tuwasiliane

Wednesday, December 26, 2012

HATIMAYE WANAKILOSA WAFANIKIWA KUUNDA UMOJA WAO

hatimaye kikao cha wadau mbalimbali wa kilosa kimefanyika hii leo na kumalizika salama,maazimio ya kikao hicho ni kama ifuatavyo. wadau tumekubaliana kuanziasha asasi isiyo ya kiserikali inayoitwa WANAKILOSA,asasi hiyo itakuwa ikishughulikia mambo mbalimbali ya kijamii mfano,elimu,afya,kilimo nk.

pia tumekubaliana kutengeneza katiba ya kikundi, katika kutengeneza katiba ya kikundi tumeweza kuchagua viongozi wa mpito wa kikundi ambao ni kama ifuatavyo

myenyekiti ni Mriam kurameso, katibu ni Edwin Mwombeki,mhasibu ni pendo makata,na mtu wa kusaidia kutengeneza katiba ni Ramadhan Imiri,

pia kikundi tumekubaliana kuwa tarehe 1/1/2013 wanakikundi kwenda kutembelea wagonjwa kwenye hospital ya wilaya ya kilosa,katika kufanikisha hilo bwana edwin mwombeki ametoa mchango wa shilingi 20000,saed huwel ametoa shiling 10000,wanakilosa mbalimbali tunakaribisha michango myenu ili kufanikisha hilo, mnaweza kutuma michango yenu kwa muhasibu wetu pendo makata ambaye namba zake ni 0716 128913 au 0767813121 au 0787813121, kikao kingine cha wana kilosa kitafanyika tarehe 1/1/2013 pale pale golden folk hotel saa 11 jion, baada ya kutoka hospital

2 comments: