tuwasiliane

Sunday, August 10, 2014

MDAU WA BLOG HII GADIEL JAPHET AFANIKIWA KUPATA JIKO


Msomaji wa blog hii bwana Gadiel Japhet amefanikiwa kuiacha klab ya maseja baada ya jana kufanikiwa kufunga ndoa na bi Grace Gadiel,ndoa yao ilifungwa katika kanisa la Anglikana magomeni Kilosa na kufuatiwa kwa sherehe iliyofanyika katika ukumbi wa Mamboya comlex manzese kilosa.blog hii inampa pongez bwana Gadiel na mkewe bi Grace


 hapa wakati wakiingia kitu cha red capet ilikuwa hatari aisee


bloga nae nilikuwepo kumpa kampani mdau kitu cha sut and tie hahah haha

No comments:

Post a Comment