Leicester wanaongoza msimamo wa Ligi Kuu Uingereza baada ya kupata ushindi wa 3-0 dhidi ya Swansea. Arsenal, waliopata ushindi wa 3-1 nyumbani dhidi ya Sunderland wanashikilia nafasi ya pili wakifuatwa na Manchester City ambao wamekubali kulala 2-0 ugenini Stoke City.
Lecester wana alama 32, Arsenal 30, Man City 29 na Man Utd alama 29.
No comments:
Post a Comment