
Habari ambazo blog hii imezipata kutoka Chalinze kuwa mgombe wa CCM, bwana Ridhiwan Kikwete ameshinda kwa kishindo,mgombe huyo wa ccm amepata kura 23,612,wakati mgombea wa chadema amepata kura 2,983 ,mgombea wa cuf 476, mgombea wa nra 75 ,mgombea wa afp 59. Hongera Mhe
Ridhiwani Kikwete kwa ushindi wa unono....
No comments:
Post a Comment