
John Bocco ana rekodi ya Ajabu, Amecheza na Simba mara 15 na kufunga magoli 14, Amecheza na Yanga mara 13 na kufunga magoli 9. Jumla amezifunga Simba na Yanga magoli 23 katika mechi 28... Juma Kaseja ndo kipa aliyefungwa magoli mengi zaidi na Bocco 14 wakati Bero kafungwa mara 5. Dah... Kuna watu wanamponda eti hajui kufunga... Sitaki kubishana na mtu na sitaki unazi... Hakuna Number9 wa kiwango cha JB19 Afrika Mashariki
No comments:
Post a Comment