tuwasiliane

Saturday, June 15, 2013

BREAKING NEWZ; WAFUASI WAWILI WA CHADEMA WAKATWA MAPANGA,KILOSA

Habari ambazo blog hii imezipata kutoka kijiji cha Miyombo kuwa wafuasi wawili wa Chama cha demokrasia na maendeleo wamekatwa mapanga usiku wa kuamkia leo hali zao sio nzuri. kutokana na maandalizi wa uchaguzi wa udiwani katika kata ya miyombo utakaaofanyika kesho hali ya vurugu imeripotiwa kutokea katika vijiji mbalimbali vya kata hiyo. tunafanya mawasiliano na kamanda wa polisi wa wilaya ya kilosa ili aweze kuthibitisha hili,.

endelea kufuatilia www.heavytalio.blogspot.com kwa habari zaid

No comments:

Post a Comment