tuwasiliane

Friday, June 1, 2012

01 JUN .Baada ya TOUR ndefu LINAH arejea!


Baada ya kukaa unyamwezini 'Marekani' kwa show zilizodumu takriban miezi 3, hatimaye mwanadada kifaa Linah Sanga amerejea Bongo.

Bila shaka amekuja na morali mpya na mashabiki wategemee mabadiliko ya mambo mengi kutoka kwa mwanadada huyu hasa kwenye video kwakuwa amekuja na swag za Marekani.

Peter Ligate CEO wa kampuni ya J&P Investiment Inc. iliyosababisha tour hiyo amesema, “After a successful "tamani" us tour the #1 female artist Linah is back in Tanzania. Thanks to all that supported her & continue to support our artist & bongo fleva..godspeed ma people!!”

No comments:

Post a Comment