tuwasiliane

Friday, April 19, 2013

BAADA YA KUDHUILIWA KUINGIA BUNGENI, KINA TUNDU LISSU KUFANYA MIKUTANO MIKUBWA,MWANZA,MBEYA NA IRINGA


Baada ya kuzuiliwa kuhudhuria vikao vitano vya bunge, magwiji wa siasa wa CHADEMA ambao ni mwiba kwa serikali ya CCM wameamua kutumia
muda wa siku hizo tano kupeleka ujumbe kwa wananchi jinsi CCM na
serikali yake wanavyoendesha nchi kibabe na kibaguzi ili wananchi waamue haki ifikapo 2015.

Ratiba:
Jumapili 21/04/2013 watatikisa Mwanza

jumanne 23/04/2013 watarindima Iringa

jumatano 24/04/2013 watatema cheche Mbeya
UKISIKIA HAKUNA KULALA TUNAMAANISHA 

Baada ya kuzuiliwa kuhudhuria vikao vitano vya bunge, magwiji wa siasa wa CHADEMA ambao ni mwiba kwa serikali ya CCM wameamua kutumia
muda wa siku hizo tano kupeleka ujumbe kwa wananchi jinsi CCM na
serikali yake wanavyoendesha nchi kibabe na kibaguzi ili wananchi waamue haki ifikapo 2015.

Ratiba:
Jumapili 21/04/2013 watatikisa Mwanza

jumanne 23/04/2013 watarindima Iringa

jumatano 24/04/2013 watatema cheche Mbeya

No comments:

Post a Comment