tuwasiliane

Wednesday, May 22, 2013

BREAKING NEWZ;ASKARI WANNE WA JWTZ WAFARIKI KATIKA AJARI


Katika tukio lingine askari wanne wa jeshi la wananchi kikosi cha 41 KJ wamefariki dunia na wengine 20 kujeruhiwa baada ya gari lao kupinduka eneo la Kilimani hewa Nachingwea njiani kuelekea Mtwara kuongezea nguvu jeshi la polisi kufuatia vurugu zilizotokea mkoani humo


SOURCE ITV

No comments:

Post a Comment