tuwasiliane

Wednesday, June 26, 2013

Rooney afikiria kutimkia Barcelona

Mshambuliaji wa Manchester United  Wayne Rooney afikiria kwenda Barcelona iwapo atataka kuondoka  Old Trafford. Rooney amesema kuwa Machampioni wao wa Spain ndio chaguo lake la kwanza na anataka kufanya mazungumzo na boss wake mpya David Moyes.
Source: The Sun

No comments:

Post a Comment