Klabu ya Ligi Kuu Urussi, Spartak Moscow inaripotiwa kuweka mezani ofa ya kumnyakua mlinzi wa Azam, Daniel Amoah.
Kwa mujibu wa mtandao wa Ghana, GhanaSoccernet, Spartak wameonesha nia ya kumchukua Amoah kwa kutangaza dau.
Amoah, raia wa Ghana mwenye umri wa miaka 20 alisajiliwa mwanzoni mwa msimu huu akitokea Medeama.
Azam walivutiwa na Amoah, 20 baada ya kumuona katika mashindano ya Kombe la Shirikisho akiichezea Medeama.Kwa upande mwingine blog hii imejaribu kufanya mawasiliano na uongozi wa Azam fc kuweza kuthibitisha habari hii,viongozi hao wamedai bado klab hiyo haijaweza kufanya mawasiliano nao,so muda ukifika wamesema watautaalifu uma
No comments:
Post a Comment