tuwasiliane

Thursday, December 31, 2015

Liverpool yaichapa Sunderland

Majogoo wa Anfield Liverpool wakiwa ugenini katika dimba la light wameibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya Sunderland.
Mshambuliaji Christian Benteke ndie aliyefunga bao hilo pekee lililoipa timu yake ushindi na pointi tatu muhimu.
Kwa ushindi huo klabu ya Liverpool imejikita katika nafasi ya 7 kwa alama 30 baada ya kuwa imecheza michezo 19 msimu huu.
Sunderland maarufu kama paka weusi wanasalika katika nafasi ya 19 wakiwa na alama 12 baada ya kucheza michezo 19.

No comments:

Post a Comment