Kwa mujibu wa page ya Azam fc imeripoti kuwa
Kampuni ya Bakhresa Group imesafirisha jezi za
Taifa Stars takribani 400 na kununua ticketi za kuingilia uwanjani 400
kwa ajili watanzania waishio Msumbiji. Pia wanamshukuru Mkurugenzi wa
Nagy Transport, Mampuni ya kitanzania ya usafiri wa mabasi inayofanya
kazi maputo kwa kuandaa mabasi ya kutosha... Leo Msumbiji lazima akae.
Mungu ibariki Tanzania
No comments:
Post a Comment