tuwasiliane

Thursday, June 26, 2014

GHANA YAPIGWA 2-1 NA URENO,ILA ZOTE ZAAGA

 


 
 
Haina shangwe: Nahodha wa Ureno, Cristiano Ronaldo akiondoka baada ya kuifungia Ureno bao la pili katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Ghana, mchezo wa Kundi G Kombe la Dunia nchini Brazil. Bao lingine la Ureno lilifungwa na Boye, wakati bao la Ghana lilifungwa na Akwasi Appiah. Ureno na Ghana zote zimetolewa, wakati Ujerumani na Marekani zimetinga 16 Bora kutoka kundi hilo.

No comments:

Post a Comment