tuwasiliane

Monday, June 23, 2014

UHOLANZI YAITUNGUA CHILE 2-0




 Netherlands 2-0 Chile: Fer & Memphis walk Oranje into top spot




ASILIMIA 100. Naam, Uholanzi imefuzu kuingia 16 Bora ya Kombe la Dunia nchini Brazil baada ya kushinda mechi zake zote za Kundi B, ikimaliza na ushindi wa mabao 2-0 leo dhidi ya Chile.
Mabao ya Fer dakika ya 77 na Depay dakika ya pili ya muda wa nyongeza baada ya kutiku dakika 90 za kawaida, yanifanya ‘Chungwa’ imalize na pointi tisa mbele ya Chile yenye pointi sita inayofuzu pia.Adios, Villa - Spain's greatest ever striker


 Waliokuwa mabingwa watetezi, Hispania wameambulia pointi tatu baada ya kufunga 3-0, Australia leo inayomaliza bila pointi hata moja.
Mabao ya Hispania yamefungwa na David Villa dakika ya 36, Fernando Torres dakika ya 69 na Juan Mata dakika ya 82
Kocha Vicente del Bosque leo aliwapanga Reina, Juanfran, Ramos, Albiol, Alba, Cazorla aliyempisha Fabregas dakika ya 68, Alonso aliyempisha Silva dakika ya 83, Koke, Iniesta, Torres na Villa aliyempisha Mata dakika ya 57.

Kikosi cha Uholanzi kilikuwa; Cillessen, Blind, Vlaar, De Vrij, Kuyt/Kongolo dk89, De Jong, Wijnaldum, Janmaat, Sneijder/Fer dk75, Lens/Depay dk69 na Robben.
Chile; Bravo, Silva/Valdivia dk70, Medel, Jara, Isla, Aranguiz, Diaz, Mena, Gutierrez/Beausejour dk46, Vargas/Pinilla dk81 na Alexis.

No comments:

Post a Comment