tuwasiliane

Saturday, August 26, 2017

MANCHESTER UNITED KULIAMSHA DUDE TENA DHIDI YA LEICESTER CITY LEO JUMAMOSI?

Romelu Lukaku has made a huge impact since his arrival, but his nose may be put out of joint
Manchester United watakuwa wenyeji wa Leicester City Leo Jumamosi baada ya kushinda 4-0 mara mbili mfululizo kwenye mechi za mwanzo Ligi ya Uingereza.
Foxes watasafiri mpaka Old Trafford baada ya kuanza msimu kwa mwendo wa wastani, lakini litakuwa jaribio gumu kwa Leicester kupata matokeo mbele ya vinara wa ligi.
Mechi ya Jumamosi itakuwa ni 125 baina ya pande hizo mbili, United wakiwa wameshinda 63 ikilinganishwa na mechi 33 walizoshinda Leicester City

No comments:

Post a Comment