tuwasiliane

Thursday, December 22, 2011

22 DEC. Fid kurelease tatu za kuaga mwaka!


Anayeaminika kushikilia taji la mkali wa vina mpaka dakika hizi, namzungumzia Fareed Kubanda a.k.a Ngosha The Don anatarajia kuachia video tatu kabla ya mwisho wa mwaka huu ikiwa ni zawadi ya mwaka mpya.

Fid anaweka wazi kuwa maandalizi ya kurelease Video hizo yamekamilika na wakati wowote kuanzia sasa ataanza kuzisambaza kwenye vyombo husika.

Mipini anayotarajia kurelease ni pamoja na ‘Lelewe mitaa’, ‘Juhudi za wasiojiweza’, pamoja na ‘Neno’.

No comments:

Post a Comment