Kaka yake Amri Kiemba akisaini kuchukua
fedha za mdogo wake (Sh. Milioni 50), baada ya kiungo huyo kusaini
Mkataba mpya wa miaka miwili kuendelea kuichezea Simba SC mchana wa leo.
Wengine pichani ni Kaimu Makamu Mwenyekiti wa Simba SC, Joseph
Itang'are 'Kinesi' na Damian Manembe kulia wakati kushoto ni Salum
Pamba, Wajumbe wa Kamati ya Utendaji.
|
No comments:
Post a Comment