HATIMAYE TIMU YA BAYERN MUNICH IMEFANIKIWA KUTIGA FAINALI YA MICHUANO YA UEFA CHAMPIONS LEAGUE BAADA YA KUSHINDA PENATI 3-2 DHIDI YA REAL MADRD YA SPAIN
TIMU HIZO ILIBIDI ZIFIKE HATUA YA KUPIGIANA PENATI BAADA KUMALIZIKA DK 120 HUKU MATOKEO YAKIWA GOLI 2 KWA MADRID 1 KWA BAYERN ILA KATIKA MCHEZO WA KWANZA ULIOFANYIA AREANSE ARENA MATOKEO YALIUWA KAMA HAYO KWA UPANDE WA BAYEN
No comments:
Post a Comment