tuwasiliane

Sunday, August 13, 2017

BREAKING NEWZ;MKUU WA WILAYA KILOSA,AULA SIMBA,MZEE KILOMONI ASIMAMISHWA UWANACHAMA

Image result for mkuu wa wilaya ya kilosa
Mh. Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Alhaj Adam Mgoi amechaguliwa na mkutano mkuu wa Wanachama wa klabu ya Simba kuwa mdhamini wa klabu baada ya kumwondoa Mzee Kilomoni kwenye nafasi ya udhamini, pia klabu ya Simba imemsimamisha mzee Kilomoni uanachama na ataandikiwa barua kwa ajili ya kumpa nafasi ya kujitetea.

No comments:

Post a Comment