
Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayeichezea klabu ya TP Mazembe leo amefanya maajabu makubwa katika historia ya soka la nchini Congo baada ya kufunga magoli 6 kati ya 13 yaliyowekwa kimiani na TP dhidi ya FC Police katika michuano ya ligi ya jimbo la Katanga.
No comments:
Post a Comment