
Barcelona imefanikiwa kuingia katika fainali ya Klabu Bingwa ya Dunia baada ya kuchabanga Al-Sadd mabao 0-4. Magoli ya Barcelona yamefungwa na Maxwell, Keita na Adriano (2).
Ni mchezo mzuri ambao utawakutanisha Neymar na Messi, Neymar alinukuliwa anafuraha kufananishwa na Messi.
No comments:
Post a Comment