

Bendi ya muziki wa mwambao ya Jahaz Modern Taarab, usiku wa kuamkia leo imefanikisha kwa kishindo uzinduzi wa albamu yake ya tano waliyoipa jina la Mpenzi Chocolate.
Uzinduzi huo ulifanyika ndani ya Ukumbi wa Diamond Jubilee, ambapo ulienda sambamba na kusherehekea miaka mitano tangu bendi hiyo ianzishwe.
No comments:
Post a Comment