DEMBA BA ATUA BESIKTAS YA UTURUKI KWA £8m.
Demba Ba tayari
amewasili Uturuki anakotarajiwa kukamilisha uhamiaji wake kutoka Chelsea
hadi Besiktas kwa gharama ya £8m.
Mshambuliaji huyo mwenye umri wa
mika 29 ameyathibitisha hayo katika mtandao wa Twitter akionekana tayari
kavalia jesi ya Besi-ktas. "Amesema yaliyobaki ni kukamilisha ukaguzi
wa kiafya na kuweka saini mkatba.
Demba Ba amewahi kuifungia Chelsea angalau mabao 14.
Hivyo Chelsea wamejibu kwa kumshawishi Filipe Luis aihame Atletico Madrid ingaje Mbrazil huyo yuko katika safu ya ulinzi.
Msimu uliopita Luis alishiriki mechi zaidi ya 40
na kilele ikawa Atletico kushinda la liga kwa mara ya kwanza tangu 1996
na pia wakafikia fainali ya Champions League
No comments:
Post a Comment