
Katika hali isiyotegemewa mkazi mmoja wa Kibamba, aliyefahamika kwa jina la Hamis Tumbuka , amekutwa amejinyonga kwenye mti na kuacha ujumbe uliomtaka msichana anayeitwa Ashura ashuhudie atakavyozikwa.
Tumbuka aliyekuwa amejinyonga kwa kutumia kamba ya katani aliacha ujumbe uliosema, “Naomba Waislamu wanizike hapa hapa na Ashura ashuhudie ninavyozikwa..., Ashura nakupenda uishi salama na mumeo.”
No comments:
Post a Comment