
Guyz u need to be very waangalifu coz kuna mtu anatumia jina langu kwenye facebook picha na vitu kibao akijifanya yeye ni Diamond.. mbaya zaidi anatukana, kutongoza na kuwatapeli watu kibao.. Diamond platnumz wa kweli ana Account moja tu! na account yake hauwezi kum Add coz ana too many friend request, so ukiona account imeandikwa Diamond Platnumz halaf. ukii Add inakubali jua huyo si wa kweli" Says Diamond Platnumz
No comments:
Post a Comment