituency were 1,113.

The 2nd Respondent thus had a majority of 16,198 votes over the Petitioner. The latter now questions the validity of the 2nd Respondent’s election on 16 grounds of the Amended Petition which was presented in this Honorable Court for filing on 11thOctober 2011. The Petitioner is praying for judgment and decree against the Respondents as follows:
i.) A declaration that the election for Ubungo Constituency was null and void,
ii.) An Order of this Honorable Court directing for a transparent, free and fair by-election for the Ubungo Constituency,
iii.) Costs of the case be provided for by the Respondents.
iv.) Any other relief(s) that the Honorable Court may deem just to grant.

The avoidance of the election results by the Petitioner as agreed rooted on the grounds specifically stipulated in paragraphs 9, 10 and 11 of the Amended Petition. Mr. Maige for the Petitioner has not categorically brought any evidence in the allegations raised in paragraphs 9(ii), 10 and 11(i), and (v) of Amended Petition, consequently the same are treated as withdrawn and are dismissed. Thus the reasons for the Petitioner’s prayers are contained in the following paragraphs:-

Para 9. That during the campaign period, the 2nd Respondent and his agent committed illegal practices in connection with election as enumerated hereunder.

i.) That on 11th day of September 2010, while addressing a public rally at the election campaign held at Riverside, the 2nd Respondent made a false and defamatory allegation against the Petitioner to the effect that she was involved in the illegal and fraudulent sale of a house previously belonging to Umoja wa Wanawake (UWT), the fact which the 2nd Respondent knew or ought to have known that it was not true.

Para 11. The Electoral Commission and the third Respondent failed to ensure compliance with the Law and fairness as shown hereunder.

ii.) Similar to the above point, there were serious and irregularities in filling in RF 21B forms in that the particulars of the disputed and rejected votes were not provided. Further that the figures of the voters shown in forms RF 21B materially differed with those in the ballot boxes. The 3rdRespondent was requested by the principle agent of the Petitioner to open the relevant ballot boxes to verify the votes, but categorically refused to do so. The production of the same would have facilitated examination of the ballot papers in question and produce a definitive decision. Copies of the samples of the erroneous forms are hereto attached and marked collectively MJ-1 and for which leave is sought to read as part of this Amended Petition.


iii.) During the addition of votes by the 3rd Respondent, unauthorized laptop computers of the 2nd Respondent were used instead of the authorized laptop computers from the Electoral Commission. The use of the strange laptop computers was made without there being prior inspection to verify if there were no cooked data therein.

iv.) Although in law the 2nd Respondent would have not been permitted to have more than one representative during the addition of votes at the level of the Returning Officer, there were more than five CHADEMA’S followers present at the counting of the votes. Reference shall be made to a copy of a video tape recorded at the material time showing the persons who were present at the counting of votes at the level of the Returning Officer as Annexture MJ-2, for which leave is hereby craved to refer to it as part of this Petition.


vi.) There were serious errors in the addition and counting of the votes in Form No. 24B by the 3rd Respondent such that the announced results did not tally with the number of the voters. Copy of the Election Results Form is hereto attached and marked MJ-3 and for which leave is sought to read as part of this Petition.


vii.) Owing to this reasons, the Petitioner declined to countersign the official declared results by the 3rd Respondent.

The hearing of the petition commenced by Preliminary Hearing conducted in terms of Rule 19(1) of the National Elections (Election Petitions) Rules, 2010 G.N No. 447published on the 19th November, 2010 where the following issues were agreed:-

1. Whether or not the Respondents committed serious errors, irregularities and non compliances during the election process as alleged in paragraphs 9 and 11 of the Amended Petition or at all.

2. If the first issue is answered in affirmative whether the irregularities and non – compliance of the Respondents alleged in paragraphs 9 and 11 of the Amended petition or part thereof affected fundamentally the election results at the detriment of the Petitioner.

3. To what reliefs are the parties entitled to.

It is the Petitioner’s contention that the election was not conducted in accordance with the provisions of the law. In that the Respondents committed serious errors, irregularities and non compliances during the election process. Therefore the issues complained are as follows:-
One, that there were discrepancies in the final aggregate tally of votes cast; the figures so declared showed unaccounted votes of about 14,857 as reflected in paragraph 11(vi) of the Amended Petition.
Two, that the Petitioner was defamed by the 2nd Respondent by being called “Fisadi” because she was involved in illegal and fraudulent sale of the “Umoja wa Wanawake” Building (UWT). This is as shown in paragraph 9(i) of the Amended Petition.
Three, is non existence of form No. 16, which is a National Electoral Commission Dissatisfaction or Satisfaction of a candidate or agent at the counting of votes made under Regulation 59 of the Elections (Presidential and Parliamentary) Regulations 2010,(hereinafter to be referred to as form No. 16). This was not pleaded in the Amended Petition.
Four, The use of the laptop computers of the 2nd Respondent in addition of votes in the addition room; this is as it appears in paragraph 11 (iii) of the Amended Petition.
Five, Irregularities in forms No. 21B, a form which should be filled by a Returning Officer during the determination of disputed votes. The gist of the Petitioner is that the forms had errors which the officers who were in the addition room were forced to correct so that the results may tally. These forms tendered as exhibits P2, P3, P4, P5 and P6 are made under Regulation 60 (1) of the Elections (Presidential and Parliamentary Elections) Regulations, 2010(hereinafter to be referred to as the Regulation) relating to polling station election results and report of presiding officer. This is as indicated in paragraph 11(ii) of the Amended Petition.
Six, The allegation that the 2nd Respondent entered in the addition room with more than five unauthorized members of his party; this allegation is under paragraph 11(iv) of the Amended Petition.

Scrutiny of the allegations raised in the pleadings reflect that the issue related to non existence of the form No. 16, (as provided for in paragraph 3 above) which is the National Electoral Commission Dissatisfaction or Satisfaction of a candidate or agent at the counting of votes made under the Regulation 59 that is a complaint form was not pleaded. Under Order VI Rule 7 of the Civil Procedure Code Cap 33 R.E. 2002 and Rule 23 of National Elections (Elections Petitions) Rules 2010, (hereinafter to be referred as the Rules) an issue which is not raised in the pleadings cannot be resolved by a Court. It is a rule against departure from pleadings. In the same lines I agree with Mr. Maige’s final submission that the rule avoids parties not to be taken by surprise. I also agree with the authorities he referred to that effect. In James Funke Ngwagilo Vs AG (2004) TLR 161 the Court of Appeal stated inter alia that:-
“… the function of pleadings is to give notice of the case which has to be met. A party must therefore so state his case that his opponent will not be taken by surprise. It is also to define with precision the matters on which the parties differ and points on which they agree, thereby to identify with clarity the issues on which the Court will be called upon to adjudicate to determine the matters in dispute...”

In this ground of non existence of form No. 16, the respondents were taken by surprise by the new ground. In such a situation the justice of the case demands that the unpleaded grounds should be ignored. The ground three above is so treated. Additionally to that, all the arguments outside the scope of pleaded issues in this case shall not attract the determination of this Court.

Before venturing into the real business of determining the issues before this Court, I feel indebted to commend all the Learned Counsels for doing their utmost to defend and protect their clients’ interests. In particular they made sure they avoided unnecessary delays by not calling too many witnesses or witnesses taking too long giving their evidences. They were all thorough and direct to the issues in examination in chief, cross examination and re-examination. This led in not having many objections which are some of the causes of delay. Apart from that, I am as well gratified by the Learned Counsels and all the parties for their tolerance and indulgence when I had my personal problems which interfered with the scheduled session. Last but not least, I wish to express my sincere gratitude to the audience for peace and harmony portrayed throughout the trial.

Having said that, I now turn to the facts in issue. After the closure of the Respondent’s case all the learned counsels made oral submissions. In consensus with learned counsels in their final submissions, I find it pertinent at this stage, to put clear the position of the law in cases of election petitions.

It is worth noting that “election is the right of every eligible citizen to determine who will represent them in government without encumbrance. Is the basic unit and cornerstone of any democracy and a pre-requisite for social cohesion and solidarity. Elections are indeed an element of within the principle of rule of law”Compendium of 2007 Election Petitions Emerging Jurisprudence, 2nd Edition at page 205
It is a constitutional right and as pointed out by both learned Counsels in their final submissions is as well a statutory right, provided for under section 108 (2) of theNational Election Act, Cap 343 of the laws (hereinafter to be referred to as the Act)

An election petition therefore represents a potential abuse of this basic constitutional right and as final arbiter of the outcome of the electoral process. Therefore this Court has a heavy and solemnly responsibility.

I concur with the learned Counsels’ final submissions that the provision of the law under the National Election Act, relevant to the issues before this Court for consideration and determination, is section 108 (2) (b), relating to avoidance of elections by election petition. The section reads:-
Section 108 (1) …
(2) The election of a candidate as a Member of Parliament shall be declared void only on an election petition if the following grounds is proved to the satisfaction of the High Court and on no other ground, namely:-
(a) …
(b) non-compliance with the provisions of this Act relating to election, if it appears that the election was not conducted in accordance with the principles laid down in such provisions and that such non-compliance affected the result of the election;

In determining the issue of non compliance, the Court should be guided by the principle of law settled by the Court of Appeal directing that where the issue of non compliance with provisions of the Act is raised; such non compliance must be shown to have reference to the results of the election. The petitioner must satisfy the Court beyond doubt that the Respondents committed serious errors, irregularities and non compliances which amounted to non compliance within the provisions of the Act and it affected the election results which the Returning Officer used to declare the final results under section 81 of the Act.

Another issue before the Courts when trying election petition cases involves the meaning of “to the satisfaction of the Court”. This means that such standard of proof must be such that no reasonable doubt exists that one or more grounds set out in the relevant section have been proved beyond reasonable doubt. The said was considered by Sisya J. (as he then was) in the case of CHABANGA DYAMWALE Vs ALHAJ MUSA SEIF MASOMO & THE ATTORNEY GENERAL (1982) TLR 69 referring the case of MBOWE Vs ELIUFOO (1967) E.A 240, andNG’WESHENI Vs ATTORNEY GENERAL (1971) HCD No. 251. It is now settled that the law relating to the standard of proof required for the avoidance of an election result is proof beyond reasonable doubt. Any other measure below that will not suffice.

The other phrase is “affected the results”. In a series of cases the same as cited aboveChabanga Dyamwale’s case, Ng’wesheni’s case, Mbowe’s case and the case ofBura Vs Sarwat (1967) E.A 234 and in Re K.A Thabit 1967 E.A 177 where the phrase was considered. Onyiuke J. (as he then was) had this to say and I quote:-
“In the light of this authorities I would hold that the question whether non compliance within the provisions of the Act relating to the elections affected the result of the election would depend on the nature of the particular complaint or irregularity and on the margin of victory then the irregularity has not really affected the result of the election where however, the complaint goes to the root of free election such as a case of organized campaign or undue influence and it appears that the substantial number of votes obtained, (or I may add, may have been obtained) thereby then since the extent of such wrong practice may never be known, the Court may be inclined to hold that it affected the result of election without proof of actual reversal of the result”
It is as well held in the case of CHABANGA, above cited that:-
“Although a few irregularities had been proved they could not be said to have affected the result of the election because even if the adversely affected votes were added to the Petitioner’s the Respondent would still have won the election by big majority”

Therefore not every contravention of the Election Act amount to an illegal practice which must be confined to specific offences or contravention so described. REV. ELIYA CHIWANGA Vs REV. SEVERINO ANDREA SUPA (1982) TLR No 12

Having addressed the position of the law let me turn to the issues raised in this petition by applying the above mentioned rules and principles of law. By so doing I will evaluate each of the witnesses, assesses their credibility and make a finding on the contested facts in issue.

At the hearing of the case the Petitioner called three witnesses namely the Petitioner,Hawa Ng’humbi (hereinafter to be referred to as Pw 1 the Petitioner), Pw2 Robert Kondela (referred to as Pw2) and Pw3 Henry Kishato (hereinafter to be referred to as Pw3). The Petitioner tendered form 24B relating to Parliamentary Election Results in a Constituency made under Regulation 66(1)(a) of the Elections (Presidential and Parliamentary) Regulations, 2010 as exhibit P1, at the Preliminary Hearing through the 3rd Respondent after he was served with a Notice to produce. (the same to be referred to as exhibit. P1). Through Dw3 five copies of Form No. 21B which is a Polling station election results and report of presiding officer filled by Returning Officer during the determination of disputed votes at the hearing of the case, were tendered at the hearing. The forms will be referred to as exhibits P2, P3, P4, P5 and P6 respectively. The Petitioner was represented by the learned Counsel Mr. Maige.

Mr. Mulokozi Principal State Attorney assisted by Mr. Sarungi Senior State Attorney represented the 1st Respondent who is the Attorney General joined in compliance with the Rule 6 (1) of the Rules which requires in every election petition the Attorney General to be made a part as the respondent. They also represented the 3rd Respondent.

The 3rd Respondent brought three witnesses who were Dw1 Gaudence Odilo(hereinafter to be referred to as Dw1), Dw3 Sioni Nko (hereinafter to be referred to as Dw3) and Raphael I. Ndunguru Dw4 (hereinafter to be referred to as Dw4)

The 2nd Respondent called three witnesses namely the 2nd Respondent John Mnyikaas Dw2 (hereinafter to be referred to as Dw2); Dw5 Ally Saidi Makwilo (hereinafter to be referred to as Dw5) and Dw6 Erick Ongara (hereinafter to be referred to as Dw6). Dw5 tendered a programme of campaign meetings and was admitted as exhibit “D1” (hereinafter to be referred to as exhibit “D1”). He was represented by the learned Counsel Mr. Mbogoro.

The first issue is of defamation, contained in the paragraph 9(i) of the Amended Petition. It is the evidence of Pw1 that on the 11/9/2010 when the 2nd Respondent was addressing a meeting at Riverside, he defamed the Petitioner by calling her “fisadi” in that she was involved in selling an “Umoja wa Wanawake” building fraudulently. The witness told the Court that she was not in the meeting but she was informed by Pw2 Robert Kondela. To this extent her evidence is hearsay and not admissible.

In his part Kondela, Pw2 testified that before the election he participated in different campaign meetings conducted by the candidates. That on 11/9/2010 he attended a CHADEMA meeting at Riverside Ubungo where the speaker was Dw2. He informed the audience of his intention to petition for election. He said in the meeting Dw2 told the audience not to elect CCM candidate because CCM is embracing “ufisadi” and the Petitioner is a “fisadi”. Dw2, he said, went on to tell the Court that the CCM candidate was involved in the sale of UWT building. He further said in that meeting that there were about 500 to 600 people. When he was asked in cross-examination about the effect to the results he said the audience present would have influenced voters not to vote for Pw1.

In his evidence Dw2 supported Ally Said Makwilo (Dw5) who was a champagne Manager of election at Ubungo Constituency for CHADEMA who also tendered a programme for campaign meetings admitted as exhibit D1 denied to have made defamatory statements because on the 11th September, 2010 he was not at Riverside he was addressing another meeting at the Ubungo Ward Msewe Msikitini in the morning and from the afternoon to evening he was at Saranga Ward Kimara stop over and that it was on Sunday and not Monday as alleged. Dw2 further stated that for the first time he remembers to have heard the allegation that CCM candidate is corrupt one in the CCM campaigns. The second time was on 28th August, 2010 when they were in a TBC TV Programme known as “Kipindi cha Mchakato Majimboni” where those allegations were raised by one of the people who attended the programme. The witness argued that if he really defamed the Petitioner she would have complained under the Election Act.

In my humble view the issue here which stands for determination is whether the Petitioner was defamed. To prove the allegation one witness Robert Kondela was called.

Dw2 disputed that there was no such meeting. This evidence is challenged by the Counsel for Petitioner in the final submissions for not being pleaded in the defence. He referred the Court to Oder VII Rule 6 of the Civil Procedure Code Cap 33 R.E 2002, the rule against departure from proceedings. The Petitioner prayed that the evidence that there was no meeting be dismissed.

Campaign meeting are regulated by programme. So for one to allege that there were defamatory words uttered in a meeting it has to be proved that on the date the defamatory words were uttered there was a meeting at the time and the place of meeting as shown in the programme of the campaign . In undisputed evidence the witnesses explained very thoroughly how that programme was prepared and the procedures followed when there were changes. Because the campaign programme is the one followed in holding meeting there was nothing wrong for the Dw2 to say he did not utter those defamatory words and after all on the alleged date, time and place as alleged by Pw2 there was no meeting. According to the programme the meeting was held at Ubungo Ward Msewe Msikitini and at Saranga Ward Kimara stop over. It cannot be said to be a rule against departure on proceedings, in saying that there was no meeting. Therefore evidence that there was no meeting cannot be dismissed.

In finding out the merit of this ground, it has been proved that the Petitioner, Pw1 was defamed by Dw2. Apart from Pw2 no other witness was called to testify. Out of 500 or 600 people who were in the meeting no one had come forward to prove that Dw2 uttered those defamatory words. Even if the evidence that there was no such meeting was dismissed, the question is that has it been proved that Dw2 uttered those defamatory words? The allegation of defamation is very serious. Substantial credible evidence is required to support it, and it has to be corroborated by an independent testimony.

Over and above that no evidence tendered to prove how the defamatory statement induced the voters not to vote for Petitioner. Therefore I dismiss the issue as being baseless.

The second issue is relating to form No. 24B which was tendered as exhibit P1. On this issue Pw1 Hawa Ng’humbi testified that she was a Parliamentary election candidate for Ubungo Constituency in the year 2010 conducted on 31/10/2010. The 2nd Respondent John Mnyika was declared the winner. She told the Court that the problem is not for him, to be declared the winner, but it is the errors, irregularities and non compliances during the election process. She was aggrieved by non compliance in addition of votes which led to all the results not to be valid according to law and that is why her part in exhibit P1 was not signed by her counting Agent Pw3. She said after the addition of all votes, in the filling of form No. 24B exhibit “P1” the 3rdRespondent made fundamental errors and non compliance with procedures in adding and entries made in exhibit P1 were not correct. In calculations she made in the exhibit P1, she said the non compliance led to 14,854 votes which were unaccountable.

Although in the verification clause as it reads in the Amended Petition she said all what is stated in all the paragraphs is known to the best of her knowledge, in her testimony she told the Court that she was not in the adding room but she was informed by her counting Agent, Pw3 Henry Kishato. Therefore to this extent, the Petitioner’s evidence is hearsay and is accredited no weight.

Henry Kishato, Pw3 on this issue informed the Court that being a counting Agent of Pw1 he was in the adding room where he realized discrepancies in some of the election forms, where the results were not tallying. An Assistant Returning Officer Lambert Kyaro ordered them to make corrections in those forms but he refused. The forms he was referring to were exhibit P3 in which 6 votes were missing; In relation to exhibit P4 there was a difference of 2 votes; in exhibit P5 the original form differed with the photocopy by 3 votes and there is an error of 1 vote in exhibit P6. The errors in the above mentioned forms he said affected the votes in exhibit P1 because the form was not correct, as there were unaccounted votes.

The issue of the discrepancy in exhibit P1 was not disputed. Dw1, Dw2, Dw3 and Dw4 admitted in their defence that there is an error in filling exhibit P1, in that the votes were not tallying.

In his final submission the learned Counsel Mr. Maige told the Court that the Petitioner has proved beyond all reasonable doubt from the evidence of Pw1 and Pw3 and the evidence in exhibit P1 that there were fundamental errors and non compliance with procedure which led to 14,854 unaccounted votes. Mr. Maige submitted that once they have established that there are unaccounted 14,854 votes the evidential burden shifted from the Petitioner to the Respondent, who were supposed to explain how the 14,854 votes were arrived at.

Due to the fact that it is undisputed that there were discrepancies in exhibit P1 the issue now is whether it has been proved to the satisfaction of the Court that the non compliance complained of was malicious.

According to the testimony of Pw3, the Agent who was in the adding room, assuming he was in the room, according to the evidence of Dw2 who said that he saw him briefly while drunk and left, he did not prove to the satisfaction of the Court that the errors were malicious. Further that there was no any other witness called to prove that fact. If there was a really serious problem on that issue out of all the people who were in the adding room would have as well complained, or would have been ready to come to Court to testify but none was called. It is my finding in this issue that the evidence did not show how the admittedly substantial error in the total number of unaccounted votes occurred maliciously and that it was declared in favor of the 2nd Respondent. However the error as admitted did not show ipso facto that the election was so badly conducted that it could not really be said to be an election.

In absence of substantial credible evidence to establish malice I find no substance in this second issue, but nevertheless that the evidence thus far recorded would, together with the other grounds raised in the petition, and remaining for our consideration, be taken into account in the petition, and remaining for our consideration, be taken into account in determining at the end of the case whether or not the petitioner has established that the election should be set aside. The irregularities took place due to human error; the 3rd Respondent did not act maliciously.

With due respect to the learned Counsel, Mr. Maige the law is very clear about the burden and the standard of proof. That it is the Petitioner who has a duty to prove the issue raised against reasonable doubt. It is not enough to just allege. One has to prove the allegations to the satisfaction of the Court, according to the cases ofCHABANGA HASSAN DYAMWALE above cited, STANSLAUS RUGABA KASUSURA & AG Vs PHARES KABUYE (1982) TLR 388 and the case ofLUTTER NELSON Vs AG & ANOR E.A.LR 1992 (1999) 2 E.A 160 just to mention few.

Therefore the issue is not answered in affirmative.

The third issue is in relation to form No. 21B that is exhibit P2, P3, P4, P5 and P6 respectively. Just like the issue relating to exhibit P1, Pw1 told the Court she was informed by Pw3 that there were discrepancies in the forms from the Polling stations, as the results were not tallying with the valid votes and other forms had no total number of votes.

On this issue Pw3 was called who testified that when exhibits P2, P3, P4, P5 and P6 respectively were added he found out that there were discrepancies in those forms. Referring to the forms he said in the exhibit P2 there are 3 votes missing, in exhibit P3 there are 6 votes missing in exhibit P4 there is a difference of 2 votes. The other exhibit P5 the original form differ with the photocopy by 3 votes and in exhibit P6 there is one vote missing. This led the Returning Officer, Mr. Lambert Kyaro to order them to change the figures and correct the errors where Pw3 refused and as a result he refused to sign exhibit P1 and demanded the ballot boxes to be opened.

In the defence Dw2 and Dw6 denied to have been involved in making corrections in exhibit P2, P3, P4, P5 and P6 respectively. They submitted that corrections if any in the above referred to exhibits are done in the Polling stations. Dw6 further refused to have corrected exhibits P2, P3 and P6 at the level of the constituency, and refused to have signed the same when he was shown his name. He said he was not an Agent at the Polling station.

Challenging the contradiction of Dw2, Dw5 and Dw6 on the issue of the correction of the votes at the constituency level the learned Counsel for the Petitioner, Pw1 prayed to the Court for the witnesses to be treated as incredible.

In their final submission the learned Counsels for the defence submitted that according to section 79 of the Act, corrections are made at the Polling station. They can reach the director through complaining to the Returning Officer by lodging the form No. 16, which was not done. They also submitted that if the Court will be satisfied that the corrections were made in the adding room it did not affect the results as it is only 15 votes, considering the margin between the petitioner and the 2nd Respondent.

The question here now is whether it has been proved at the standard required, that there were irregularities in exhibits P2 to P6 and the officers were ordered to correct the same at the constituency level. Here again the only witness to prove the issue is Pw3. The evidence of Pw1 cannot be considered as she was not in the adding room. Dw2 and Dw6 who were in the adding room denied to have made corrections. Even when Dw6 was shown his name and signature in the exhibits P5 and P6 he refused to have signed.

To prove that the corrections were made in the addition room and that Dw6 was involved in making corrections as alleged, the petitioner was obliged to bring expert evidence of handwriting, to prove beyond doubt that the exhibits P5 and P6 respectively were corrected at the constituency level. Not only that but also because Pw3 was not alone in the addition room, the Pw1 was supposed to call witnesses to corroborate the evidence of Pw3. Failure of which makes the issue to have not been proved beyond reasonable doubt.

So the fact that there is no evidence to corroborate the evidence of Pw3 and the fact also that Pw3 did not complain in compliance with section 79A (1) (c) of the Act shows that there was no seriousness in proving the case to the required standard. It as well makes the evidence of Pw3 incredible, because as a CCM party Secretary, Ubungo Ward and the counting Agent of Pw1 must have an interest to serve, and his evidence should be treated cautiously. Therefore this issue is not proved beyond reasonable doubt. However because election are a process and not an event, the number of votes in exhibit P2 to P6 were very small, they were only 15.They could not have affected the election results.

The forth issue is whether the 2nd Respondent went in the addition room with the laptop computers and were used for addition. Pw1 testified that the 2nd Respondent brought his laptop computers in the votes adding hall which were used by the officer adding votes for addition of the votes. She further argued that the computers used were unauthorized because it is only National Electoral Commission who were supposed to bring the computers for addition of votes. She deposed that the unauthorized computers might have unauthorized information that it is possible the 14,854 unaccounted votes were already in the laptop computers. Although she was not in the addition room, she said she was informed by Pw3 his counting Agent. Her evidence is hearsay and is in law inadmissible.

On the issue of computers, Pw3 told the Court that on 1/11/2010 at about 21.00 hours the 2nd Respondent complained to the Assistant Returning Officer, Lambert Kyaro that the National Electoral Commission computers are slow hence delaying the addition of votes. He said that is because the 2nd Respondent wanted to bring his own computers. He objected but despite his objection the 2nd Respondent left the room and came back with five laptop computers. He put them on the table and convinced the Assistant Returning Officer to use the computers in adding the votes. But he said he heard the Assistant Returning Officer saying that he has to consult the Returning Officer on whether to use the laptop computers or not. After 25 minutes he said the Returning Officer, Dw4 got into the addition room and after another 5 minutes Mr. Kiravu the Director of Elections also appeared. They were all pressurized by Dw2’s followers and the computers of the 2nd Respondent were used in addition of the votes. He said the computers are privately owned by the 2nd Respondent and were not verified, it is not known what was in them. So he said they were brought to temper with the results.

The Respondents strongly denied to have used the computers of the Dw2. All the defence witnesses who were in the addition room proved that the laptop computers of CHADEMA were not used. It is undisputed that before abandoning the computers alleged to be of the National Electoral Commission, the Returning Officers used two computers belonging to the National Electoral Commission.

The issue now is whether the computers used are those of Dw2 and whether they were verified and authorized.

In his submission the learned Counsel for the Pw1 Mr. Maige challenged the use of the computers of Dw2 in that they were not verified by a computer expert who was also supposed to appear in Court to give evidence. He also argued that the laptop computers may be having information which led to the discrepancies in exhibit P1. That the unaccounted votes might have been in Dw2’s laptop computers, he stated.

Referring to the evidence of Dw1 supported by the evidence of Dw2, Dw3 and Dw4 Mr. Maige said it is not true that the 4 laptop computers were obtained from the officers of the Municipal Council namely the Accountant, Hassan Mussa Assistant Returning Officer of Ubungo Constituency and IT Department of the Kinondoni Municipal Council, as it was not easy to get them after 20.00 hours when the decision to use the other system was made. As the entire officer would have not been in the office.

Assuming that the computers were for the Municipal Council he said they were as well unauthorized as they are properties of officers they mentioned. He referred the Court to Rule 50 (1) of the Regulations, The Rule reads:-
50(1) “All the election equipments and materials shall be supplied by the Commission to the Returning Officer and the Commission or the Director of Elections shall issue directives relating to utilization, distribution and safe custody of such election equipment and materials”.

According to the Rules the learned Counsel stated, the person authorized to supply election equipments and materials is the Commission.

In the evidence of Pw3 which was corroborated by Dw1 the laptops were used after consultation with Dw4 Mr. Ndunguru the Returning Officer and the Director of Elections Mr. Kiravu who according to the Rule could issue directives relating to utilization of the equipments. We are told that Mr. Kiravu accompanied by Dr. Cyst an IT consultant of the Commission who according to the evidence of Dw1 and Dw4 Mr. Kiravu went there in response to a call relating to the use of other laptop computers because the Electoral Commission computers were delaying the process of adding the votes.

The issue of whether the computers were verified it was subject to proof. It is my humble view that the Petitioner who is alleging that the laptop computers were not authorized and verified has a duty to prove that allegation. That is by bringing witnesses to first prove that the laptops were not authorized, not verified and had information which caused 14,857unaccounted votes.

The learned Counsel Mr. Maige is as well challenging the defence of Dw1, Dw2 and Dw3 that they have failed to explain the procedure used for verification and that the laptops could not be tempered with. The burden is upon the Petitioner to prove by calling the expert like Dr. Cyst to testify on the status of the laptop computers on the issue of verification, and Mr. Kiravu the Director of Elections on the issue authorization. Mr. Maige argued very strongly that it was the duty of the defence to call those witnesses to give evidence on the verification and authorization of the laptop computers. That is not proper according to the law. It has been repeatedly been emphasized that the one who alleges must prove his allegations. It is the Petitioner who is alleging that the laptop computers whether they are for the 2nd Respondent or the Municipal Council they had to be verified and authorized. Now that he is alleging that they were not he had to bring supporting evidence to that effect. Not to shift the burden of proof to the defence.

Finally that the assumption that the use of unauthorized laptop computers led to the erroneous additional of votes as reflected on the second issue raises doubt as to whether the use of the laptop computers is the cause of unaccounted votes. The defence through Dw4 gave an explanation on the cause of the error and as I have said it was a human error. That in the final results they just added the votes for the Pw1 and Pw2 and left out the votes of the other 14 candidates.

I have had the opportunity of dispassionately scrutinizing the entire evidence and exhibits as tendered in Court and in so doing I have observed at the outset the votes as obtained and recorded in the exhibit P1. I wish to do some calculations on the face of the exhibit P1 to justify my reasoning.
John Mnyika of CHADEMA 66,742 votes
Hawa Ng’umbi of CCM 50,544 votes
a. Sub Total CHADEMA and CCM 117,286
b. Sub Total for other 14 candidates 15,210
c. Grand Total for all 16 candidates 132,496

I have observed that there is a difference of about 353 votes between the total votes for CHADEMA and CCM (as reflected in paragraph ‘a’ above) and the total number of valid votes as recorded in the exhibit P1 which the defence alleges to be the total of the rival parties. Mathematically it reflects that;
Total number of valid votes 117,639
Total CHADEMA and CCM 117,286
Difference 353

The difference is only 0.3% of recorded total number of valid votes, the difference which in my humble view makes the error in exhibit P1 human error.
Further to that as argued by the defence side the discrepancy of about 14,857 votes can mathematically be viewed as follows
The Grand Total all 16 candidates (paragraph ‘c’ above) 132,496
Minus
The recorded total number of valid votes 117,639
Minus
The recorded total number of rejected votes 2,184
Remaining: 14,857 votes

I have kept in mind the allegation of the Petitioner and also I have considered the nature of the process of the adding the votes as explained by parties in this Honorable Court. I have also considered the long working hours and a cumbersome process and I find the evidence tendered by defence side to be credible. The error had nothing to do with the laptops, as again from the defence on an evidence which is undisputed what was being done at the constituency level was just to add the votes from form No. 21B and record the final results in exhibit P1.

It is not disputed by Dw2 that he did not have a laptop computer in the addition room. He said that himself and other counting agents for other political parties had computers. But the laptops were not used by the election officers for adding. They were used for verification of their votes, also that the law does not prohibit the agents from entering the addition room with a laptop computers.

For the above reasons I find the Petitioner to have not proved her case beyond reasonable doubt. It is only Pw3 who testified on the issue of computes, his evidence is incredible. To prove that what he is saying exactly happened he would have called witnesses like Lambert Kyaro and the Director of Elections Mr. Kiravu but he did not do so. He wants the defence to call them and prove authorization and verification. That is not proper. The Petitioner is the one alleging she has to prove her allegation beyond reasonable doubt. For the reasons above the issue is not answered in affirmative and is dismissed.

The last issue is of unauthorized people in the room of adding votes. It is the evidence of Pw3 who told Pw1 that Dw2 entered the additional room with unauthorized persons. In his testimony Pw3 said that Dw2 entered the addition of vote’s room with more than eight (8) members of his party. He mentioned those members to include one Bonoface Jacob a Councilor of Ubungo Ward, Renatus a Councilor of Sinza Ward, Nassoro and one Mallya. He even identified some of them in Court. He said according to law people who were supposed to be in the addition room were Returning Officer, Assistant Returning Officers, Electoral Commission members, Candidates and/ or their agents, Police and Observers. He also said the Agent of the 2nd Respondent was one Erick, Dw6. Pw3 said further that he was not happy with the situation, he reported to Mr. Lambert Kyaro but he was told that there were no forms No. 16.

It is the evidence of Pw1 that the issue of allowing more people in the addition room as required has affected the results because it affected the concentration of the adding officers and that is the reason they made mistakes in filling exhibit P1.

Dw2 on the other hand denied to have entered with his fellow party members more than allowed. Testifying on this all defence witnesses stated that it was not possible for unauthorized people to get into the adding room. All the authorized people had to identify themselves before they entered. Some were identified by their uniforms like Police Officers, others had identity cards, and Agents had introduction letters from their respective parties. There was a very tight security to the extent of it be impossible for an unauthorized people to get in.
source michuzi