LEO NI SIKU YA KUMBUKUMBU YA EDWADI MORINGE SOKOINE
leo ni kumbukumbu ya Edward Moringe Sokoine
Aliwahi kuwa waziri wa Tanzania 1977 hadi mwaka 1980 na kuendelea tena
na cheo hicho 1983 hadi tarehe 12 April 1984 alipofariki dunia kwa ajali
ya gari. Hadi sasa imetimia miaka 29 toka alipofariki.
No comments:
Post a Comment