tuwasiliane

Wednesday, June 19, 2013

Mh. Sugu apata ajali akielekea Arusha. Gari lake lagongana uso kwa uso na basi la abiria

 sugu-joseph-mbilinyi

Kwa mujibu wa eddymoblaze blog na vyanzo vingine mbalimbali, mbunge wa Mbeya mjini, Mh. Joseph Mbilinyi “Sugu” amepata ajali ya barabarani wakati akielekea Arusha.
Ripoti hizo zinasema kuwa gari la Mh. Mbilinyi limegongana uso kwa uso na basi la abiria.
Ajali hiyo imetokea katika wilaya ya Hanang’, na taarifa hizo zinasema Sugu hajadhurika kwenye ajali hiyo.

No comments:

Post a Comment