SIMBA IMEWEZA KUFUFUA NAFASI YAKE YA KUCHEZA ROBO FAINALI YA KAGAME CUP BAADA YA KUIFUNGA PORTS YA DJIBOUT GOLI 3 KWA 0 MAGOLI YA SIMBA YALIPATIKANA KATIKA KIPINDI CHA PILI WAFUNGAJI WAKIWA ABDALA JUMA ALIYEFUNGA GOLI 2 NA FELIX SUNZU ALIYEFUNGA GOLI 1
KATIKA MCHEZO WA KWANZA WA KUNDI HILO TIMU YA URA YA UGANDA IMEWEZA KUKATA TIKETI YA KUCHEZA ROBO FAINALI YA MICHUANO HIYO BAADA YA KUIFUNGA VITA YA DRC KWA GOLI 3 KWA 1
No comments:
Post a Comment